Mbinu hii ikitumika, Dr SLAA anatoka gerezani siku mbili

Mbinu hii ikitumika, Dr SLAA anatoka gerezani siku mbili

Kwani Kosa la Dr.Slaa ni lipi? Juzi niliona Clip Rais ana sema "Rais wa Tanzania haondolewi hivyo mnavyopanga huko mitaani, na uzuri mipango yenu yote na kila mlichoongea ninacho"

Nikahisi labda Dr.Slaa ni moja ya wahusika. Sifahamu kashitakiwa kwa kosa gani wana JF.

Na kama alihusika kupanga uhaini ni kosa, ama aombe asemehewe au atafia jela.
Uhaini ni vitendo sio maneno tu
 
Mpuuzi wewe. Uzanzibari umehusu nini. Acha ubaguzi.
Kulinda nchi ni uzalendo siyo ubaguzi. Kuruhusu raia wa kigeni kuwa rais ni uboya.

Ndiyo maana nchini Zanzibar ni marufuku kwa mtanganyika kugombea nafasi yoyote, hata ujumbe wa nyumba kumi.

Na ni marufuku mtanganyika kununua kipande cha ardhi ya nchi hiyo hata ya kujenga choo.
 
Unaishi kwa kudhania. Waliopo madarakani wanajua nguvu ya uma, kuna mstari mwembamba sana kati ya ujeuri wanaoonyesha na jinsi tutakavyobembelezana.

Juzi tu hapo Ruto kdg awapigie magoti gen Z. Ila alipiga kwa Uhuru na Odinga ndo urais ukaendelea.

Waambie waliokutuma kuwa huku hatusamehe, tukishika channel tunakutoa white house, na tunakutoa mpaka kwako, ukajaribu kuishi huko uarabuni, wala hizo gunia za hela hazitasafiri nanyi.

Endeleeni.
Wewe unajifurahisha tu kuitoa serkali ya kidhalimu madarakani siyo rahisi kama unavyo zani.Unazani unaweza kuitoa serikali kama hii kwa vimaandamano vya Watanzania hawa. Sisi tukubali tu ni matutusa tunyolewe. Hakuna mtanzania wakuandamana Mbele ya SmG wewe. Uturuku waliweza tena mbele ya Mizinga wanajeshi waliua kama watu 200 wakasurenda soyo Tanzania.
 
Kuna mtu hafi? Wewe unajua utafia wapi?

Mwache afie huko ndipo chemichemi ya baraka kwa watanganyika itatokea.
Hahaha hatasijui kama atakufa, nimeshauri tu, kwa umri wake anateseka kukimbizwa mahabusu kila siku, ndio nikasema kama ni hivyo aombe msamaha kwa alichotenda, asamehewe, vinginevyo watamsababishia kifo huko mahabusu.
 
What has she got to do with this?!。
P
A lot. She preaches human rights and does nothing about it. What name does one give a human being who tortures a fellow human being of that age before completion of the relevant investigations, contrary to known provisions of the law!! Sadist ...loh!
 
Amiri jeshi mkuu na msimamizi wa mhimili ule unaoimeza mahakama na kukosa kutenda haki, huyo wapili ndiye subject wa kesi aliyeshtakiwa nayo Dr. Slaa baada ya kusemekana kutaka kumwaga hela uchaguzi wa CHADEMA.

Hao ndo wahusika wakuu wa hiyo kesi, hata wewe unajua, majaji wanaorusha rusha mpira wanajua, polisi wanaojikosesha gari wanajua, na wewe unayejaribu kupindisha maneno hapa UNALIJUA HILO.
Mbona hamueleweki, si mlisema Mbowe ndiyo amemfunga Slaa?
Sasa iweje mumsakame SSH?
 
Mpuuzi wewe. Uzanzibari umehusu nini. Acha ubaguzi.
Neno mpuuzi, kw tafsiri rahisi ni tusi. Humu Jf wapo waungwana na wengineo. Lkn ni ukweli mtupu kuwa, kwa mujibu wa katiba ya Zenji, mama ni Mzanzibari na hilo halifutiki - G4N awe mpuuzi au msema kweli ...
 
Back
Top Bottom