Mbivu na Mbichi za kuzalishwa ukiwa bado ni Mwanafunzi wa Chuo

Mbivu na Mbichi za kuzalishwa ukiwa bado ni Mwanafunzi wa Chuo

Sijui wao ,walitaka eti wamlete niishi naye Mimi wakati huo hakuna matunzo yoyote watakayotoa nikajizima data nikamkataa ,yaani nilee mtu mzima na mtoto wake alafu baba yake mtoto yupo na mama yake nikaona ni utumwa.
Ukimpa mimba mtoto wangu, jua wewe au baba yako au babu yako atatunza hao viumbe. Kwangu No! Mtoto wangu wa kiume akimpa mimba binti, mjukuu na mkwe natunza
 
Kuna ex wangu kazalishwa mwaka jana mwishoni ilibidi mwaka huu ndio amalize chuo...sahivi yupo tu kwao kazaa kwa sababu ya rafiki yake wanaitana BF forever(hahaha) kazaa naye akazaa anataka watoto wao wawe umri sawa.

Kabla ya kuzalishwa alinambia hizo habari nikamkataa ndio akaja ni hiyo surprise.
 
Nimemaanisha haina haja ya mzazi kujitesa kulipa mamilioni kwa tabu Mtoto asome EM halafu akifika Chuo anaenda kuwa malaya. Bora umsomeshe Kayumba afaulu kwa uwezo wake
We jamaa shule za kayumba unazijua au unaongea tu....kwa kifupi hizo shule za kayumba hasa primary kwa kizazi hiko wanaosoma wengi tabaka la chini ....huko mtoto wako lazima ajifunze tabia za ajabu.
 
We jamaa shule za kayumba unazijua au unaongea tu....kwa kifupi hizo shule za kayumba hasa primary kwa kizazi hiko wanaosoma wengi tabaka la chini ....huko mtoto wako lazima ajifunze tabia za ajabu.
Sio kweli
 
Nimemaanisha haina haja ya mzazi kujitesa kulipa mamilioni kwa tabu Mtoto asome EM halafu akifika Chuo anaenda kuwa malaya. Bora umsomeshe Kayumba afaulu kwa uwezo wake
Yes! Umeongea vema
 
Kuna ex wangu kazalishwa mwaka jana mwishoni ilibidi mwaka huu ndio amalize chuo...sahivi yupo tu kwao kazaa kwa sababu ya rafiki yake wanaitana BF forever(hahaha) kazaa naye akazaa anataka watoto wao wawe umri sawa.

Kabla ya kuzalishwa alinambia hizo habari nikamkataa ndio akaja ni hiyo surprise.
Eeh ila mabint bana u BF
 
Kuna wengine wanawishi kuzalishwa.. sio kama wanazalishwa kwa bahati mbaya ila tu wanataka wenyewe..
Kipindi nikiwa 4th yr nilitamani na mm nipate mtoto kwani marafiki zangu wengi walikuwa Wana mimba nawengine wamezalishwa..
Kidogo nami nilitaka kuhamasika😁
Ila nilikosa mtu WA kunitongoza...
Ila lait kama ningelipata mtu wa kunitongoza na nikamridhia huenda na mm ningezalishwa mapemaa saiv ningekuwa na watoto
N.B wale marafiki zangu waliozalishwa kipindi wapo chuo wachache wameolewa na hao hao waliowazalisha na wengine wanalea watoto wao ki mpango
wao..
ulikosa wa kukutongoza,,,,🤔
 
Kuna ex wangu kazalishwa mwaka jana mwishoni ilibidi mwaka huu ndio amalize chuo...sahivi yupo tu kwao kazaa kwa sababu ya rafiki yake wanaitana BF forever(hahaha) kazaa naye akazaa anataka watoto wao wawe umri sawa.

Kabla ya kuzalishwa alinambia hizo habari nikamkataa ndio akaja ni hiyo surprise.
😅😅😅😅hakuna tena mawazo ya kutimiza ndoto. Wazazi wanakatishwa tamaa sana.
 
We jamaa shule za kayumba unazijua au unaongea tu....kwa kifupi hizo shule za kayumba hasa primary kwa kizazi hiko wanaosoma wengi tabaka la chini ....huko mtoto wako lazima ajifunze tabia za ajabu.
Tatizo Juu ya tatizo
 
Kuna ex wangu kazalishwa mwaka jana mwishoni ilibidi mwaka huu ndio amalize chuo...sahivi yupo tu kwao kazaa kwa sababu ya rafiki yake wanaitana BF forever(hahaha) kazaa naye akazaa anataka watoto wao wawe umri sawa.

Kabla ya kuzalishwa alinambia hizo habari nikamkataa ndio akaja ni hiyo surprise.
Hilo ndo boga lenyewe sasa
 
Ukimpa mimba mtoto wangu, jua wewe au baba yako au babu yako atatunza hao viumbe. Kwangu No! Mtoto wangu wa kiume akimpa mimba binti, mjukuu na mkwe natunza
😅😅😅😅
 
Huwa inavutia... Na walikuwa wanaenda photo shoot mara wapige wameshik matumbo...bas mie hoi🤣
Ila nashukuru mungu nilivuka
Inshallah in April NAMI ntaitwa mama bi idhnillah🙏
Ntaleta dhawadi 👏🏻👏🏻👏🏻🌷🌷🌷🌷pokea maua yako.
 
Darasa letu mpk tumemaliza mwaka wa 3 tulikua na wazazi 5 including mapacha..sijui wanaendelaje kwa sasa ila wote mpk tunaanza kupotezana miaka mitatu nyuma..walikua ni masingo maza..maana wale waliowapa ujauzito walioa wengine...
Kuna somo kubwa hapo...
 
Back
Top Bottom