Huwa inavutia... Na walikuwa wanaenda photo shoot mara wapige wameshik matumbo...bas mie hoiπ€£π π π Bora hukuhamasika ila huwa inavutia sana
Ukimpa mimba mtoto wangu, jua wewe au baba yako au babu yako atatunza hao viumbe. Kwangu No! Mtoto wangu wa kiume akimpa mimba binti, mjukuu na mkwe natunzaSijui wao ,walitaka eti wamlete niishi naye Mimi wakati huo hakuna matunzo yoyote watakayotoa nikajizima data nikamkataa ,yaani nilee mtu mzima na mtoto wake alafu baba yake mtoto yupo na mama yake nikaona ni utumwa.
Lakini wanaofuata hawajifunzi mtiririko unaendelea tuHalafu wanajutia baadae
Nimemaanisha haina haja ya mzazi kujitesa kulipa mamilioni kwa tabu Mtoto asome EM halafu akifika Chuo anaenda kuwa malaya. Bora umsomeshe Kayumba afaulu kwa uwezo wakeKayumba itawasaidia vipi?
We jamaa shule za kayumba unazijua au unaongea tu....kwa kifupi hizo shule za kayumba hasa primary kwa kizazi hiko wanaosoma wengi tabaka la chini ....huko mtoto wako lazima ajifunze tabia za ajabu.Nimemaanisha haina haja ya mzazi kujitesa kulipa mamilioni kwa tabu Mtoto asome EM halafu akifika Chuo anaenda kuwa malaya. Bora umsomeshe Kayumba afaulu kwa uwezo wake
Sio kweliWe jamaa shule za kayumba unazijua au unaongea tu....kwa kifupi hizo shule za kayumba hasa primary kwa kizazi hiko wanaosoma wengi tabaka la chini ....huko mtoto wako lazima ajifunze tabia za ajabu.
Eeh ila mabint bana u BFKuna ex wangu kazalishwa mwaka jana mwishoni ilibidi mwaka huu ndio amalize chuo...sahivi yupo tu kwao kazaa kwa sababu ya rafiki yake wanaitana BF forever(hahaha) kazaa naye akazaa anataka watoto wao wawe umri sawa.
Kabla ya kuzalishwa alinambia hizo habari nikamkataa ndio akaja ni hiyo surprise.
ulikosa wa kukutongoza,,,,π€Kuna wengine wanawishi kuzalishwa.. sio kama wanazalishwa kwa bahati mbaya ila tu wanataka wenyewe..
Kipindi nikiwa 4th yr nilitamani na mm nipate mtoto kwani marafiki zangu wengi walikuwa Wana mimba nawengine wamezalishwa..
Kidogo nami nilitaka kuhamasikaπ
Ila nilikosa mtu WA kunitongoza...
Ila lait kama ningelipata mtu wa kunitongoza na nikamridhia huenda na mm ningezalishwa mapemaa saiv ningekuwa na watoto
N.B wale marafiki zangu waliozalishwa kipindi wapo chuo wachache wameolewa na hao hao waliowazalisha na wengine wanalea watoto wao ki mpango
wao..
π π π π hakuna tena mawazo ya kutimiza ndoto. Wazazi wanakatishwa tamaa sana.Kuna ex wangu kazalishwa mwaka jana mwishoni ilibidi mwaka huu ndio amalize chuo...sahivi yupo tu kwao kazaa kwa sababu ya rafiki yake wanaitana BF forever(hahaha) kazaa naye akazaa anataka watoto wao wawe umri sawa.
Kabla ya kuzalishwa alinambia hizo habari nikamkataa ndio akaja ni hiyo surprise.
Hilo ndo boga lenyewe sasaKuna ex wangu kazalishwa mwaka jana mwishoni ilibidi mwaka huu ndio amalize chuo...sahivi yupo tu kwao kazaa kwa sababu ya rafiki yake wanaitana BF forever(hahaha) kazaa naye akazaa anataka watoto wao wawe umri sawa.
Kabla ya kuzalishwa alinambia hizo habari nikamkataa ndio akaja ni hiyo surprise.
Ntaleta dhawadi ππ»ππ»ππ»π·π·π·π·pokea maua yako.Huwa inavutia... Na walikuwa wanaenda photo shoot mara wapige wameshik matumbo...bas mie hoiπ€£
Ila nashukuru mungu nilivuka
Inshallah in April NAMI ntaitwa mama bi idhnillahπ