Mbinu hii ikitumika, Dr SLAA anatoka gerezani siku mbili

Mbinu hii ikitumika, Dr SLAA anatoka gerezani siku mbili

Fastaaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2016
Posts
575
Reaction score
855
Wanajukwaa heshima iwe kwenu.

Hivi kweli wenye mapenzi mema wanashindwa na walaghai na wafitini wenye kumshikilia Mzee Slaa na kumnyima dhamana kusiko haki?

La Hasha,
Mbinu hizi zitumike, huenda zikazalisha mengi zaidi mazuri ya neema kwa WaTz nchi ikapata mabadiliko muhimu sana kupitia sakata la Dr SLAA.

Moja,
Mawakili wooote wanaopambania ile kesi watangaze kujitoa na kuiachia mahakama na mawakili wa serikali waendelee nayo wenyewe. Kwanza Slaa mwenyewe alisomea canon law hivyo anaweza kujitetea mwenyewe.
Wakitaka wamfunge, wakitaka wamuue.
Hili suala litangazwe waziwazi mchana kweupe, kwamba watu hawawezi kupoteza muda wa kwenye mahakama zisizofuata kanuni, kuchezeana sarakasi zisizo na kichwa wala miguu.

Pili,
Hili suala la maCCM na wauza bandari la Tanganyika kutaka kumkomoa/kumuua Dr. Slaa (mtetezi wa kweli haki za Tanganyika ndani ya Tanzania) LIWEKWE WAZI, ifanye PRESS ya ukweli, na Itangazwe kuwa endapo ikitokea Dr SLAA akafanyiwa jambo baya kama kufungwa au kufa basi maandamano hayatokoma mpaka mkoloni mweusi atakapoiachia nchi yetu.

Tatu,
Tangazo la maandamano litolewe endapo Dr. Slaa hatoaachiwa ndani ya siku mbili. Kama wanashakia usalama wake basi hao wanaodhaniwa kutaka kumdhuru ndo wakamatwe.

Abdul na Mama yake hawawezi kufanya wapendavyo kwenye nchi ya wote hii.

HAKI LAZIMA ISIMAME, WALA SIYO YA KUBEMBELEZANA.
 
Wanajukwaa heshima iwe kwenu.

Hivi kweli wenye mapenzi mema wanashindwa na walaghai na wafitini wenye kumshikilia Mzee Slaa na kumnyima dhamana kusiko haki?

La Hasha,
Mbinu hizi zitumike, huenda zikazalisha mengi zaidi mazuri ya neema kwa WaTz nchi ikapata mabadiliko muhimu sana kupitia sakata la Dr SLAA.

Moja,
Mawakili wooote wanaopambania ile kesi watangaze kujitoa na kuiachia mahakama na mawakili wa serikali waendelee nayo wenyewe. Kwanza Slaa mwenyewe alisomea canon law hivyo anaweza kujitetea mwenyewe.
Wakitaka wamfunge, wakitaka wamuue.
Hili suala litangazwe waziwazi mchana kweupe, kwamba watu hawawezi kupoteza muda wa kwenye mahakama zisizofuata kanuni, kuchezeana sarakasi zisizo na kichwa wala miguu.

Pili,
Hili suala la maCCM na wauza bandari la Tanganyika kutaka kumkomoa/kumuua Dr. Slaa (mtetezi wa kweli haki za Tanganyika ndani ya Tanzania) LIWEKWE WAZI, ifanye PRESS ya ukweli, na Itangazwe kuwa endapo ikitokea Dr SLAA akafanyiwa jambo baya kama kufungwa au kufa basi maandamano hayatokoma mpaka mkoloni mweusi atakapoiachia nchi yetu.

Tatu,
Tangazo la maandamano litolewe endapo Dr. Slaa hatoaachiwa ndani ya siku mbili. Kama wanashakia usalama wake basi hao wanaodhaniwa kutaka kumdhuru ndo wakamatwe.

Abdul na Mama yake hawawezi kufanya wapendavyo kwenye nchi ya wote hii.

HAKI LAZIMA ISIMAME, WALA SIYO YA KUBEMBELEZANA.
When the Snitch is snitched!!keep the distance with the snitchers! Karma is a Bitch and never sleep!!Let him get strip!!
 
Wanajukwaa heshima iwe kwenu.

Hivi kweli wenye mapenzi mema wanashindwa na walaghai na wafitini wenye kumshikilia Mzee Slaa na kumnyima dhamana kusiko haki?

La Hasha,
Mbinu hizi zitumike, huenda zikazalisha mengi zaidi mazuri ya neema kwa WaTz nchi ikapata mabadiliko muhimu sana kupitia sakata la Dr SLAA.

Moja,
Mawakili wooote wanaopambania ile kesi watangaze kujitoa na kuiachia mahakama na mawakili wa serikali waendelee nayo wenyewe. Kwanza Slaa mwenyewe alisomea canon law hivyo anaweza kujitetea mwenyewe.
Wakitaka wamfunge, wakitaka wamuue.
Hili suala litangazwe waziwazi mchana kweupe, kwamba watu hawawezi kupoteza muda wa kwenye mahakama zisizofuata kanuni, kuchezeana sarakasi zisizo na kichwa wala miguu.

Pili,
Hili suala la maCCM na wauza bandari la Tanganyika kutaka kumkomoa/kumuua Dr. Slaa (mtetezi wa kweli haki za Tanganyika ndani ya Tanzania) LIWEKWE WAZI, ifanye PRESS ya ukweli, na Itangazwe kuwa endapo ikitokea Dr SLAA akafanyiwa jambo baya kama kufungwa au kufa basi maandamano hayatokoma mpaka mkoloni mweusi atakapoiachia nchi yetu.

Tatu,
Tangazo la maandamano litolewe endapo Dr. Slaa hatoaachiwa ndani ya siku mbili. Kama wanashakia usalama wake basi hao wanaodhaniwa kutaka kumdhuru ndo wakamatwe.

Abdul na Mama yake hawawezi kufanya wapendavyo kwenye nchi ya wote hii.

HAKI LAZIMA ISIMAME, WALA SIYO YA KUBEMBELEZANA.
Wewe utaandamana au ndio wale wale vidole virefu siku ya tukio umejifunika shuka unaharisha!
 
What has she got to do with this?。
Amiri jeshi mkuu na msimamizi wa mhimili ule unaoimeza mahakama na kukosa kutenda haki, huyo wapili ndiye subject wa kesi aliyeshtakiwa nayo Dr. Slaa baada ya kusemekana kutaka kumwaga hela uchaguzi wa CHADEMA.

Hao ndo wahusika wakuu wa hiyo kesi, hata wewe unajua, majaji wanaorusha rusha mpira wanajua, polisi wanaojikosesha gari wanajua, na wewe unayejaribu kupindisha maneno hapa UNALIJUA HILO.
 
Wewe utaandamana au ndio wale wale vidole virefu siku ya tukio umejifunika shuka unaharisha!
Hilo halikuhusu wewe, tangazo litoke mtaona.

Ingawa, bila hata Tangazo, muombeeni afya njema, akifia huko tu mmeisha mark my words. Mgombea wa CCM atabadilishwa na hilo saga. SUBIRINI
 
Dr. Slaa alikuwa too excited,akafanya Ile harangue,akakamatwa.
Imekuwa kawaida yake Dr. Slaa anakuwa hyperexcited.
Ingawa sometimes amekuwa kama conscience ya Taifa.
Lakini I am disappointed kwamba bado yuko mahabusu na anaombewa dhamana wakati mtu wa heshima kama Dr. Slaa anatakiwa kuombewa unconditional release.
This is absurd to disturb an old man.
What again was the charge against him?
I forget what he said.
Kwamba alilalamika kwamba Rais Samia anatoa hela kwa wapendwa wake wengine.
I forget the complaint.
Mi kwa mfano,miaka miwili almost sina medical card.
I am amazed at all this money that is being flashed about.
Nchi imekamatwa na watu wachache, everybody else does not matter.
Na trillioni zao benki ukiwasema kidogo wanasema umewaletea uchungu mwingi.
 
Wanajukwaa heshima iwe kwenu.

Hivi kweli wenye mapenzi mema wanashindwa na walaghai na wafitini wenye kumshikilia Mzee Slaa na kumnyima dhamana kusiko haki?

La Hasha,
Mbinu hizi zitumike, huenda zikazalisha mengi zaidi mazuri ya neema kwa WaTz nchi ikapata mabadiliko muhimu sana kupitia sakata la Dr SLAA.

Moja,
Mawakili wooote wanaopambania ile kesi watangaze kujitoa na kuiachia mahakama na mawakili wa serikali waendelee nayo wenyewe. Kwanza Slaa mwenyewe alisomea canon law hivyo anaweza kujitetea mwenyewe.
Wakitaka wamfunge, wakitaka wamuue.
Hili suala litangazwe waziwazi mchana kweupe, kwamba watu hawawezi kupoteza muda wa kwenye mahakama zisizofuata kanuni, kuchezeana sarakasi zisizo na kichwa wala miguu.

Pili,
Hili suala la maCCM na wauza bandari la Tanganyika kutaka kumkomoa/kumuua Dr. Slaa (mtetezi wa kweli haki za Tanganyika ndani ya Tanzania) LIWEKWE WAZI, ifanye PRESS ya ukweli, na Itangazwe kuwa endapo ikitokea Dr SLAA akafanyiwa jambo baya kama kufungwa au kufa basi maandamano hayatokoma mpaka mkoloni mweusi atakapoiachia nchi yetu.

Tatu,
Tangazo la maandamano litolewe endapo Dr. Slaa hatoaachiwa ndani ya siku mbili. Kama wanashakia usalama wake basi hao wanaodhaniwa kutaka kumdhuru ndo wakamatwe.

Abdul na Mama yake hawawezi kufanya wapendavyo kwenye nchi ya wote hii.

HAKI LAZIMA ISIMAME, WALA SIYO YA KUBEMBELEZANA.
Gentleman kazee kanaandamwa na kanateswa na laana, unababaika na mawakili,

useless kabisa🐒
 
Kwani Kosa la Dr.Slaa ni lipi?

Juzi niliona Clip Rais ana sema "Rais wa Tanzania haondolewi hivyo mnavyopanga huko mitaani, na uzuri mipango yenu yote na kila mlichoongea ninacho"

Nikahisi labda Dr.Slaa ni moja ya wahusika. Sifahamu kashitakiwa kwa kosa gani wana JF.

Na kama alihusika kupanga uhaini ni kosa, ama aombe asemehewe au atafia jela.
 
Mawakili wooote wanaopambania ile kesi watangaze kujitoa na kuiachia mahakama na mawakili wa serikali waendelee nayo wenyewe. Kwanza Slaa mwenyewe alisomea canon law hivyo anaweza kujitetea mwenyewe.
Wakitaka wamfunge, wakitaka wamuue.
Hili suala litangazwe waziwazi mchana kweupe, kwamba watu hawawezi kupoteza muda wa kwenye mahakama zisizofuata kanuni, kuchezeana sarakasi zisizo na kichwa wala miguu.
Ukitubeep tunakupigia
 
Back
Top Bottom