Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

Taja username nikutafute baadae nikuchape acha maneno.
Iyo badae ndakutajia ila kama point zako ni hazijafika 1410, sitacheza na wewe, ila kama point zako zitazidi 1350 ndakufikiria tula, Mana naweza nikawa na bishana na wewe hafu point zako unakuta ni 1040
 
Ubaya wa kucheza na tura mwenye point chache, 1099, ukimfunga unachukua point tano , akisare anachukua Zaid ya izo, akipata goli anachua Zaid ya 30,
 
Wazee wa playok. Mkicheza na ukaona baada ya step kadhaa mshindani wako kashaingia kwenye kopi flani, screanshot na ututajie jina la kopi usika kwa kushea nasi picha
 
Wazee wa playok. Mkicheza na ukaona baada ya step kadhaa mshindani wako kashaingia kwenye kopi flani, screanshot na ututajie jina la kopi usika kwa kushea nasi picha
Acha uvivu..kopy lazima iwe ana kwa ana na mcheze kitukitu..we unataka elimu bure
 
Haha kumbe unazi Mimi ni king kibano wewe Bhan😄😄😄 ndakulakachua mpaka unichukie muulize scars9 ni livyo mtungunyua na mpemba, na muulize mabata kashuhudia mechi zangu , jinsi nilivyo hatari.
Ndakuchapa mpaka utavaa Dela badala ya suruali tula.
Wewe ni sijui nani nani mwado...unajifanya kubadili jina Tena..umesahau ulivotaja juzi..zambwa we
 
Wazee wa playok. Mkicheza na ukaona baada ya step kadhaa mshindani wako kashaingia kwenye kopi flani, screanshot na ututajie jina la kopi usika kwa kushea nasi picha
lazima utoe ela , nikutumie copy, Sasa wewe unataka Bure , screen shot haita kusaidia copy zina mambo mengi, Leo ivi kesho vile
 
Back
Top Bottom