Mchina anafuata technology Israel 🤣🤣🤣🤣🤣 ungeniambia marekani, Japan, Germany, South Korea, Russia kidogo ningekuelewa Ila sio Israel 🤣🤣🤣🤣 hivi mkuu unawajua wachina kweli Kama tu Deng Xiaoping wakati anaifungua china miaka 1980s hakufuata uchafu wowote wa technology kwenye hicho kiinchi cha wavamizi wa mashariki ya Kati leo hii Karne ya 21 akafuate technology huko 🤣🤣🤣 kwanza mkuu hivi unajua china ni nchi ya ngapi Kisayansi na kiteknolojia hapa duniani. hawa hawa wayaudi waliomba kampuni ya china ikawajeengee bandari Kati ya Bandari 5 za Israel 3 zimejengwa na wachina leo hii unasema wachina wanaenda kuchukua technology Israel 🤣🤣🤣 mkuu unapozungumzia china unazungumzia taifa Namba mbili kiuchumi duniani na ni miongoni mwa mataifa matatu tu yaliyo huru hapa dunia CHINA,U.SA na RUSSIA . China sio Palestine mkuu naomba mkuu uipe heshima yake😄 wachina hawajawahi kuchanganya damu ,hawachanganyi damu na hawatokuja kuchanganya damu hakuna damu ya kiyaudi kule bali ni uwezo wa akili walionao na nguvu zao ndio umewafikisha pale unapowaona Kisayansi na kiteknolojia walipo weka kichwani hicho kitu😄