Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Wewe ikitokea umenifunga..naenda kurusha mawe kwenye mkutano wa raisiUna mkwara. Maliza kujisajili uje kutaja id upasuke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ikitokea umenifunga..naenda kurusha mawe kwenye mkutano wa raisiUna mkwara. Maliza kujisajili uje kutaja id upasuke
Hawa wote matula hawajui, ko hamna anaeweza kumfunga upupu
Jisajili , wenzio wote nishawabikiri , kabaki mmoja tu, nae ndamtafuta mda si mrefuWe maamuma ngoja nijisajili uko nije nikuue
Unaleta dharau wakati wenzio niShawashughulikiaLabda bingwa wa kukanda maandazi
hahaha usha pasuka tayari au bado una hamu?P
We tula panda kitandani...nikukute na gagulo lako
Njoo now niko active
We tula taja I'd yako..kiande wew
Uko vizur kijana 1;1Njoo now niko active
We mamdogo si tumetoka 1:1hahaha usha pasuka tayari au bado una hamu?
Umemfunga chivundu goli LA kete tatu LA kizembe..kosa lake lilikua alivochanganya kete apaNjoo now niko active
Mimi ndo nimefungwa, lilikua bao la sare ila nilikua namtest kete tatu kama anajuaUmemfunga chivundu goli LA kete tatu LA kizembe..kosa lake lilikua alivochanganya kete apa
View attachment 1842763
Afu umenikimbiaWe mamdogo si tumetoka 1:1
We mi nlikua sielewi lakini ngoma ya mwisho nimekuta draft limegeuka juu chini..nkaamua ni resign..kumbe nahesabiwa nimelose..hapo ndo ukapata matokeo ya 2:2Afu umenikimbia
Of course mi ngoma nyingi miguu nimechukua ya dalmax...ila kama MTU anafuatisha..itakua ujinga wakeAfu kuna watu wanatumia dalmax nisha gundua
Me hata ulitumia dalmax unaliwa kichwa tu,Of course mi ngoma nyingi miguu nimechukua ya dalmax...ila kama MTU anafuatisha..itakua ujinga wake
We mwanaidi taja I'd yako kule
Kafungue table Sasa ivi nikuvamie fastaWe mwanaidi taja I'd yako kule