πππππWakati nalelewa nilikua sili kabeji,nyanya chungu,dagaa na vingine yani nilikua nachagua vyakula ila sasa hivi nakula mpaka mahindi ya kukaanga kwa hyo usijali life ndio linakuchagulia ulaje
Wapeni watoto wenu wa kiume tu kisha mje kushangaa jinsi wanavyohaha kutungisha mimbaπ...πππππππ
sasa wewe mboga za majani unazokula ni zipi? halafu Chinese si wachina1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Hata Mimi Chinese siipendiWapeni watoto wenu wa kiume tu kisha mje kushangaa jinsi wanavyohaha kutungisha mimbaπ...
1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
1. Cabbage1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Kwani unapoacha hela ya mega si unasema upikiwe nini au anaamua mamsapu cha kupika?Mi mwanamke akija nipikia NYANYACHUNGU namuacha hapo hapo kudadake
Niliwahisikia kuhusu hilo.Chinese ilitumika kufifisha nyege kwa wachina ili wasizaaneπ ila bongo mnaona ndio mboga ya kufakamia kibwege.