Wivu ni kidonda umeshiriki ugua poleSio kweli bhanaa, labda useme wapo wengi madarasani, hivyo hata wanaofaulu pia watakuwa wengi toka kwa hao wengi
Huo ndo ukweliWivu ni kidonda umeshiriki ugua pole
Mbona niliosoma nao walikuwa hawatumii nguvu kusoma kabisa mkuuuu yaani wao ilikuwa ni nature kabisa kufaulu mkuuuKuna mmoja aliwahi kupewa mamlaka mahali. Alikuwa bonge la kilaza. Hawana lolote. Wanaongoza kwa kukariri na kutumia nguvu kusoma. Wazito kuelewa hao. We labda hujui. Bora useme wanyakyusa au wachaga.
πMkoa wowotr wenye ndizi nimegundua watu wake wako bright..naunga hojaSato, ndizi na vingine kama hivyo vilivyooteshwa kwenye udongo wenye rutuba ya kutosha vinachangia sana.