Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hawa wao wapo kimaslahi zaidiNimecheka sana. Kuna watu kama Mzee Cheyo, Dovutwa, Zitto nk wakipewa mwaliko Ikulu utawakuta pale hata milango kabla haijafunguliwa. Wakiingia eti wanakuwa makini na hotuba huku wakichukua notes!
Wapo mezani na 'Wafalme'.Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Kweli aseeUnatakiwa uwe na la kuwaambia wananchi, sasa akina ZZK watasema nini kwenye mikutano zaidi ya kuipongeza serikali.
Hawa wote hawana point hata kidogoCCM wenyewe wamejaribu pumzi imekata mapemaaaa! Sio Chatanda Wala Ritz
Bahati mbaya hata mikutano yao mikuu hawafanyi ile ya ndaniWengine wote waliobaki ni CCM B, kazi yao ni kutoa matamko ya pamoja kuunga mkono juhudi
Wengine wapo likizo.Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Chadema ipi tena! Si CCM walituambia imekwisha kufa.Tanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?
Mkutano moja wa ccm unagharimu pesa nyingi sana kusomba watu kutoka mikoa jirani kuwalipa pesa za kuachia familia zao,kuwanunulia chakula na kujikimu,wateweza wapiTanzania Kuna vyama zaidi ya 19 vya Siasa. CCM ndicho kinaongoza Serikali Kwa Sasa.
Vyama vingine nje ya CHADEMA na CCM mbona havifanyi siasa?
Wale ambao huwa wanaishutumu CHADEMA kuwa Iko mitandaoni tu mbona wao hawafanyi Siasa?