Mbingu ni kweli ipo na huu ni ushuhuda wangu binafsi

Waongo sn Hawa watu,
Akiwapata watu 10 kuwabrain wash utaskia nae mtoa mada kafungua kanisa[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan binamuu wee acha tyuuh, full vituko.
 
mungu yupo...ila hayupo kama wadau wanavvyo muelezea
mimi naamini mungu ni nature basi...ukienda kinyume unaadhibiwa ..ukifa unajiunga kwa udongo unatoa mbolea mimea inastawi...anakula mwanadamu mwingine basi
 
Sura ya yesu uliovoiona Unaweza kuielezea ikoje, ukawii kusema yesu Ni mzungu[emoji1787]
Hahaaaaaa, mbona una niongoza nijibuje? Haya ila nakupenda we bro huna baya na mtu. Nilikuwa naandika comment za kukujaribu ukereke ila naona upo safi. Haina shida mkuu, nitaeleza siku nyingine ushuhuda juhusu Yesu.
 
Mtumishi Gani wa Mungu tena mzee wa kanisa unatumia misemo ya kihuni! Kama "Kamanda" mtaani ni msemo wa kihuni!...Jeshini ni jina lenye hadhi yake.
Sidhani hata kama umekula mchana huu maana sio kwa mnuno na makasiriko hayo. Kimsingi kwa umri wangu naenda na midundo yenu. Unajua mimi nimeajiriwa serikalini kama nani?
 
Mambo mengi ni ya kusadikika, ni sawa na ndoto tu.
Kama ni kweli uza vitu vyako vyote ulivyonavyo na uwagawie masikini
Sasa ili iwaje mkuu. Mimi nina familia na nitauzaje? Umeelewa hilo andiko alimaanisha nini?
 
Kinengunengu hayo mambo yaliokutokea wewe mm yameshanitokea Zaidi ya mara 10 hiyo sio mbingu kama dini zinavyosema hiyo hali mm inanitokea mara nyingi sana inakuwa hivi wakati nimelala najishangaa kuweza kujitambua kuwa hapa nimelala lakini najua nipo ndotoni naanza kupaaa kutoka nje ya dunia na kwenda mbali ambapo ukiwa huko infinity unaiona dunia ni ndogo sana naenda mpk sayari nyingine mm shida inayonikuta ni nikishafika huko infinity ambapo nyinyi mnaita mbingni njia ya kurudi huwa siijui naanza kulia 😭😭😭 kutafuta njia ya kurudi ghafla nafifanya invisible nayayuka mawazo yanatoka kule najikuta nisharudi duniani 😁😁😁

Kuna safari moja nilienda huko infinity nilitoka duniani nikaenda duniani iyo mbali nilirtoka nikaanza kuzipita syari kama mars basi nikafika huko nikakutana na watu wakubwa kila ninaemuuliza swali nataka kurudi dunia yet anasema haijui hiyo dunia yaan hawaitambui watu wapo bisy nikawa nalia kila nalofanya kila mtu yupo bisy na Maisha yake hakuna anaeonyesha kunisaidia nikawa nalia 😭😭 tu muda wote nani atanionyesha njia ya kurudi huku nikaona isiwe tabu kama kawaida yangu mm katika ndoto daima ni mshindi siwezi shindwa na jambo lolote 😁😁😁 katika ndoto nikajigeuza invisible nikayabadili mawazo yangu nikajikuta nipo duniani wee usiombe ikukute hiyo dunia ya mbali inatutokea wengi nyinyi mnaita mbinguni achene mambo yenu iyo sio mbingu kama ndio mbingu mm nishaenda sana na sijaona malaika wala yesu wala muhamad wala Mungu 😁😁😁
 

Watabisha lakini watashindwa
 
That is neither here nor there like some Schrodinger's cat suspended in quantum indeterminacy.
Hahaaaaaaaa, Kiranga bwana. Una Blah blah nyingi na Kiingereeza cha ugoko eti utanibabisha na kuniyumbisha. Yaani ukiandika hizo theories unajiona msomiiiiiii. Inawezekana family back ground yako umetoka kijijini na familia duni sana na sasa kuwa Marekani yaani ni kama upo Peponi na ndio maana unakuja na hizo theories na kiingereza cha Ugoko humu kutisha na kupotosha vijana. Hizo theories nilisomaga advance pale Galanos Secondary kipindi hiko na nyingine nilisoma pale SUA wakati nachukua First degree mpaka tukawa Tunamuita Prof. Mrema wa Department ya Soil Science Schrodinger. Nakumbuka kuna jamaa mmoja hadi leo kwenye group la letu la Advance Galanos Combination ya CBA tunamuita Quantam. Kwangu mimi huna mpya kiranga. We sema jingine mkuu.
 
Wacha weeeeeeeeeeeeeweeewwww
 
Hongera mkuu next time ukienda usisahau kumpiga Yesu picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…