Mbinu hii ikitumika, Dr SLAA anatoka gerezani siku mbili

Nilidhani una akili

Slaa balozi? Aliyesema chakadomoz mnatekana na kuuana, kwamba Lissu risasi ni normal tu, na akawauza pale Serena hotel?

Una akili fupi mno aisee…. Huyo mzee anatesingizia usalama wamemwambia wako tayari kwenda barabarani kuqndamana?
Acheni akome na ufitini wake

Chadomoz mnahangaika sana kihisia… and you don’t know where you stand
 
Haya yote uliyoyaandika,je ukiitwa unaweza kuyasema kama yalivyo?.
 
Mzee kafanya uhuni makusudi na wao wanamfanyia uhuni makusudi. Kuna uwezekano mkubwa hata yeye alifanya akijua atakutana na mambo kama haya.
 
Kususia kesi haimpi unafuu wowote, atashitakiwa na jamuhuri hata asipokuwa na wakili.
 
Hii nchi ni kama imelaaniwa vile kila mtawala anaekuja mambo yake ni yaleyale alipokufa Magufuli watu tukamshukuru Mungu kwa kutuondolea shetani mtu,kaja huyu mama tukafikri nchi itakuwa nafuu kumbe ni mashetani Yale Yale yanafanya bandika bandua,ana toka shetani baba anaingia shetani mtoto.

Kama siyo ushetani na kujitafutia laana ni nini?unamuwekaje ndani na kumnyima dhamana mtu kama Dr slaa kwa makosa ya mchongo?.
 
Dogo wewe utaamdamana? Au uko zako Nanjilinji unapalilia mikorosho yako halafu unahamasisha maandamano ambayo hutashiriki! Ahahahahaha!!
 
Ungekuwa na akili ungetambua kuwa mtu anakuwa innocent hadi atakapokutwa na hatia.

Kumnyima dhamana mtu kwa makosa yanayodhaminika ni ushetani.
Akili iko ila nimekosa busara

Acha mzee anyee debe, kauli zake ni za kuchochea na kuzusha

Do you know zile kauli zake zinaweza kuvictimize watu wangapi?

Tusiendekeze watu wa namna hiyo
 
Acha kuuma uma maneno!! Slaa alisema Samia anampa Mbowe mihela ili kumsaidia kushinda uenuekiti wa CHADEMA!
 
Wakitangaza maandamano, mtatokea barabarani? Ni hilo tu.
Wewe umeongea kweli, mtu yupo kwenye key board anazungumza maswala ya njozi zake tu. Huwezi kupambana na serikali kirahisi rahisi kama unavyo dhania. Ona ANC walipambana miaka 30 Mandela akiwa ndani tena mapambano ya kigaidi. Maelfu ya watu walikufa kwenye mapambano yale. Ona Congo M23 na vikundi vingine vinazaidi ya miaka 20 vipo msituni vinapambana tu. Wewe umelala kitandani na kasimu kako unataka kuwaongopea watu.
 
If the worst happens to Dr. Slaa while in custody then she'll have everything to do with it
Let she play with the rome, she holds a presidential candidacy as a wet soap in a wide holed toilet.
 
Kuna mtu hafi? Wewe unajua utafia wapi?

Mwache afie huko ndipo chemichemi ya baraka kwa watanganyika itatokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…