Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
nawauzia kopy mpaka hesabu kijana, philosophy ya kucheza nakuinduce mawazoKam unaweza uza hesabu sema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nawauzia kopy mpaka hesabu kijana, philosophy ya kucheza nakuinduce mawazoKam unaweza uza hesabu sema.
Una njaa sana mzee.nawauzia kopy mpaka hesabu kijana, philosophy ya kucheza nakuinduce mawazo
Kwann tusianzshe group la wasapu ili tujifunze kopi Mimi Niko chini sana
Uko wapi mbona nakusaka sikuoni?We boya nina kazi na wewe baadae
Uko wapi mbona nakusaka sikuoni?
Kibonde unanikimbia sanaTafuta points uniletee, sasa hivi ratiba siyo poa.
Kibonde unanikimbia sana
Sikimbii sema Leo mtandao umenizingua sanaWe jamaa nakutafuta unakimbia, Sasa hivi nataka nirudishe heshima.
Me ni hatari uwezi pata goal
🤓🤓🤓Ukimfunga tu anakimbiaSiyo kwa sasa mzee, ila Uchebemubaya ananisumbua sumbua.
Namlia timing.
Kama una muda tupige game 3 tu🤓🤓🤓Ukimfunga tu anakimbia
Darius acha perepeche siku zote hua unanikimbiaUlipata goli la kuokota leo
Playok kuna watu wanapiga, nimecheza na stallione na malaika nimepigwa kipigo cha paka jizi
Jana nimekufunga goli sita na sare tatu .
Pole sana cheza na kingmwando au juma mpembaPlayok kuna watu wanapiga, nimecheza na stallione na malaika nimepigwa kipigo cha paka jizi