Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

🤣🤣🤣We lazima ni Mngoni,yaani ukarudisha simu?angekuwa mangi hapo angejiondokea fresh na simu yake na demu angeshindwa kusema 🤣🤣
 
dahh.. wazee wa Cuba hatari sana
 
🤣🤣🤣We lazima ni Mngoni,yaani ukarudisha simu?angekuwa mangi hapo angejiondokea fresh na simu yake na demu angeshindwa kusema 🤣🤣
Ah.... Alafu ilikuwa Samsung kali mno..
 
Mimi ni mvivu sana wa kupambania namba achilia mbali kutongoza.

Naweza kuchukua namba na nisimtafute. Saivi huwa naachaga tu wala sileti mazoea ya kijinga kwenye daladala au popote tu. Tule story kila mtu apite hivi.
Yeah mie mwenyew kuna muda nakuwa hivyo, but kuna aina ya Wanawake kumuacha apite hivi hivi roho inauma sana...
 
Kweli kabisa nyama hazifanani. Huwezi kufananisha Nyama ya mbogo na mbuzi, kitimoto na swala, bata na njiwa haiwezeka ni kila nyama ina ladha yake tofauti labda zinafanan a jina TU.
Pia naongezea nyama inaweza kuwa ya Mbuzi ila upikaji ukawa tofauti..

Kuna ROAST
Kuna MCHEMSHO
Kuna KUKAANGA
Kuna KUCHOMA
Kuna FOIL
Kuna MAKANGE
Hizi zote zina UTAMU wake spesheli..
 
Umefeli sana yaani!....ningekuwa Mimi ningeondoka huku ananiona,,,🤣🤣
🤣🤣 ila kuna vitu vya Kuiba sio SIMU.. ningejishushia heshima sana alafu pale kuna CCTV alafu kuna Wahudumu wananijua...
 
Hiyo ya ten,nlikua kwny daladala dom hiyo,natoka town naenda mipango sa kuna mzee mmoja wa kitanga(mzee kijana) tukakaa sit moja ,tukajikuta tunatia story pale ,akanilipia nauli ,anavoshuka(alishuka kabla yng)kaniachia cha ten,nkapokea eeh kuna kijana alinkodolea macho cjui wivu,kuiangalia pesa ina namba zake , ,kwel wanaume mna buni mbwinu ..[emoji16]mzee kijana anapenda dogodogo [emoji16]
 
"Huyu aliniletea shida sana.. mpaka nikawa naishi kama Mwizi"


Nimependa kila mwisho wa story unafanya conclusion mwenywe
 
Hahah ulimtafuta?
 
Tunaotumia Utamaduni ( Ndumba ) kufanikiwa kuwapata na Kuwabandua hawa Viumbe Watamu tunachangia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…