Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
hafu wewe tula sichezi na wewe kama point zako ziko chini ya 1410, Mana utakuwa unaninyonyaWw kama sio kingkibano bas geobest na wote vibonde.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hafu wewe tula sichezi na wewe kama point zako ziko chini ya 1410, Mana utakuwa unaninyonyaWw kama sio kingkibano bas geobest na wote vibonde.
Taja username nikupandie uko playok.hafu wewe tula sichezi na wewe kama point zako ziko chini ya 1410, Mana utakuwa unaninyonya
Iyo badae ndakutajia ila kama point zako ni hazijafika 1410, sitacheza na wewe, ila kama point zako zitazidi 1350 ndakufikiria tula, Mana naweza nikawa na bishana na wewe hafu point zako unakuta ni 1040Taja username nikutafute baadae nikuchape acha maneno.
Taarabu kibao.Iyo badae ndakutajia ila kama point zako ni hazijafika 1410, sitacheza na wewe, ila kama point zako zitazidi 1350 ndakufikiria tula, Mana naweza nikawa na bishana na wewe hafu point zako unakuta ni 1040
Sasa rafiki yangu mi points zimeniishia njoo nichangie
ukiwa na point 1040, au chini 1200, wewe ni tura ujui kitu, ndakuwekea vigezo sababu huna nidhamu , Sasa nikute hujanifikiaTaja username nikupandie uko playok.
Unazungazunguka ili iweje
taarabu utajua tu, kama wewe ni mchezaji utakuwa unapoint nzuri tu, lakini kama ni tura 1250 najua ujavuka,Taarabu kibao.
sare tufungane. Mana hata moja moja ni sare, sare na goli hapo mshindi amepatikanaNani anaweza kunizuilisha sale mbili?
Poa mzee tufungane...sare tufungane. Mana hata moja moja ni sare, sare na goli hapo mshindi amepatikana
Njoo kule kati..natoa darasajuma mpemba nakutafuta
Acha uvivu..kopy lazima iwe ana kwa ana na mcheze kitukitu..we unataka elimu bureWazee wa playok. Mkicheza na ukaona baada ya step kadhaa mshindani wako kashaingia kwenye kopi flani, screanshot na ututajie jina la kopi usika kwa kushea nasi picha
Tutaona mjini hii tarehe..ntakua na mabingwa wangu wa dodoma
Wewe ni sijui nani nani mwado...unajifanya kubadili jina Tena..umesahau ulivotaja juzi..zambwa weHaha kumbe unazi Mimi ni king kibano wewe Bhan😄😄😄 ndakulakachua mpaka unichukie muulize scars9 ni livyo mtungunyua na mpemba, na muulize mabata kashuhudia mechi zangu , jinsi nilivyo hatari.
Ndakuchapa mpaka utavaa Dela badala ya suruali tula.
Taja I'd yako kule .watu tunaojiamini tunakuja na I'd zetu za humuhumuNakwambia huna miguu ya kunifunga, tafuta kamisaa tuweke mzigo tuumane.
Wazee wa playok. Mkicheza na ukaona baada ya step kadhaa mshindani wako kashaingia kwenye kopi flani, screanshot na ututajie jina la kopi usika kwa kushea nasi picha
sibadili jina mimiWewe ni sijui nani nani mwado...unajifanya kubadili jina Tena..umesahau ulivotaja juzi..zambwa we
lazima utoe ela , nikutumie copy, Sasa wewe unataka Bure , screen shot haita kusaidia copy zina mambo mengi, Leo ivi kesho vileWazee wa playok. Mkicheza na ukaona baada ya step kadhaa mshindani wako kashaingia kwenye kopi flani, screanshot na ututajie jina la kopi usika kwa kushea nasi picha