Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Itabismdi nikupeleke kwa Nabii mkuu, wakati wa kurudi nikupitishe pale Tembo club etii
Wewe nilishawahi kukwambia unisindikize kwa nabii mkuu ukakataa, leo imekuaje kwani?
Speaking of Tembo club...ile nyama yao ni tamu sana
 
Dah! Hii ya hela za kwenye simu wavulana ndio wanaweza. Ngoja nione mbadala maana li moyo limekudondokea
Sa si utume kutoka bank kwenda kwenye simu.
Mi sina pesa ya kuhifadhi kwenye account😅
 
Wewe nilishawahi kukwambia unisindikize kwa nabii mkuu ukakataa, leo imekuaje kwani?
Speaking of Tembo club...ile nyama yao ni tamu sana
Sasa nimeona kweli unahitaji kwenda...nitakupeleka.

Tembo tuache utani wanajua kutengeneza mbuzi na kitimoto.

Wine inashuka hati raha
 
Biz card ya ishu zangu za TECH nilikuwa nimezimaliza maana siku hiyo nilikuwa ktk Workshop so watu wengi walizihitaji nilikuw nazo chache sana.. za ofisin nilipoajiriw sipendi mtu hasa hawa Wanawake wajue nafany wap kazi nafanya kama nani na vitu kama hivyo so Biz card ya ofisin nilikuwa nazo ila si sahihi kumpa maana hazina hata uhusiano nae maana sio taasisi ya kibiashara.

And good enough mie mwenyew natengeneza hizo biz card ni uzembe tu nilifanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…