Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
UhakikaaNaomba ni cheki
Kawaida 0769927039
Whatsapp 0685237039
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UhakikaaNaomba ni cheki
Kawaida 0769927039
Whatsapp 0685237039
Mbona hasira mkuu kwani ni dhambi yeye kufanya biashara akiwa anasoma??Dogo zingatia masomo acha kutuchora
Itakua hujaona comment yake anatunangaMbona hasira mkuu kwani ni dhambi yeye kufanya biashara akiwa anasoma??
Hahahahahah SAWA mkuuItakua hujaona comment yake anatunanga
NishakuchekiSiyo hivyo kaka ni ka utani tu 😭 , nyie ndo ma director wangu wa kitaaa .
Kwa sababu sikukulia kitaa so napenda nijifunze kutoka kwenu
Interesting! Mtaji 350k mwezi Disemba, ndani ya miezi miwili tayari una ziada ya 4.5M. Hakika wewe ni alwatan, hongera. Hukutakiwa kuuliza au kuwananga watu, bali kujitolea kuwafundisha siri ya mafanikio hayo makubwa kwa muda mfupi.Nishaona kumbe watanzania wengi mnamchango mdogo sana kwenye taifa letu.
Mimi nimepata 4.5M kutokana na biashara nilo ianzisha kwa 350k tarehe 1/12/2024 lakini nyie mnaona ni ndogo 😂 sawa .
Na nipo chuo hapo na bado najisomesha na pia nipo na mdogo wangu yupo Mzumbe namsomesha .
Ipo hivi akili ya biashara ni bora kuliko mtaji
Kuna watu kati yenu washawaambia mtaji ni mtaji tu kaka.Shida sisi tunakosa elimu ya biashara na tulio wengi hatujakulia kwenye familia za wafanya biashara .Interesting! Mtaji 350k mwezi Disemba, ndani ya miezi miwili tayari una ziada ya 4.5M. Hakika wewe ni alwatan, hongera. Hukutakiwa kuuliza au kuwananga watu, bali kujitolea kuwafundisha siri ya mafanikio hayo makubwa kwa muda mfupi.
Hizo 4.5M siyo nyingi, ukileta masihara unaamka asb huna hata ya supu.
Kama unasoma basi kaziweke bank hadi pale utakapopata uhakika ufanye nini.
Yeah bora azihifadhi utt,biashara ni pasua kichwa ukichanganya na masomo ndio kabisa mwisho wa siku atajikuta anavaa chupi kichwaniHiyo hela weka utt uendelee kusoma
Ujinga ujinga tuu...Usije ukasema ni check ya mzee , hiyo pesa ni jasho langu 🤓 Huamini sawa .Naomba usianze kusema ni freemasoni mwakani
Jamaa muongo sio kama nazingua..Ila we jamaa khaa
Wewe UDSM ulisoma kozi gani kaka ???Ujinga ujinga tuu...
Huko chuo unasoma madudu
realMamy assistant teacher, nilikuwa nakusubiri uje PM tumfundishe huyu kijana.
We acha tu, nilikosa 1H, nikamfata 2nd H.Mwendo Wa Roho Mkononi
Sijasoma udsm..Wewe UDSM ulisoma kozi gani kaka ???
Na ukapata G.P.A ya ngapi na umeisaidia nini familia yako?😂
Kibaya ni lwamba huenda hata umri una nizidi ila sio vingine 😂🤣
Sema nini pambana sana kuharibu 🙌