Mbingu ni kweli ipo na huu ni ushuhuda wangu binafsi

Wacha weeeeeeeeeeeeeweeewwww
Mkuu mm inanitokea mara nyingi sana hiyo kwenda huko ambapo mnaita mbinguni ila shida yangu wakati wa kurudi unajikuta unarudi kwa spidi kali hatari na mara nyingine njia siijui hapo huwa nalia πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Hongera mkuu next time ukienda usisahau kumpiga Yesu picha
Aisee sijawahi kumuona huyo jamaa ila nikiona hata malaika nitawauliza maswali mengi ila target yangu nimuone mungu nimuulize maswali au hata yesu au muhamad huwa naenda mara kwa mara lkn wananikimbia 😁😁😁
 
Hii ni inferiority complex inaongea, kama mlikuwa hamuijui, leo ndiyo mmeiona hapa.
 
Asante umetufariji Sana
 
Bro kutoka moyoni, leo nimekudharau sana. Lengo lako ni nini kuniwekea hiyo theories?
Hujanidharau vya kutosha, jaribu tena.

Bora hata ungeuliza hili swali kabla ya kujishebedua unajua sana umesoma SUA, this and that.

Sasa kumbe ulikuwa unajishebedua kote huko bila hata kujua mimi nimeandika kwa lengo gani?
 
Kila mtu kashaota Yuko mbinguni...na kila mtu kashaota anaongea na Mungu.....sioni cha ajabu kabisa ..since ndoto ni mkusanyiko WA mawazo yako...ukiipenda Sana Range Rover kuna siku utaota unaendesha Range Rover
 
Mungu yupo ila nyinyi mnafanya mzaa sana, upelekwe mbinguni? acheni utani na Mungu wetu.
 
Hujanidharau vya kutosha, jaribu tena.

Bora hata ungeuliza hili swali kabla ya kujishebedua unajua sana umesoma SUA, this and that.

Sasa kumbe ulikuwa unajishebedua kote huko bila hata kujua mimi nimeandika kwa lengo gani?
Bro, mi nimeshamaliza. Leo nimekudharau sana, tena sana. Yaani ungekuwa karibu yangu ningekutema mate. Lengo la kuweka hizo theories ni nini? Yaani unitishe na hayo majina ili uonekane msomiiiiiiiiiiiii na unajua vituuuuuπŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜†πŸ˜…πŸ€£ ngoja nikuignore maana sio level yangu. Wewe ni "empty kabisa upstairs". Ngoja nijibu reply za wenzio ila sio wewe nimekuignore kuanzoa leo.
 
Wewe una inferiority complex.

Hata nikikusaliia "Hello" utanijibu kwa ghadhabu zako za maisha "Who are you calling a hoe?"

Una frustrations gani za maisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…