Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeongea kweli, mtu yupo kwenye key board anazungumza maswala ya njozi zake tu. Huwezi kupambana na serikali kirahisi rahisi kama unavyo dhania. Ona ANC walipambana miaka 30 Mandela akiwa ndani tena mapambano ya kigaidi. Maelfu ya watu walikufa kwenye mapambano yale. Ona Congo M23 na vikundi vingine vinazaidi ya miaka 20 vipo msituni vinapambana tu. Wewe umelala kitandani na kasimu kako unataka kuwaongopea watu.
Nitakuja kutolea hapo mbele kwako.Ingependeza zaidi ungeonyesha mfano wa kutoa tamko🤣🤣🤣🤣
Sasa ukija mbele kwangu utakutana na bolodinda na huwa halizimi mpaka lichezewe🤣🤣Nitakuja kutolea hapo mbele kwako.
Mnaouza utu wenu kwa tende na halua mnatia huruma sanaNASIMAMIA LAANA INAYOMZONGA HAKO KAZEE GENTLEMAN![]()
Nilidhani una akili
Slaa balozi? Aliyesema chakadomoz mnatekana na kuuana, kwamba Lissu risasi ni normal tu, na akawauza pale Serena hotel?
Una akili fupi mno aisee…. Huyo mzee anatesingizia usalama wamemwambia wako tayari kwenda barabarani kuqndamana?
Acheni akome na ufitini wake
Chadomoz mnahangaika sana kihisia… and you don’t know where you stand
Niite uone.Haya yote uliyoyaandika,je ukiitwa unaweza kuyasema kama yalivyo?.
Alikuwa anazungumza lini na akiwa wapi? Pengine kijembe alikuwa anawatupia hao hao CCM wenzake.Kwani Kosa la Dr.Slaa ni lipi? Juzi niliona Clip Rais ana sema "Rais wa Tanzania haondolewi hivyo mnavyopanga huko mitaani, na uzuri mipango yenu yote na kila mlichoongea ninacho"
Nikahisi labda Dr.Slaa ni moja ya wahusika. Sifahamu kashitakiwa kwa kosa gani wana JF.
Na kama alihusika kupanga uhaini ni kosa, ama aombe asemehewe au atafia jela.
Nani amwite? Mbona unaleta mikwala mbuzi ya kizamani kabisa wewe boya?Haya yote uliyoyaandika,je ukiitwa unaweza kuyasema kama yalivyo?.
Mwandishi mkongwe na mwanasheria kuuliza swali kama hili ni ajabu sana!!What has she got to do with this?!。
P
We umelewa pombe ikiisha uje kuandika tenaWanajukwaa heshima iwe kwenu.
Hivi kweli wenye mapenzi mema wanashindwa na walaghai na wafitini wenye kumshikilia Mzee Slaa na kumnyima dhamana kusiko haki?
La Hasha,
Mbinu hizi zitumike, huenda zikazalisha mengi zaidi mazuri ya neema kwa WaTz nchi ikapata mabadiliko muhimu sana kupitia sakata la Dr SLAA.
Moja,
Mawakili wooote wanaopambania ile kesi watangaze kujitoa na kuiachia mahakama na mawakili wa serikali waendelee nayo wenyewe. Kwanza Slaa mwenyewe alisomea canon law hivyo anaweza kujitetea mwenyewe.
Wakitaka wamfunge, wakitaka wamuue.
Hili suala litangazwe waziwazi mchana kweupe, kwamba watu hawawezi kupoteza muda wa kwenye mahakama zisizofuata kanuni, kuchezeana sarakasi zisizo na kichwa wala miguu.
Pili,
Hili suala la maCCM na wauza bandari la Tanganyika kutaka kumkomoa/kumuua Dr. Slaa (mtetezi wa kweli haki za Tanganyika ndani ya Tanzania) LIWEKWE WAZI, ifanye PRESS ya ukweli, na Itangazwe kuwa endapo ikitokea Dr SLAA akafanyiwa jambo baya kama kufungwa au kufa basi maandamano hayatokoma mpaka mkoloni mweusi atakapoiachia nchi yetu.
Tatu,
Tangazo la maandamano litolewe endapo Dr. Slaa hatoaachiwa ndani ya siku mbili. Kama wanashakia usalama wake basi hao wanaodhaniwa kutaka kumdhuru ndo wakamatwe.
Abdul na Mama yake hawawezi kufanya wapendavyo kwenye nchi ya wote hii.
HAKI LAZIMA ISIMAME, WALA SIYO YA KUBEMBELEZANA.
We ni zero brainWao watangaze waone, maana wakishatangaza itakuwa ishara tosha, Dr. Slaa hata akifa kwa mapenzi ya Mungu basi kitanuka.
Hv unafikiri unawaandika mazuzu? Kafanye mambo yako umeandika utumboAmiri jeshi mkuu na msimamizi wa mhimili ule unaoimeza mahakama na kukosa kutenda haki, huyo wapili ndiye subject wa kesi aliyeshtakiwa nayo Dr. Slaa baada ya kusemekana kutaka kumwaga hela uchaguzi wa CHADEMA.
Hao ndo wahusika wakuu wa hiyo kesi, hata wewe unajua, majaji wanaorusha rusha mpira wanajua, polisi wanaojikosesha gari wanajua, na wewe unayejaribu kupindisha maneno hapa UNALIJUA HILO.
Na anatumia watanzania wenzake kumtesa mtanzania..li nchi Lina laana hili!Inaniuma sana kuona mzee Dr. Slaa anateswa na mwanamama raia wa nchi nyingine (mzanzibari).
Sarcastic questionwhat type of question is this?
Bongo bado sanaaa wana uwoga mwingi ujasiri 0 🤣Wakitangaza maandamano, mtatokea barabarani? Ni hilo tu.
Maneno yako yanajieleza.Nani amekwambia mimi ni kijana?
Mpuuzi wewe. Uzanzibari umehusu nini. Acha ubaguzi.Inaniuma sana kuona mzee Dr. Slaa anateswa na mwanamama raia wa nchi nyingine (mzanzibari).