Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔
Huwezi kujifunzia ukubwani..aheri ukakande maandazi na kalimati...ndani ya wiki itakua mpishi mzuri sanaKwann tusianzshe group la wasapu ili tujifunze kopi Mimi Niko chini sana
Uyo mamdogo tu ..hana uwezo wa kumuuzia MTU copy.Una njaa sana mzee.
Jana nimekufunga goli sita na sare tatu .
Hao si watakua moto wa kuotea mbali kuliko malaika na stallione?Pole sana cheza na kingmwando au juma mpemba
Itakua una utani wa ngumi na mabata, mabata mbona ana points nzuri tu, huyo siyo kibonde
Vibonde tu hivyoHao si watakua moto wa kuotea mbali kuliko malaika na stallione?
Itakua unalisakata kwelikweli, ngoja nijifue nifikishe points nyingi nianze kucheza na wenye points 1300+ ukiwemo na wewe
Kwani una points ngapi?Itakua unalisakata kwelikweli, ngoja nijifue nifikishe points nyingi nianze kucheza na wenye points 1300+ ukiwemo na wewe
Muulize mwenzio dariusrr nimemfanyaje , saiZ sina fear play ni mwendo wa kichapo tuPole sana cheza na kingmwando au juma mpemba
[emoji41][emoji41] otherwise aje kwangu ni mmpe maujuzi kwa ela.[emoji851][emoji851][emoji851]wakitaaHuwezi kujifunzia ukubwani..aheri ukakande maandazi na kalimati...ndani ya wiki itakua mpishi mzuri sana
Kwani wewe Mbinu zangu sijakupa , au Mara ya mwisho matokeo yalikuajeUyo mamdogo tu ..hana uwezo wa kumuuzia MTU copy.
[emoji851][emoji851][emoji851]Jana nilichapika aisee, leo namtafuta Castr nipate points chache
Ukitaka point za Bure cheza na mabata, ila kaa ukijua hamna unachopataHao si watakua moto wa kuotea mbali kuliko malaika na stallione?
Nina point 1400 plus, ili ukikutana na Mimi hata kama unapoint 1200 minus nakuchukua ivyo ivyo na nakomba hizo point chacheItakua unalisakata kwelikweli, ngoja nijifue nifikishe points nyingi nianze kucheza na wenye points 1300+ ukiwemo na wewe
Nani alikupa kipigo?
Uko wapi tuzipange we mama wa kihindi
Screenshot statistics kama ulinipa mbinu..mi siwezi ngatwa na kipepeoKwani wewe Mbinu zangu sijakupa , au Mara ya mwisho matokeo yalikuaje