Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Ndo maana mama anapata ujasiri wa kusema mgao utadum miezi 6

Vichwa vinawaza namna ya kubuni mbinu ya kupata namba za simu
 
Siku uje na uzi wa kupeana mbinu za kupambana na ccm ili Taifa lipone
 

Kwanini ikawa hivyo mkuu ?
 
Part 3.

Kuazima PENI mara moja na Kuingiza Karatasi uliyoandika namba ndani ya Bomba la Peni na kumrudishia mwenye Peni..


Hii nilipiga huko Mkoa wa Morogoro kwenye Semina elekezi, wakuu wamejipanga hapo na kikao ndio kinakaribia kuisha sina jinsi zaidi ya kufanya ubunifu tajwa hapo juu..

Baadae nilipigiwa simu tukafahamiana zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…