Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Wala hata π hizi amekua akipika bi mkubwa wangu toka nakua na mimi nikazipenda ndio napika hadi leo. Kuna bamia, biringanya ni mboga ambazo siwezi acha kula ingawa watu wengi wana bifu nazo.Huwa unafatilia hizo vipindi vyenu vya mapishi nini πππππ