Wanajukwaa heshima iwe kwenu.
Hivi kweli wenye mapenzi mema wanashindwa na walaghai na wafitini wenye kumshikilia Mzee Slaa na kumnyima dhamana kusiko haki?
La Hasha,
Mbinu hizi zitumike, huenda zikazalisha mengi zaidi mazuri ya neema kwa WaTz nchi ikapata mabadiliko muhimu sana kupitia sakata la Dr SLAA.
Moja,
Mawakili wooote wanaopambania ile kesi watangaze kujitoa na kuiachia mahakama na mawakili wa serikali waendelee nayo wenyewe. Kwanza Slaa mwenyewe alisomea canon law hivyo anaweza kujitetea mwenyewe.
Wakitaka wamfunge, wakitaka wamuue.
Hili suala litangazwe waziwazi mchana kweupe, kwamba watu hawawezi kupoteza muda wa kwenye mahakama zisizofuata kanuni, kuchezeana sarakasi zisizo na kichwa wala miguu.
Pili,
Hili suala la maCCM na wauza bandari la Tanganyika kutaka kumkomoa/kumuua Dr. Slaa (mtetezi wa kweli haki za Tanganyika ndani ya Tanzania) LIWEKWE WAZI, ifanye PRESS ya ukweli, na Itangazwe kuwa endapo ikitokea Dr SLAA akafanyiwa jambo baya kama kufungwa au kufa basi maandamano hayatokoma mpaka mkoloni mweusi atakapoiachia nchi yetu.
Tatu,
Tangazo la maandamano litolewe endapo Dr. Slaa hatoaachiwa ndani ya siku mbili. Kama wanashakia usalama wake basi hao wanaodhaniwa kutaka kumdhuru ndo wakamatwe.
Abdul na Mama yake hawawezi kufanya wapendavyo kwenye nchi ya wote hii.
HAKI LAZIMA ISIMAME, WALA SIYO YA KUBEMBELEZANA.
Hivi kweli wenye mapenzi mema wanashindwa na walaghai na wafitini wenye kumshikilia Mzee Slaa na kumnyima dhamana kusiko haki?
La Hasha,
Mbinu hizi zitumike, huenda zikazalisha mengi zaidi mazuri ya neema kwa WaTz nchi ikapata mabadiliko muhimu sana kupitia sakata la Dr SLAA.
Moja,
Mawakili wooote wanaopambania ile kesi watangaze kujitoa na kuiachia mahakama na mawakili wa serikali waendelee nayo wenyewe. Kwanza Slaa mwenyewe alisomea canon law hivyo anaweza kujitetea mwenyewe.
Wakitaka wamfunge, wakitaka wamuue.
Hili suala litangazwe waziwazi mchana kweupe, kwamba watu hawawezi kupoteza muda wa kwenye mahakama zisizofuata kanuni, kuchezeana sarakasi zisizo na kichwa wala miguu.
Pili,
Hili suala la maCCM na wauza bandari la Tanganyika kutaka kumkomoa/kumuua Dr. Slaa (mtetezi wa kweli haki za Tanganyika ndani ya Tanzania) LIWEKWE WAZI, ifanye PRESS ya ukweli, na Itangazwe kuwa endapo ikitokea Dr SLAA akafanyiwa jambo baya kama kufungwa au kufa basi maandamano hayatokoma mpaka mkoloni mweusi atakapoiachia nchi yetu.
Tatu,
Tangazo la maandamano litolewe endapo Dr. Slaa hatoaachiwa ndani ya siku mbili. Kama wanashakia usalama wake basi hao wanaodhaniwa kutaka kumdhuru ndo wakamatwe.
Abdul na Mama yake hawawezi kufanya wapendavyo kwenye nchi ya wote hii.
HAKI LAZIMA ISIMAME, WALA SIYO YA KUBEMBELEZANA.