Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonyesha uelewa wenu ulivyo!Achana na picha hiyo angalia hoja mkuuu
ututake radhi mkuu tena hadharani!Nilijua tu nyie watu mnapenda sifa sana
Kwani wewe mwenzetu ni kabila gani mpaka ukanyimwa hizo akili?Wakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu View attachment 2614449
Prof lema, Msoka, mkenda, Mushi, Massawe, Shayo, Mangi, Shirima, Macha, MallyaHuo ndo ukweli
Fanya analysis PhD holders au madaktari bingwa wanatoka nyanda zipi?
Siri kubwa ni lishe tu.Wakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu View attachment 2614449
Wachaga si mnasemaga Mbowe na form six failure?Kuna mmoja aliwahi kupewa mamlaka mahali. Alikuwa bonge la kilaza. Hawana lolote. Wanaongoza kwa kukariri na kutumia nguvu kusoma. Wazito kuelewa hao. We labda hujui. Bora useme wanyakyusa au wachaga.
Wanasomaga vikozi uchwara! Hawawezi masomo magumu kama sayansi! Chunguza uone!I think wachaga au watu wa hulk kaskazini ndo wanaongoza kubeba PhD na Masters
Kweli kabisaSIFA SA WAHAYA
1.HIGH IQ MORE THAN 150 KWENDA JUU
2.WANAWEZA KUNYANDUA VZURI KULIKO KABILA LOLOTE TZ
3.WAHAYA NI KABILA LILILOTAWALIWA NA UVUMBUZI NA UBUNIFU KATIKA NYANJA ZOTE
4.HAWATUMII NGUVU DARASANI HATA MUDA MWINGINE HAWAHITAJI WALIMU
5.WANAJUA HESABU KULIKO WACHAGGA WANAOKARIRI.
6.WAHAYA NDO KABILA LA KWANZA KWA WALIOSOMA WENGI WAKIFUATIWA NA WASUKUMA NA WANYAKYUSA
7.WAHAYA WANA ROHO NZURI SANA KULIKO KABILA LOLOTE BONGO
Wakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu View attachment 2614449
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Ngoma zinawambwa sasa.