Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Kuna mwamba anaitwa mdakabomu anavyoanza unaweza mpiga hadi goli 5 ukahisi ni kibonde. Jamaa jana nilimchakaza goli 5 lkn nashangaa alianza nipigia sijui kopi gani nikala mvua 10 mfululizo. Kama upo humu ndani leo nakusaka nikitoka tu job.
 
Mara nyingine unakuta KING inashindwa kula hii kitu mnairekebisha vipi?
 
Kuna mwamba anaitwa mdakabomu anavyoanza unaweza mpiga hadi goli 5 ukahisi ni kibonde. Jamaa jana nilimchakaza goli 5 lkn nashangaa alianza nipigia sijui kopi gani nikala mvua 10 mfululizo. Kama upo humu ndani leo nakusaka nikitoka tu job.
Nilimpiga mbona mwepesi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…