Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

Una hoja nzuri ,ila ingenoga zaidi , kama na maisha yangekuwa na uwezo wa kukusubiri umalize mambo yako.
Maisha hayana guarantee ,,
 
Achana na kufa, kuwa bahili Sana utanishukuru baadae
Kama huwazi kifo basi utakuwa nexr level
Wanao kufa ni mimi na wewe, hii ya kujitesa hadi kula hapana asee lazima niburudishe mwili na akili yangu maana sijui ni lini vitapoteza thamani.
 
Mkuu unaposema kujitesa unaamanisha nini?

Binafsi naona mtu kupambana na maisha halafu pesa zinaishia kutumika kwenye vitu vya matamanio tu yasiyo na msingi ni utumwa tu.
Its true mkuu...tubadilike kwakweli...
 
Ubahili anaouzungumzia mtoa mada ni wa matumizi ya vitu visivyo na lazima/ vitu vya matamanio ...

Lakini naona kama hawajaelewa alichokusudia, au wameamua kubadili tu mada..

Nieleweshwe labda sijamuelewa vyema.
Mkuu inaujua UBAHILI? Kimsingi hauna vitu vya matamanio hata vile muhimu ba vyenye maana hubifanyi huwa mtu Ana focus ktk kitu kimoja tuujj
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23] lazima ni mangi huyo
😂😂😂
 
Hii ni mbinu inayotumiwa na wachaga miaka mingi, wapuuzi watabaki Wanasema tu hao ni Wezi, wachawi nk
mbinu hii ilitumika zamani , ubaya wake ni kuwa unaweza ukajitesa kutafuta pesa na mwishowe usizitumie
 
Mie nnapojipa maksi ni kwenye kuvaa aisee...yaan mie kununua manguo kila mara walaa...nakaa hata mwezi nisinunue nguo...ila kwenye msosi dah..yaan mboga hata 4...ntakaanga samak...nikipigiwa simu sister firigisi zipo za kienyeji nafata..hapo ntapika firigisi,samak nakaanga uwii sijui juic matunda yote[emoji1784][emoji1784][emoji1784]napenda sana kupika na hubby anamzuka balaa..ila for the first tym leo sijanywa coca...! Naona usiku mzito!
Nataman kuwa bahili mwe
Una akili finyu kama za kwangu.. Mie kwenye kula sijawahi kuona ubahili..
Kwingine ubahili upo ila kupiga menu.. Linapokuja suala la msosi "SIREMBI MUANDIKO KWENYE IMLA"
 
We c receiver ...mtoto wa kike ..hata wakat wa sex unapokea ..sitakushangaa ukila bata , maana kwa wenye pesa we ndo bata mwenyewe wanae-mla ...ongeza bidii Kwenye ulaji bata ......
Khaaaa[emoji849]
 
Daah ila kwa wale vijana ambao ndio kwanza wanaanza wapo ktk utafutaji ukiwa bahili utaachwa kila siku na mademu


Ila ndio vizuri unaweza tofautisha kati ya makapi na material halisi
 
Ukweli mchungu.
Watu wengi wanatamani Sana kuwa matajiri lakini hawajui mbinu gani zinatumika.
Sisemi matajiri wote walikuwa mabahiri, la hasha Ila kikwetukwetu hii mbinu ya ubahili ndio njia nzuri ya kuelekea kuwa tajiri.
Ubahili nachukulia Kama kitendo Cha kutotumia pesa kwenye matumizi yasiyo ya lazima.
Hii njia nimeitumia miaka 10 Sasa na faida yake nimeiona. Kuwa mbahili sana, alafu utanishukuru baadae.
Pesa nilikuwa napata nzuri tu kwenye mishe zangu za gen supplies na kwenye construction Ila nilikuwa naishi maisha ya kawaida Sana, chumba na sebule kwa elfu 60 kimara huko ndani ndani. Ila kwa mwezi nilikuwa nakusanya faida mil 4, huu ni wastani.
Kuna mwezi napata kazi nyingi faida hadi m 8, 10 na Kuna mwezi napata mil 2 na Kuna mwezi hakuna kazi kabisa hivyo nafidia huo mwezi kwa mwezi niliopata zaidi
Ubahili unalipaje?
Baada tu ya kununua plots kadhaa jijini hapa, kila mwezi nikaanza ku-save mil 1.8 kwa ajili ya kujenga na mil 1.8 nyingine kwa ajili ya biashara ya hardware. Hivyo mwezi mzima nauendesha kwa laki 4 tu, inatoa 60 ya kupanga.
Hapo kulikuwa hakuna Cha kwenda kula bata wala kuhonga Wala kulakula ovyo(wengi mnaita eti kula vizuri). Na hakuna cha kununua gari Wala nini, nilikuwa na pikipiki boxer kwa ajili ya kuwahi mishe. Ila hata Sasa natumia ka-IST tu, hayo ma-prado baadae Sana huko.
Ndani ya miaka minne tu nikajikuta karibu ya mil 80(of course nilitumia mil 78) kwenye kujenga na zaidi ya mil 80 kwenye kuanzisha hardware.
Hivi Sasa hardware ndio inaendesha kila kitu changu na inalipa sana tena Sana. Hivyo nipate tender nisipate mambo ni byeeee.

Story itakuwa ndefu Sana, Ila ACHENI UJUAJI UBAHILI UNALIPA SANA.
ACHENI KULA BATA BILA KUWA NA MIPANGO

Next project ni hii dream house(namba mbili), location itakuwa Tegeta - wazo.
Hii natembea nayo kila mahali hadi kitandani ninayo, soon inazikwa kwa ground.
Architect ni mtaalam vantano, yupo sana kule IG, haikuwa yangu Ila niliipenda sana. Soon, soon.....







View attachment 1771255
Kama ndani ya huo "ubahili" hakuna "ubatili" big up,kila la heri.
 
Kwa siku asizid 5000 ...ikitokea amezidisha 5000 siku inayofuata ajipige adhabu ...kufidia hela iliyozidi jana ..hiyo ndo principle ....haya yote yanawezekana ukiwa na roho ngumu tuu...kuhusu mademu ...komaa na ma beki tatu tuu wengine fanya kama huwaoni

Mabeki 3 hapana asee wanashika mimba kirahisi kama simbilisi. unamlala sku1 na mimba inaingia hapo hapo. na hakunaga beki 3 tasa.😂😂
 
Mkuu umeongea mambo ya msingi sana, ambayo vijana wengi ni wachache sna huyaishi, pia kwako umeenda fasta tasta kutokana na position yako iko vzr yaan unapata kipato kizr so ata serving inakuwa ya kutosha,
 
Kwenye hii thread nimejifunza kitu kikubwa sana. Asante sana mdogo wangu.

Angalizo: Savings inahitaji DISCPILNE ya hali ya juu sana! na ki-uhalisia, hakuna savings ndogo wala kubwa! Hata ingekuwa shilling 5000 au 100000. Zote ni muhimu. Kikubwa uwe na malengo yako!

Asante sana mleta mada!
 
yaani ulale sehem ya hovyo ushindwe kula vizuri eti kisa baadae uje kuwa tajiri uo ni ukichaa,, hela unatafuta za nini sasa uku unaishi kwa kujitesa,,,

kula vizuri vaa vizuri lala sehemu nzuri,,, Ishi vizuri
kuna sehem kasema hali vizuri halali vizuri?wabongo bana..anakimbia machawa kama wewe hapo huchelewi ishia kula maisha kufa kwaja halafu unaagiza nusu kuku boss anakula chipsi kavu
 
Back
Top Bottom