Mbinu hii ikitumika, Dr SLAA anatoka gerezani siku mbili

Ingependeza zaidi ungeonyesha mfano wa kutoa tamko🤣🤣🤣🤣
 

Unaishi kwa kudhania. Waliopo madarakani wanajua nguvu ya uma, kuna mstari mwembamba sana kati ya ujeuri wanaoonyesha na jinsi tutakavyobembelezana.

Juzi tu hapo Ruto kdg awapigie magoti gen Z. Ila alipiga kwa Uhuru na Odinga ndo urais ukaendelea.

Waambie waliokutuma kuwa huku hatusamehe, tukishika channel tunakutoa white house, na tunakutoa mpaka kwako, ukajaribu kuishi huko uarabuni, wala hizo gunia za hela hazitasafiri nanyi.

Endeleeni.
 

Ni bahati mbaya sana kila anayetetea haki anaonekana CHADEMA, mimi ni mwanachama wa CCM nisiyependa mambo mabaya ya CCM kwa ajili ya nchi yangu.

Sasa wewe unafanyia kazi buku 7 yako ndo tatizo
 
Alikuwa anazungumza lini na akiwa wapi? Pengine kijembe alikuwa anawatupia hao hao CCM wenzake.
 
We umelewa pombe ikiisha uje kuandika tena
 
Hv unafikiri unawaandika mazuzu? Kafanye mambo yako umeandika utumbo
 
Inaniuma sana kuona mzee Dr. Slaa anateswa na mwanamama raia wa nchi nyingine (mzanzibari).
Na anatumia watanzania wenzake kumtesa mtanzania..li nchi Lina laana hili!
 
Reactions: G4N
Inaniuma sana kuona mzee Dr. Slaa anateswa na mwanamama raia wa nchi nyingine (mzanzibari).
Mpuuzi wewe. Uzanzibari umehusu nini. Acha ubaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…