Mbingu ni kweli ipo na huu ni ushuhuda wangu binafsi

Wacha weeee, ebu jaribu kusoma ulichoandika kama utakielewa. U much know mwingine unatia aibu mbele za watu. Bora ungepita kimya tu.
 
Shimo lisilo na maji si tigo hiyo Sasa au unazungumzia shimo gani?
Unaona unajifunua ni mtu wa namna gani na Roho ya namna gani inayokutawala. From nowhere unakuja kuandika mashudu na vitu vya hovyo. Hata kama sikujui ila una mapepo sio bure.
 
Atajua mwenyewe
Hahaaaaaaa, Biblia ina waita watu kama nyie ni "watu wajikataao" pole kwa kukata tamaa na kuelemewa na mizigo ya dhambi. Yesu ni pendo nawe u wa thamani kwake. Anakupenda na anakuita sasa umrudie. Ebu kaa kwa utaratibu na tafakari kuhusu maisha yako kuwa umetoka wapi na unakwenda wapi? Tafakari ni mangapi ambayo Mungu kakuvusha na kukupitisha? Mkuu, mrudie muumba wako sasa, yeye anakupenda sana nawe u mtu wa thamani kwake. Usijikatae hivyo tokana na mizigo ya duniani.
 
Mungu wa kwenye hivyo vitabu sio mungu muumba wa yote.


Nitakubali vyoteee ila nitabisha hadi siku nachomwa moto kuwa kuna "kuchomwa moto milele" wha a fuckin' dude is this..!!
Hata enzi za Nuhu walisema hivyo kwa kuwa hawakuwahi ona mvua kubwa. Sodoma na Gomora walisema na kutamba hivyo lakini hasi leo miji hiyo imebaki kuwa majivu kama ushuhuda wa vizazi na vizazi. Hukumu ya milele ipo hata, kuzimu ipo, jehanum ya moto ipo. Ni wewe kuchagua sasa umilele wako kuwa utaishi wapi. Acha kujidanganya.
 
Sasa mkuu hapa najiandaa niende kazini kama Mungu ananipenda kwanini asinipe pesa nilale tu?
Na ukizingatia ni kipindi cha mvua usingizi ulivyo mzuri.
 
Wacha weeee, ebu jaribu kusoma ulichoandika kama utakielewa. U much know mwingine unatia aibu mbele za watu. Bora ungepita kimya tu.
Mimi sikuwaandikia nyie msioelewa msome bali nimewaandikia wanaoelewa siyo kila kinacholetwa humu utakielewa au umeandikiwa wewe,tumbili hawezi kuwa nyani hata siku moja.
 
Sasa mkuu hapa najiandaa niende kazini kama Mungu ananipenda kwanini asinipe pesa nilale tu?
Na ukizingatia ni kipindi cha mvua usingizi ulivyo mzuri.
Huyo anajiita muinjilist kwanini asiifanye kazi hiyo bure kwa kuwa ni ya Mungu lakini anadai sadaka?

Kwanini asiishi kwa kuvuta hewa tu iliyo ya bure?

Na kwanini wanakamsemo asiyefanua kazi na asile kwahiyo wanakubali kuwa hiyo ni ajira wako kazini wanaingiza kipato watoto waende chooni?
 
Mimi naomba kuuliza hivi miti nayo itachomwa?na je ilikombolewa na nani, yesu?

Mbwa na nyoka wanatung'ata watu je hiyo siyo dhambi wanafanya nani atawahukumu?

Ujinga mliolishwa waafrikana utavigharimu vizazi vyenu na umasikini utawatawala kwa kupoyeza muda wa kufanyakazi mjipatie kipato mnakalia kushinda makanisani ma misikitini Mungu hana muda mchafu wa kusikiliza makelele yenu kila saa wakati kuna wahitaji wanamuomba moja kwa moja siyo kupitia kwa hao matapeli wamaojiita wachungaji na maaskofu.

Haya huyo yesu mnayemuabudu atuondolee serikali na viongozi badhilifunwaliojificha kwenye vivuli vya dini za kigeni na ushoga.

MUNGU alishatuumba tule maisha hamna cha jehanamu wala moto wala mwisho wa dunia ndiyo maana watu wanazaana wanaongezeka lakini viumbe vingine vinapotea.

Kama kuna mwisho wa dunia hii basi ni kwa watu kujaza dunia na kukanyagana kwa kusongamana na kukosa hewa siyo vinginevyo,tusubiri kufa kila mtu kwa wakati wake na style yake,kwisha.
 
Mkuu Kinengunengu una uhakika unawajua majini au unawaskia tu? hao raia waliwahi kumpatia utume wa mchongo mzee mmoja hapo mkuranga ilikuwa shughuli jamaa akajitangazia utume asubuhi na mapema, mtume simu ikiita msikitini anakata network anazimika, sijui amepotelea wapi siku hizi.

Na ndio hao waliokuja kukubeba usiku kwenda kukuimbisha huko kusikojulikana.

"Na waambie: haki imefika, na batili imetoweka, hakika batili lazima itoweke."

Qur'an 17:81
 
Weewee, hilo ni wenge lako la mafikira yako unayoshinda nayo na kukesha nayo mtaani ndio reflection yake hiyo ukadhani umeenda kweli mbinguni, kwani mbinguni ni juu au chini ya dunia? Hebu nenda tena Leo mchana, Acha kuweweseka na uchovu wa mwili ukadhani umepaa ni upuuzi
 
Hakuna anayebisha uwepo wa Mungu, ila hizo mbinu mnazotumia kuibia waumini
 
Ulivyorahisisha mambo sasa utadhani wewe ndio muumba mwenyewe, katika ukafiri mkubwa ni mtu kupinga jambo la kufufuliwa na huu ni upagani wa wazi, hivi ninyi vichwa vyenu mnavitumia kufanyaje? haufikirii mambo yote yalivyopangwa kwa ustadi wa hali ya juu? hautizami watu wanavyokuja na kuondoka? hauzingatii wengine wanavyodhulumu wenzao?.

Unataraji hayo yatapita burebure? acha kujipa moyo kwenye hamna mkuu, utatumia muda wako na ukifika wakati unaondoka kwenda kulekule walipo wenzako, huko wanaposubiri tukamilike wote kisha siku ya mwisho ifike na hukmu ipite na kila mmoja alipwe kwa kile alichokifanya.

"Wamedai wale waliokufuru ya kwamba hawatofufuliwa, sema: kwanini msifufuliwe!? ninaapa kwa mola wangu! hapana shaka mtafufuliwa na kisha hapana shaka mtaambiwa {yote} mliyoyatenda, na hayo kwa allah ni mepesi".

Qur'an 64:7

Jiandae na kifo chako mkuu, kikifika hicho ndio kiama chako kidogo kisha kufufuliwa ndio kiama chenyewe, na si busara kujipa matumaini kwenye hamna, no where to run.
 
Hallucinations hizo, hata TEJA nae akipuliza BANGI zake akabwia UNGA, nae anafikw ULAYA akapigwa Story na wanamuziki wakubwa tu...then ALOSTO ikishuka anajikuta yupo TANDALE kwa MTOGOLE[emoji1787][emoji1787]
 
Kwani umulele wamtu ulipangwa nanani?
Hayo simajukum yaalieniumba ndie anaejua alivyoniprogram kuwa Mimi nitakuwa waupandegan
 
TAG NYANDA ZA JUU KANISA GANI MZEE???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…