DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Watatoka nduki[emoji1]Hapo ndio ujue mambo mengi ni usanii; kama ni kweli wafufue watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watatoka nduki[emoji1]Hapo ndio ujue mambo mengi ni usanii; kama ni kweli wafufue watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan binamuu wee acha tyuuh, full vituko.Waongo sn Hawa watu,
Akiwapata watu 10 kuwabrain wash utaskia nae mtoa mada kafungua kanisa[emoji1]
watu wa jamii forum hapana [emoji119][emoji119][emoji119]Ulimpiga picha huyo Yesu uliyemuona!?
Asabte kwa comment yako. Tunatambua thamani ya hii comment.Serikali imeajiri mtu wa hovyo sana,
"HILI NALO MKALITAZAME"
Ndoto uliyoota wewe uliotaje??Hata tusiosali,
ndoto za hivo tumeota Sana[emoji1]
Hongera kwa comment. Tunaithamini comment yako.Mtumishi Gani wa Mungu tena mzee wa kanisa unatumia misemo ya kihuni! Kama "Kamanda" mtaani ni msemo wa kihuni!...Jeshini ni jina lenye hadhi yake.
Hahaaaaaa, mbona una niongoza nijibuje? Haya ila nakupenda we bro huna baya na mtu. Nilikuwa naandika comment za kukujaribu ukereke ila naona upo safi. Haina shida mkuu, nitaeleza siku nyingine ushuhuda juhusu Yesu.Sura ya yesu uliovoiona Unaweza kuielezea ikoje, ukawii kusema yesu Ni mzungu[emoji1787]
Hahaaaaaaa, haya bro kuwa na jioni njema.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kula mbususu wewe
maisha ndo haya haya mkuu
Sidhani hata kama umekula mchana huu maana sio kwa mnuno na makasiriko hayo. Kimsingi kwa umri wangu naenda na midundo yenu. Unajua mimi nimeajiriwa serikalini kama nani?Mtumishi Gani wa Mungu tena mzee wa kanisa unatumia misemo ya kihuni! Kama "Kamanda" mtaani ni msemo wa kihuni!...Jeshini ni jina lenye hadhi yake.
Sasa ili iwaje mkuu. Mimi nina familia na nitauzaje? Umeelewa hilo andiko alimaanisha nini?Mambo mengi ni ya kusadikika, ni sawa na ndoto tu.
Kama ni kweli uza vitu vyako vyote ulivyonavyo na uwagawie masikini
That is neither here nor there like some Schrodinger's cat suspended in quantum indeterminacy.Wacha weeeeeeeew
We vipi, hebu niache 😁😁😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji3516]
Kinengunengu hayo mambo yaliokutokea wewe mm yameshanitokea Zaidi ya mara 10 hiyo sio mbingu kama dini zinavyosema hiyo hali mm inanitokea mara nyingi sana inakuwa hivi wakati nimelala najishangaa kuweza kujitambua kuwa hapa nimelala lakini najua nipo ndotoni naanza kupaaa kutoka nje ya dunia na kwenda mbali ambapo ukiwa huko infinity unaiona dunia ni ndogo sana naenda mpk sayari nyingine mm shida inayonikuta ni nikishafika huko infinity ambapo nyinyi mnaita mbingni njia ya kurudi huwa siijui naanza kulia 😭😭😭 kutafuta njia ya kurudi ghafla nafifanya invisible nayayuka mawazo yanatoka kule najikuta nisharudi duniani 😁😁😁
Nimeona watu wengi humu JF wakimponda na kumkashfu Mwalimu Mwakasege baada ya kusema Mungu alimfunulia kuhusu mbingu na kwenda Mbinguni.
Binafsi nadeclare interest kuwa ninatumika Kanisa la TAG kama Mzee wa Kanisa huku Nyanda za juu kusini pia ni Mtumishi wa Serikali na huwa nahubiri mara moja moja. Siandiki hivi kwa kufurahisha watu au kujisifu wala kutaka kumsafisha Mwalimu Mwakasege ila naeleza kile nilichoshuhudia na kile ambacho Mungu amenitendea.
Kwa umri na muda niliomtumikia Mungu kama Mkristo nafahamu Mungu anajifunua kwa watu wengi yeye binafsi na pia kuwafunulia kuhusu wengi kuhusu mbingu.
Binafsi, nashuhudia leo na kikiwa na akili timamu na dhamira njema Moyoni mwangu kuwa nimemuona mwenye haki "Yesu Kristo" si chini ya mara 4 toka nikiwa mdogo na amenitokea kwa namna mbalimbali tofauti na watu wanavyokashfu kuwa tutatokewa na Mapepo yaliyovaa sura ya "Bryan Deacon" yule aliyeigiza "Filamu ya Yesu" Pia nashuhudia, Mungu kunifunulia na kuiona mbingu.
Mafunuo haya ya kutokewa na Yesu kwangu mimi hayakuwa kwa jinsi ya kimwili "yaani kunitokea physically" ila ni katika ndoto na Maono ya usiku pia wakati nasali nikajiona tu nimekutana naye.
Leo sitaelezea kuhusu kutokewa na Yesu ila nitaelezea kuhusu ushuhuda wangu wa kuiona Mbingu ila nasisitiza katika hilo, kila maono, ndoto au mafunuo ya Kimungu yanajengwa chini ya Neno la Mungu. Neno: Ayubu 33:14-16 hapa Mungu anasema kuhusu kusema na wanadamu kuhusu ndoto ns mqono ya usiku.
Neno: Yoel 2: 28-29 Anasema kuhusu "Ndoto na Maono".
Kuhusu Mungu kuwafunulia watumishi wake mbingu, tunaona Paulo anasema namna alivyochukuliwa na kuoneshwa kuhusu Mbingu katika 2 Korintho 12: 2-9 pia Stephano naye anafunuliwa katika Matendo ya Mitume 7:56 na pia Mtume Yohana anafunuliwa kuhusu Mbingu wakati anaandika kitabu cha Ufunuo wa Yohana.
Binafsi, Nakumbuka ilikuwa 2016. Mungu alinipa Neno toka Yeremia 33:3 inayosema "Niite nami nitakuitikia na nitakuonesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua" pia kwa muda mrefu nilikuwa naimba moyoni mwangu wimbo mmoja wa zamani sijui uliimbwa na kwaya gani ila kuna kipande wanaimba " Nimpeleleza nani raha ya Mbingu×2, Yesu ndiye wa Kumpeleleza"
Nakumbuka Siku hiyo niliamka kama kawaida saa 9 alfajiri na kusali. Ilipofika saa 11:45 nikasema nilale kidogo ili nikiamka saa 1 hivi niende kazini. Nilipolala kama saa 12 alfajiri nikaona Malaika mmoja aliye kama mwanadamu amevaa mavazi meupe yenye kung'ara huku akiwa mwenye sura inayong'ara ananiambia "nimetumwa nikufuate". Akanishika mkono, nikaona natoka kwenye mwili upande wenye moyo.
Nikapita kwenye bati la nyumba bila kizuizi. Safari ya kupanda juu ikaanza kwa speed ya ajabu huku akiwa amenishika Mkono. Nikaangalia chini na kuona mwili wangu, mke na mtoto wangu wamelala kitandani. Unaona nyumba na miti ya duniani. Tukapaa juu kwa spidi nikaangalia chini tena na kuona kadunia kalivyo kadogo then tukafika katika nchi ile ambayo "watu" wanaimba na kumuabudu Mungu. Nikaungana nao tuliimba "Bwana Mungu nashangaa kabisa"
Sijui nielezeje muonekano wake nchi ile ila ni nzuri na ya meta meta. Hali ya hewa na mazingira ni tofauti na huku duniani. Nchi ile ni kweli na mji ule ni kweli. Jitahidi usikose kuingia mji ule.
Baadaye nikaambiwa turudi na kwa speed ya ajabu, najikuta naingia mwilini mwangu upande wa kushoto kwenye moyo, mwili ukawa kama umepigwa "shot" nikashtuka.
Binafsi, nimewasikia na kuwaona watumishi wengi wa Mungu wanaoshuhudia kuhusu Mbingu huku kwetu na sehemu myingine. Ukiacha hao maarufu, japo "Zumaridi hapana kwani inaonekana ana shida ya akili" Ukiacha Mwakasege, hata Marehemu Kulola alishashuhudia siku moja kufunuliwa kuhusu Mbingu.
Nami nimeona nishare uzoefu wangu kuhusu Mafunuo ya Mbingu. Siku nyingine nitaeleza kuhusu kutokewa na Yesu ana tutokeaje, yupoje na tunajuaje kama ni Yesu.
Asanteni.
Hahaaaaaaaa, Kiranga bwana. Una Blah blah nyingi na Kiingereeza cha ugoko eti utanibabisha na kuniyumbisha. Yaani ukiandika hizo theories unajiona msomiiiiiii. Inawezekana family back ground yako umetoka kijijini na familia duni sana na sasa kuwa Marekani yaani ni kama upo Peponi na ndio maana unakuja na hizo theories na kiingereza cha Ugoko humu kutisha na kupotosha vijana. Hizo theories nilisomaga advance pale Galanos Secondary kipindi hiko na nyingine nilisoma pale SUA wakati nachukua First degree mpaka tukawa Tunamuita Prof. Mrema wa Department ya Soil Science Schrodinger. Nakumbuka kuna jamaa mmoja hadi leo kwenye group la letu la Advance Galanos Combination ya CBA tunamuita Quantam. Kwangu mimi huna mpya kiranga. We sema jingine mkuu.That is neither here nor there like some Schrodinger's cat suspended in quantum indeterminacy.
Wacha weeeeeeeeeeeeeweeewwwwKinengunengu hayo mambo yaliokutokea wewe mm yameshanitokea Zaidi ya mara 10 hiyo sio mbingu kama dini zinavyosema hiyo hali mm inanitokea mara nyingi sana inakuwa hivi wakati nimelala najishangaa kuweza kujitambua kuwa hapa nimelala lakini najua nipo ndotoni naanza kupaaa kutoka nje ya dunia na kwenda mbali ambapo ukiwa huko infinity unaiona dunia ni ndogo sana naenda mpk sayari nyingine mm shida inayonikuta ni nikishafika huko infinity ambapo nyinyi mnaita mbingni njia ya kurudi huwa siijui naanza kulia 😭😭😭 kutafuta njia ya kurudi ghafla nafifanya invisible nayayuka mawazo yanatoka kule najikuta nisharudi duniani 😁😁😁
Kuna safari moja nilienda huko infinity nilitoka duniani nikaenda duniani iyo mbali nilirtoka nikaanza kuzipita syari kama mars basi nikafika huko nikakutana na watu wakubwa kila ninaemuuliza swali nataka kurudi dunia yet anasema haijui hiyo dunia yaan hawaitambui watu wapo bisy nikawa nalia kila nalofanya kila mtu yupo bisy na Maisha yake hakuna anaeonyesha kunisaidia nikawa nalia 😭😭 tu muda wote nani atanionyesha njia ya kurudi huku nikaona isiwe tabu kama kawaida yangu mm katika ndoto daima ni mshindi siwezi shindwa na jambo lolote 😁😁😁 katika ndoto nikajigeuza invisible nikayabadili mawazo yangu nikajikuta nipo duniani wee usiombe ikukute hiyo dunia ya mbali inatutokea wengi nyinyi mnaita mbinguni achene mambo yenu iyo sio mbingu kama ndio mbingu mm nishaenda sana na sijaona malaika wala yesu wala muhamad wala Mungu 😁😁😁
Hongera mkuu next time ukienda usisahau kumpiga Yesu pichaKinengunengu hayo mambo yaliokutokea wewe mm yameshanitokea Zaidi ya mara 10 hiyo sio mbingu kama dini zinavyosema hiyo hali mm inanitokea mara nyingi sana inakuwa hivi wakati nimelala najishangaa kuweza kujitambua kuwa hapa nimelala lakini najua nipo ndotoni naanza kupaaa kutoka nje ya dunia na kwenda mbali ambapo ukiwa huko infinity unaiona dunia ni ndogo sana naenda mpk sayari nyingine mm shida inayonikuta ni nikishafika huko infinity ambapo nyinyi mnaita mbingni njia ya kurudi huwa siijui naanza kulia 😭😭😭 kutafuta njia ya kurudi ghafla nafifanya invisible nayayuka mawazo yanatoka kule najikuta nisharudi duniani 😁😁😁
Kuna safari moja nilienda huko infinity nilitoka duniani nikaenda duniani iyo mbali nilirtoka nikaanza kuzipita syari kama mars basi nikafika huko nikakutana na watu wakubwa kila ninaemuuliza swali nataka kurudi dunia yet anasema haijui hiyo dunia yaan hawaitambui watu wapo bisy nikawa nalia kila nalofanya kila mtu yupo bisy na Maisha yake hakuna anaeonyesha kunisaidia nikawa nalia 😭😭 tu muda wote nani atanionyesha njia ya kurudi huku nikaona isiwe tabu kama kawaida yangu mm katika ndoto daima ni mshindi siwezi shindwa na jambo lolote 😁😁😁 katika ndoto nikajigeuza invisible nikayabadili mawazo yangu nikajikuta nipo duniani wee usiombe ikukute hiyo dunia ya mbali inatutokea wengi nyinyi mnaita mbinguni achene mambo yenu iyo sio mbingu kama ndio mbingu mm nishaenda sana na sijaona malaika wala yesu wala muhamad wala Mungu 😁😁😁
Hawanisumbui kwani kwa umri wangu nimeona mengi kwa macho yangu. Pia nimekutana na watu wa kila namna. Bado sana hao kuniyumbisha.Watabisha lakini watashindwa