Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

Japo Lindi kuna nyumba za zamani lkn ni kati ya miji iliopangika saana. Angalia hii aerial image unaweza sema sio penyewe kabisa
View attachment 2306537
Upangikaji wake ulianzia kwenye soko la watumwa walianza kupangilia miji siku nyingi wakati wa falme za kitumwa kwa waarabu au watawala mfano Lindi, Tanga, Kigoma, Tabora miji yao mingi imepangwa na mabaki ya waarabu yapo pia zanzibar na pwani za mombasa na mogadishu somalia.
 
Wanaroga sio mchezo halafu kule mademu maji mara moja watoto la sita tu mtu mzima ukiingia unaelea wanatumia sana uzazi wa mpango
Daaah noma sana sensa itaeleza soon 😔 ila ni huruma sana kwa watoto
 
Mimi nadhani shida ya Lindi ni mwingiliano wa watu hakuna na huenda ikiwa wenyeji hawana mvuto wa kibiashara au wenyewe sio wafanyabiashara.

Wenyeji wanatabia za kukaa kivyao labda wana ukabila au udini. Umwinyi mi naamini ni tabia ya mtu au inatokana na udini au ukabila.

Lindi, Tanga, Tabora, Kigoma wanarelate kwa huu mfumo ila lindi ni maskini.
 
Sio rahisi , ila kajaribu,
Ili uweze kukamatia fursa ni lazima man power iwe active
Lindi ina vijana wavivu kwa kuwa wanategemea uvuvi, wana miembe na mikorosho. Kijana wa lindikehaokota dodo zake nne amefunga kwe ye pakacha anauza elfu tatu, !! Humtumi chochote ,sana sana anasubiri msimu wa korosho
🤣🤣😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅🤣😅🤣😅🤣🤣😅😅😅
 
Karibuni Lindi karibuni mtwara karibuni masasi karibuni tunduru laribuni songea karibuni mbinga.
0645da7b99184a8f8a35fc9f848b3d75.jpg
 
Uko sahihi lakini dar si ya wazaramo kifursa maana wanahamishwa na wageni ila huko tabora,ujiji,lindi...uswahili ndio tatizo na elimu dunia ni adui yao.Lakini utandawazi utawabadilisha kilazima.
Miji mingi huwa haijengwi na wenyeji japokuwa kuna michache wenyeji wameisimamia, mji ukiwa na fursa wageni watakuja kuwekeza na wenyeji njaa watakimbia kuwapisha maana wao hawatakuwa na uwezo wa maisha hayo. Ndivyo inavyotokea kwa mji kama Dar.
 
Soon Lindi inakwenda kupata Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam so itakuwa njema zaidi..

Lindi na alama ya dinosela 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220827-211638.png
    Screenshot_20220827-211638.png
    186.9 KB · Views: 19
Mh, sasa kumbuka kuwa Pwani ni sababu ya kizamani ya mji kukua, biashara siku hizi iko bara kuliko Pwani, Iringa kumbuka ndio njia kuu ya biashara kwenda Congo na Zambia, pia ni njia panda ya kwenda Mbeya, Morogoro na Dodoma, Lindi sasa yenyewe iko Pwani ndio, ila ukitoka hapo Lindi unaenda wapi tena kwenye mzunguko wa biashara.

Halafu pwani ishatwaliwa na miji kama Dar, kidogo na Tanga na Mtwara inakujakuja siku hizi, kumbuka Mtwara sio tu wana bandari kubwa pia wana njia kuu ya kwenda Songea na Mbeya na Malawi hivyo Mtwara ni kituo kikubwa cha biashara kuliko Lindi.

Hapo kwasababu za kushindani Lindi inapoteza taji kwa Mtwara
Samahani njia ya kwenda Songea lazima upite Lindi mkuu. Mfano Dar Songea Via Lindi
 
Tamaduni gani za unyago?nje ya hapo hakuna kingine zaidi ya tamaduni za kigeni.
Ndio hizo tamaduni zao wasiziache huku wakiangalia ni jinsi gani wataweza kuzikataa hizo za kigeni kidogo kidogo
Z
 
Back
Top Bottom