Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Taja iyo bank
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupewa mashine ni haki yako, Assume umetoa million 15 unazihesabia kwacho au unapima uzito wa mafungu...?🤔🤔🤔Unaweza ukaomba wakuletee mashine uzihakiki pale pale au inakuwaje?
Huu uzi utahama, tujikite kwenye tabia ya uvivu wa kutokuhesabu helaHahaha, anazificha huko kwenye ushungi wake sivyo?
Hii ni kweli kabisa, lakini imekua kinyume chakeBank haipaswi kuwa sehemu ya kutiliwa shaka kwenye suala la uaminifu
Okay! Hapa nimekupata.Unamwambia zihesabu. Atafungua na kuhesabu hana mamlaka ya kukataa. Pale pameandikwa mteja hesabu hela zako kabla hujaondoka kaunta ni haki yako. Na akikwambia sogea wateja wemgine wahudumiwe muoneshe hilo tangazo kuwa uhakika kabla ya kuondoka kaunta.
Niliwahi kwenda kutoa pesa kwenye mashine.
Nina tabia ya kuhesabu kila nikitoa.
Nilitoa sh.400,000/=, nilipohesabu nilikuta sh.250,000/=.
Niliingia ndani nikawafafamisha. Baada ya siku mbili walinirudishia zilizopungua.
Jitahidi kila unapopewa bunda lililofungwa ujiridhishe.
Akitumia mashine jiridhishe kwa kuangalia.
Mmh..kwamba hadi ATM ZINAIBA????Niliwahi kwenda kutoa pesa kwenye mashine.
Nina tabia ya kuhesabu kila nikitoa.
Nilitoa sh.400,000/=, nilipohesabu nilikuta sh.250,000/=.
Niliingia ndani nikawafafamisha. Baada ya siku mbili walinirudishia zilizopungua.
Jitahidi kila unapopewa bunda lililofungwa ujiridhishe.
Akitumia mashine jiridhishe kwa kuangalia.
Sasa point yako nini? Kwamba bulk cash room hawajesabu hela wanakupa tu? Tusipoteze muda. Bottom line mteja ana haki na anatakiwa kuhesabu hela zake kabla ya kuondoka. Ziwe 50,000 au 50,000,000.Huko bulk cash room kuna kaunta pia.
Nishatoa pesa huko.
Hakuwi kama sebuleni.
Usimfikirie mtu usiyemjua unavyofikiri binafsi yako.
Wenye pesa huwa hawahesabu noti ndugu.Sasa point yako nini? Kwamba bulk cash room hawajesabu hela wanakupa tu? Tusipoteze muda. Bottom line mteja ana haki na anatakiwa kuhesabu hela zake kabla ya kuondoka. Ziwe 50,000 au 50,000,000.
Ukiamua kuchukua hela bila kuhesabu usilalamike ukiibiwa umetaka mwenyewe.
Wengi wanaokumbana na hali hii sio wazoefu wa mipesa mingi, hivyo kwao kuhesabu hata (mil 1 tu) baada ya kuidraw kbl ya kueguza kisogo anaona tabuSalamu Wakuu,
Nimegundua Suala la uaminifu bado ni changamoto kubwa sana hapa nchini
Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko mengi ya watu kupatiwa fedha pungufu kila wakichukua hela kupitia kwa benki tellers
Katika mjadala unaondelea huko X inaonesha kuna benki ambazo zinahusishwa na tabia hii mbaya. Yaani kwao matukio ya aina hii ni kawaida kwao
Na mara nyingi imekuwa nguvu kwa mtu kugundua kama ameibiwa kwa sababu Watanzania ni wavivu wa kuhesabu hela zao mara baada ya kuwithraw
Swali langu ni je, kwa nini kama benki na tellers wenye tabia hii mbovu hawachukuliwi hatua?
Haya ni malalamiko ya mteja kutoka Mtandao wa X
"Hivi ni mimi tu nikienda bank kutoa pesa kuanzia 10M huwa nakuta pungufu ya noti? Mfano unakuta kibunda kimoja kina noti 96-97 badala y amia? Na imeshatokea zaidi ya mara nne. Kuna siku nikiwa Mafinga napakia mbao nilikuta kwenye kibunda kimoja kimepelea noti 13 badala ya mia, nikajua labda nimejichanganya.
"Leo tena nipo Mafinga napakia mbao nimetoa zaidi ya 12M, jioni nawalipa wenye mzigo kibunda kimoja nakuta kina noti 82 za elfu kumi badala y amia. Jamani inaumiza sana, sitaitaja ni bank gani lakini hii kitu inaniuma sana, kama haijawahi kukupata unaweza hisi ni ungo, ila omba sana isikutokee.
"Noti 97-98 nilikuwa nachukulia kaiwada, ila hii sasa Hapana kwa kweli.
"NB: Huwa natolea bank sio kwa wakala, mtu asije fikiria huwa natoa kwa wakala."
Still sijui point yako ni nini. Uzi huu watu wanalalamika kuibiwa hela zao benki. Ndio hao matajiri wasiohesabu pesa? Okay nilijua ni masikini wenzangu ambao tunatakiwa kuhesabu pesa.We
Wenye pesa huwa hawahesabu noti ndugu.
Wakisha andika cheki pesa inaletwa nyumbani.
Wanaohesabu pesa ni sisi wenye vipesa kichele.
Benki kuna mabanda ya pesa yamesha hesabiwa na kufungwa na rubber bend.
Chai hiiHata kwenye kufanya deposit, unaweza toka umehesabu pesa zako zote zimekamilika safi, ukifika pale wanakutia wenge kwanza, andika elfu 10, zipo ngapi 5 ngapi 2 ngapi na 1 ngapi. Huku wanapima wenge lako. Ukimaliza ukampa ahesabu atakwambia labda kwenye million, elfu tano haipo. Hapo inabidi uongeze