Mbona kama tatizo la wateja katika benki kupata noti pungufu wanapotoa hela linaota mizizi?

Mbona kama tatizo la wateja katika benki kupata noti pungufu wanapotoa hela linaota mizizi?

Salamu Wakuu,

Nimegundua Suala la uaminifu bado ni changamoto kubwa sana hapa nchini

Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko mengi ya watu kupatiwa fedha pungufu kila wakichukua hela kupitia kwa benki tellers

Katika mjadala unaondelea huko X inaonesha kuna benki ambazo zinahusishwa na tabia hii mbaya. Yaani kwao matukio ya aina hii ni kawaida kwao

Na mara nyingi imekuwa nguvu kwa mtu kugundua kama ameibiwa kwa sababu Watanzania ni wavivu wa kuhesabu hela zao mara baada ya kuwithraw

Swali langu ni je, kwa nini kama benki na tellers wenye tabia hii mbovu hawachukuliwi hatua?

Haya ni malalamiko ya mteja kutoka Mtandao wa X

"Hivi ni mimi tu nikienda bank kutoa pesa kuanzia 10M huwa nakuta pungufu ya noti? Mfano unakuta kibunda kimoja kina noti 96-97 badala y amia? Na imeshatokea zaidi ya mara nne. Kuna siku nikiwa Mafinga napakia mbao nilikuta kwenye kibunda kimoja kimepelea noti 13 badala ya mia, nikajua labda nimejichanganya.

"Leo tena nipo Mafinga napakia mbao nimetoa zaidi ya 12M, jioni nawalipa wenye mzigo kibunda kimoja nakuta kina noti 82 za elfu kumi badala y amia. Jamani inaumiza sana, sitaitaja ni bank gani lakini hii kitu inaniuma sana, kama haijawahi kukupata unaweza hisi ni ungo, ila omba sana isikutokee.

"Noti 97-98 nilikuwa nachukulia kaiwada, ila hii sasa Hapana kwa kweli.

"NB: Huwa natolea bank sio kwa wakala, mtu asije fikiria huwa natoa kwa wakala."
Ungetaja kwa faida ya wengi
 
Salamu Wakuu,

Nimegundua Suala la uaminifu bado ni changamoto kubwa sana hapa nchini

Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko mengi ya watu kupatiwa fedha pungufu kila wakichukua hela kupitia kwa benki tellers

Katika mjadala unaondelea huko X inaonesha kuna benki ambazo zinahusishwa na tabia hii mbaya. Yaani kwao matukio ya aina hii ni kawaida kwao

Na mara nyingi imekuwa nguvu kwa mtu kugundua kama ameibiwa kwa sababu Watanzania ni wavivu wa kuhesabu hela zao mara baada ya kuwithraw

Swali langu ni je, kwa nini kama benki na tellers wenye tabia hii mbovu hawachukuliwi hatua?

Haya ni malalamiko ya mteja kutoka Mtandao wa X

"Hivi ni mimi tu nikienda bank kutoa pesa kuanzia 10M huwa nakuta pungufu ya noti? Mfano unakuta kibunda kimoja kina noti 96-97 badala y amia? Na imeshatokea zaidi ya mara nne. Kuna siku nikiwa Mafinga napakia mbao nilikuta kwenye kibunda kimoja kimepelea noti 13 badala ya mia, nikajua labda nimejichanganya.

"Leo tena nipo Mafinga napakia mbao nimetoa zaidi ya 12M, jioni nawalipa wenye mzigo kibunda kimoja nakuta kina noti 82 za elfu kumi badala y amia. Jamani inaumiza sana, sitaitaja ni bank gani lakini hii kitu inaniuma sana, kama haijawahi kukupata unaweza hisi ni ungo, ila omba sana isikutokee.

"Noti 97-98 nilikuwa nachukulia kaiwada, ila hii sasa Hapana kwa kweli.

"NB: Huwa natolea bank sio kwa wakala, mtu asije fikiria huwa natoa kwa wakala."
Sasa kama hutaji bank husika unadhani mabosi watawachukulia hatua watumishi Gani?? We mwenyewe hutaki kuweka wazi bank Gani na ndo mnafuga wizi
 
Hu
150m/hela hazitolewi kaunta. Kuna bulk cash room ukitaka mnahesabia huko.
Huko kashroom utahesabu kwa mkono m.150 baada ya kupewa hicho kibunda cha elfu tano tano au kumi kumi kilicho hesabiwa na mashine ?
Mimi pia nilisha ibiwa na mateller kwenye benki ambayo sitaki kuitaja kwa kuchelea kesi za JF za kumsumbua Melo.
 
Kuna teller mmoja yeye alikua anakupiga wakati wa kuweka ukipeleka hela nyingi kuweka kwenye account yako wakati anahakiki anadondosha noti moja chin alaf anakwambia kuna upungufu, kilichomponza ile tabia alifanya ni mradi endelevu akajikuta anawafanyia mchezo wateja walewale kwa kujirudia bila kuwakumbuka sura aliwekewa mtego akafukuzwa.
 
Hu

Huko kashroom utahesabu kwa mkono m.150 baada ya kupewa hicho kibunda cha elfu tano tano au kumi kumi kilicho hesabiwa na mashine ?
Mimi pia nilisha ibiwa na mateller kwenye benki ambayo sitaki kuitaja kwa kuchelea kesi za JF za kumsumbua Melo.
Wana mashine. Wanakuhesabia ukishuhudia. Wengi wanaibiwa kwasababu wanapewa bundles zilizohesabiwa bila wao kushuhudia. Anyway kwasababu mna haraka sana msihesabu mtapoteza muda,endeleeni kuokoa muda huku mkopoteza hela zenu.
 
Count your money before you leave the desk
Nenda mlimani city siku za sikukuu na jumapili ujionee Ile nyomi, halafu utajiuliza kama unaweza hata kuhesabu milioni mbele ya counter.
Bank tellers wanacheza na matukio foleni ikiwa kubwa chances za kupewa noti pungufu zinazidi. Halafu wanapenda sana nyie mnaotoa hela nyingi.
 
Hu

Huko kashroom utahesabu kwa mkono m.150 baada ya kupewa hicho kibunda cha elfu tano tano au kumi kumi kilicho hesabiwa na mashine ?
Mimi pia nilisha ibiwa na mateller kwenye benki ambayo sitaki kuitaja kwa kuchelea kesi za JF za kumsumbua Melo.
Halafu nikuulize. Mbona mteja akipeleka hata 200m wanahesabu pale pale counter na watu wanasubiri kwenye foleni? Hakuna hata siku moja watasema huyu mteja wetu mwaminifu tuweke tu bila kuhesabu kwasababu yeye kashahesabu. Why?
 
Nenda mlimani city siku za sikukuu na jumapili ujionee Ile nyomi, halafu utajiuliza kama unaweza hata kuhesabu milioni mbele ya counter.
Bank tellers wanacheza na matukio foleni ikiwa kubwa chances za kupewa noti pungufu zinazidi. Halafu wanapenda sana nyie mnaotoa hela nyingi.
Kuwa makini na fedha yako, usisubiri pia sikukuu ukajazane kwenye foleni. Tambua bajeti ya kukuvusha hizo jumapili na sikukuu weka kibunda ndani, kwa dharura kuna huduma za simu muombe wakala akuwekee lipa baadae
 
Back
Top Bottom