Mbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani 🤔

Mbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani 🤔

Wakuuu za sahizi,

Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni

Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,

Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee

Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana

Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu View attachment 2614449
Kwani wewe mwenzetu ni kabila gani mpaka ukanyimwa hizo akili?

Maana mimi ninachofahamu akili ni nywele....!!
 
SIFA SA WAHAYA

1.HIGH IQ MORE THAN 150 KWENDA JUU

2.WANAWEZA KUNYANDUA VZURI KULIKO KABILA LOLOTE TZ

3.WAHAYA NI KABILA LILILOTAWALIWA NA UVUMBUZI NA UBUNIFU KATIKA NYANJA ZOTE

4.HAWATUMII NGUVU DARASANI HATA MUDA MWINGINE HAWAHITAJI WALIMU

5.WANAJUA HESABU KULIKO WACHAGGA WANAOKARIRI.

6.WAHAYA NDO KABILA LA KWANZA KWA WALIOSOMA WENGI WAKIFUATIWA NA WASUKUMA NA WANYAKYUSA

7.WAHAYA WANA ROHO NZURI SANA KULIKO KABILA LOLOTE BONGO
 
Wakuuu za sahizi,

Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni

Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,

Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee

Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana

Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu View attachment 2614449
Siri kubwa ni lishe tu.

Hii haiwahusu wasukuma waliozaliwa mjini..ni sisi tuliozaliwa kijijini tumekuzwa na maziwa fresh ya ng'ombe wa kienyeji...tunakunywa hata hayachemshwi..hapo kuna viazi vitamu..karanga..njugu..maharage..mafuta ya alizeti..kunde...maboga n.k
 
SIFA SA WAHAYA

1.HIGH IQ MORE THAN 150 KWENDA JUU

2.WANAWEZA KUNYANDUA VZURI KULIKO KABILA LOLOTE TZ

3.WAHAYA NI KABILA LILILOTAWALIWA NA UVUMBUZI NA UBUNIFU KATIKA NYANJA ZOTE

4.HAWATUMII NGUVU DARASANI HATA MUDA MWINGINE HAWAHITAJI WALIMU

5.WANAJUA HESABU KULIKO WACHAGGA WANAOKARIRI.

6.WAHAYA NDO KABILA LA KWANZA KWA WALIOSOMA WENGI WAKIFUATIWA NA WASUKUMA NA WANYAKYUSA

7.WAHAYA WANA ROHO NZURI SANA KULIKO KABILA LOLOTE BONGO
Kweli kabisa
 
Hii sifa inaenda inafutika taratibu

Siku hizi kuna makibila mengi tu wamepata uelevu

Ikiwemo : wanyakusya wakurya wazaramo wajaruo wanyamwezi n.k so ni suala la muda tu
 
Wakuuu za sahizi,

Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni

Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,

Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee

Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana

Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu View attachment 2614449
Screenshot_20230508_174003_Samsung Internet.jpg
 
Hii sifa inaenda inafutika taratibu

Siku hizi kuna makibila mengi tu wamepata uelevu

Ikiwemo : wanyakusya wakurya wazaramo wajaruo wanyamwezi n.k so ni suala la muda tu
Hahaha sidhani nature ni ngumu sana ifute hii kitu
 
Back
Top Bottom