Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungetaja kwa faida ya wengiSalamu Wakuu,
Nimegundua Suala la uaminifu bado ni changamoto kubwa sana hapa nchini
Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko mengi ya watu kupatiwa fedha pungufu kila wakichukua hela kupitia kwa benki tellers
Katika mjadala unaondelea huko X inaonesha kuna benki ambazo zinahusishwa na tabia hii mbaya. Yaani kwao matukio ya aina hii ni kawaida kwao
Na mara nyingi imekuwa nguvu kwa mtu kugundua kama ameibiwa kwa sababu Watanzania ni wavivu wa kuhesabu hela zao mara baada ya kuwithraw
Swali langu ni je, kwa nini kama benki na tellers wenye tabia hii mbovu hawachukuliwi hatua?
Haya ni malalamiko ya mteja kutoka Mtandao wa X
"Hivi ni mimi tu nikienda bank kutoa pesa kuanzia 10M huwa nakuta pungufu ya noti? Mfano unakuta kibunda kimoja kina noti 96-97 badala y amia? Na imeshatokea zaidi ya mara nne. Kuna siku nikiwa Mafinga napakia mbao nilikuta kwenye kibunda kimoja kimepelea noti 13 badala ya mia, nikajua labda nimejichanganya.
"Leo tena nipo Mafinga napakia mbao nimetoa zaidi ya 12M, jioni nawalipa wenye mzigo kibunda kimoja nakuta kina noti 82 za elfu kumi badala y amia. Jamani inaumiza sana, sitaitaja ni bank gani lakini hii kitu inaniuma sana, kama haijawahi kukupata unaweza hisi ni ungo, ila omba sana isikutokee.
"Noti 97-98 nilikuwa nachukulia kaiwada, ila hii sasa Hapana kwa kweli.
"NB: Huwa natolea bank sio kwa wakala, mtu asije fikiria huwa natoa kwa wakala."
Unaweza kuhesabu 10m pale counter kweli?Mimi nahesabu hela hata kama nazitoa kwenye ATM, hapo nimetoa laki 2 narudia mara tatu tatu 😃😃, huo ni uzembe wake huyo jamaa
Wanashangaza sana, na teller akiona umeanza kuhesabu tu km kuna mchezo alifanya anapoteza utulivuAjabu sana. Wanalalamika kuibiwa hela zao lakini kuhesabu hawataki!
Unatoa milioni 150 na kuzihesabu pale kaunta ?Ndugu wasomaji. Kisa hiki ni cha kubuni tu, hakihusiani na tukio lolote la ukweli ndiyo maana halijatajwa jina la bank.
N.B: Count your money before you leave the counter.
150m/hela hazitolewi kaunta. Kuna bulk cash room ukitaka mnahesabia huko.Unatoa milioni 150 na kuzihesabu pale kaunta ?
Au unaongelea laki tatu ?
Unamwambia teller akuhesabie na mashine. Hapa watu wanapewa bundles zilizopungua na wanaondoka bila kuhakiki.Unaweza kuhesabu 10m pale counter kweli?
Sasa kama hutaji bank husika unadhani mabosi watawachukulia hatua watumishi Gani?? We mwenyewe hutaki kuweka wazi bank Gani na ndo mnafuga wiziSalamu Wakuu,
Nimegundua Suala la uaminifu bado ni changamoto kubwa sana hapa nchini
Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko mengi ya watu kupatiwa fedha pungufu kila wakichukua hela kupitia kwa benki tellers
Katika mjadala unaondelea huko X inaonesha kuna benki ambazo zinahusishwa na tabia hii mbaya. Yaani kwao matukio ya aina hii ni kawaida kwao
Na mara nyingi imekuwa nguvu kwa mtu kugundua kama ameibiwa kwa sababu Watanzania ni wavivu wa kuhesabu hela zao mara baada ya kuwithraw
Swali langu ni je, kwa nini kama benki na tellers wenye tabia hii mbovu hawachukuliwi hatua?
Haya ni malalamiko ya mteja kutoka Mtandao wa X
"Hivi ni mimi tu nikienda bank kutoa pesa kuanzia 10M huwa nakuta pungufu ya noti? Mfano unakuta kibunda kimoja kina noti 96-97 badala y amia? Na imeshatokea zaidi ya mara nne. Kuna siku nikiwa Mafinga napakia mbao nilikuta kwenye kibunda kimoja kimepelea noti 13 badala ya mia, nikajua labda nimejichanganya.
"Leo tena nipo Mafinga napakia mbao nimetoa zaidi ya 12M, jioni nawalipa wenye mzigo kibunda kimoja nakuta kina noti 82 za elfu kumi badala y amia. Jamani inaumiza sana, sitaitaja ni bank gani lakini hii kitu inaniuma sana, kama haijawahi kukupata unaweza hisi ni ungo, ila omba sana isikutokee.
"Noti 97-98 nilikuwa nachukulia kaiwada, ila hii sasa Hapana kwa kweli.
"NB: Huwa natolea bank sio kwa wakala, mtu asije fikiria huwa natoa kwa wakala."
Huko kashroom utahesabu kwa mkono m.150 baada ya kupewa hicho kibunda cha elfu tano tano au kumi kumi kilicho hesabiwa na mashine ?150m/hela hazitolewi kaunta. Kuna bulk cash room ukitaka mnahesabia huko.
Kuna wakati anahesabu kwa mashine huku anajifanya anaondoa noti zilizoharibika na kuweka mpya. Hapo ndio anapo ibaAnapokupa cash teller anatakiwa ahesabu kwa mashine pale na wewe unaona upande wa pili. Kisha, aifunge ndio akupe. Shida ni pale anachukua tu vibunda anakupa.
Beba bill counter machine yakoHu
Huko kashroom utahesabu kwa mkono m.150 baada ya kupewa hicho kibunda cha elfu tano tano au kumi kumi kilicho hesabiwa na mashine ?
Mimi pia nilisha ibiwa na mateller kwenye benki ambayo sitaki kuitaja kwa kuchelea kesi za JF za kumsumbua Melo.
Wana mashine. Wanakuhesabia ukishuhudia. Wengi wanaibiwa kwasababu wanapewa bundles zilizohesabiwa bila wao kushuhudia. Anyway kwasababu mna haraka sana msihesabu mtapoteza muda,endeleeni kuokoa muda huku mkopoteza hela zenu.Hu
Huko kashroom utahesabu kwa mkono m.150 baada ya kupewa hicho kibunda cha elfu tano tano au kumi kumi kilicho hesabiwa na mashine ?
Mimi pia nilisha ibiwa na mateller kwenye benki ambayo sitaki kuitaja kwa kuchelea kesi za JF za kumsumbua Melo.
Nenda mlimani city siku za sikukuu na jumapili ujionee Ile nyomi, halafu utajiuliza kama unaweza hata kuhesabu milioni mbele ya counter.Count your money before you leave the desk
Halafu nikuulize. Mbona mteja akipeleka hata 200m wanahesabu pale pale counter na watu wanasubiri kwenye foleni? Hakuna hata siku moja watasema huyu mteja wetu mwaminifu tuweke tu bila kuhesabu kwasababu yeye kashahesabu. Why?Hu
Huko kashroom utahesabu kwa mkono m.150 baada ya kupewa hicho kibunda cha elfu tano tano au kumi kumi kilicho hesabiwa na mashine ?
Mimi pia nilisha ibiwa na mateller kwenye benki ambayo sitaki kuitaja kwa kuchelea kesi za JF za kumsumbua Melo.
Kuwa makini na fedha yako, usisubiri pia sikukuu ukajazane kwenye foleni. Tambua bajeti ya kukuvusha hizo jumapili na sikukuu weka kibunda ndani, kwa dharura kuna huduma za simu muombe wakala akuwekee lipa baadaeNenda mlimani city siku za sikukuu na jumapili ujionee Ile nyomi, halafu utajiuliza kama unaweza hata kuhesabu milioni mbele ya counter.
Bank tellers wanacheza na matukio foleni ikiwa kubwa chances za kupewa noti pungufu zinazidi. Halafu wanapenda sana nyie mnaotoa hela nyingi.