Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Na wewe mbona haujataja?Hii iliwahi kunitokea ila ni musa mrefu sana.niliona elf 20 zimepungua kwenye milioni.nikashangaa ila nikapotezea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe mbona haujataja?Hii iliwahi kunitokea ila ni musa mrefu sana.niliona elf 20 zimepungua kwenye milioni.nikashangaa ila nikapotezea
Ulitoa posho kwa lazimaMkuu hata karibuni lakini ni kweli ma tellers wengi kwenye benki siyo waamifu. Mimi mlimani city 2018 walishanipunja kama elfu 60 hivi nikapotezea. Nilirudi zangu likizo hela yangu ya kubeba box iliniuma siyo kivile.
Anapokupa cash teller anatakiwa ahesabu kwa mashine pale na wewe unaona upande wa pili. Kisha, aifunge ndio akupe. Shida ni pale anachukua tu vibunda anakupa.Count your money before you leave the desk
Pasipo kuhakiki na machine naye anaweza akakuzidishiaAnapokupa cash teller anatakiwa ahesabu kwa mashine pale na wewe unaona upande wa pili. Kisha, aifunge ndio akupe. Shida ni pale anachukua tu vibunda anakupa.
Standard CharteredA wewe itaje hiyo bank
Kuhakiki ni jukumu la mtejaMkuu yani huakiki kwa kuhesabiwa million 10 si utapoteza muda. Uaminifu kwa watanzania ni zero.
Yaani ukae uhesabu millioni 10?Mimi nahesabu hela hata kama nazitoa kwenye ATM, hapo nimetoa laki 2 narudia mara tatu tatu 😃😃, huo ni uzembe wake huyo jamaa
Mkuu, kuna bank ukianza kutoa kuanzia million hata 2 unapatiwa kibunda tayari kimeshapigwa rababendi. Hakihesabiwi kwenye mashine. Utahakiki wewe mwenyewe. Nafuu millioni 2.Count your money before you leave the desk
This shit is hillarious. How are you going to count 1000 notes at the counter with no money counting machine?Count your money before you leave the desk
Mhhhhh mkaldayo. Yani leo kunamzuka flani wa ngeli umekushukia. Inaonekana hao mbusii malishoni wanakupeleka resiii.This shit is hillafious. How are you going to count 1000 notes at the counter with no money counting maachine?
Try to use International banksThis shit is hillafious. How are you going to count 1000 notes at the counter with no money counting maachine?
Ni haki yako, ila zile unazochukulia ndani %kubwa unakuta zipo sahihiMkuu, kuna bank ukianza kutoa kuanzia million hata 2 unapatiwa kibunda tayari kimeshapigwa rababendi. Hakihesabiwi kwenye mashine. Utahakiki wewe mwenyewe. Nafuu millioni 2.
Ukitoa kuanzia millioni 10 mpaka 20 mpaka 30 utaitwa ndani utapewa kibunda chako kimeshapigwa utepe wa BOT n.k
Au labda mimi sielewi. Unaweza ukaomba wakuletee mashine uzihakiki pale pale au inakuwaje?