Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada sio majinaKwa wahaya nakubali ila wasukuma aiseee sio kweli wengi Wana unga unga tu .nimesoma na wasukuma nlikuwa najiuliza hawa jamaa wamefikaje level hii kama ni vilaza kiasi hiki
Alafu Wana majina mengi sijui Kwann
Utakuta mtu mmoja ana majina matatu yote yake
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Kutuweka wahaya level sawa na wasukuma ni kutukosea heshima!!
wengine siwajui labda dr.musukuma classmate wangu wakati tunasoma masters jamaa alikuwa anagonga tu A za kutosha GPA ni 4.5 ou of 5Wakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu View attachment 2614449
ila wasukuma wanaongozaHivi kwanini Wachaga ni wakabila, wabaguzi na wabinafsi sana
AKILI KUBWA YA WAHAYA ILITOKANA NA UTASHI NA UEREVU ALIOWAJAALIA MUNGU.
HAPA TANZANIA HAKUNA KABILA ZURI NA LENYE UWEZO MKUBW WA MAMB MENGI KAMA WAHAYA
SIFA SA WAHAYA
1.HIGH IQ MORE THAN 150 KWENDA JUU
2.WANAWEZA KUNYANDUA VZURI KULIKO KABILA LOLOTE TZ
3.WAHAYA NI KABILA LILILOTAWALIWA NA UVUMBUZI NA UBUNIFU KATIKA NYANJA ZOTE
4.HAWATUMII NGUVU DARASANI HATA MUDA MWINGINE HAWAHITAJI WALIMU
5.WANAJUA HESABU KULIKO WACHAGGA WANAOKARIRI.
6.WAHAYA NDO KABILA LA KWANZA KWA WALIOSOMA WENGI WAKIFUATIWA NA WASUKUMA NA WANYAKYUSA
7.WAHAYA WANA ROHO NZURI SANA KULIKO KABILA LOLOTE BONGO
Wachaga na Wahaya ni vile mission zilianzia kule wazungu walifika mapema.Ila wasukuma wamebarikiwa bwana.Kabila teule hilo.Mtake msitake.Sasa wasukuma wana elimu gani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Embu weka wachaga hapo na wapare mdogo wangu
Khaa so udaktari bingwa ni courses uchwara??Wanasomaga vikozi uchwara! Hawawezi masomo magumu kama sayansi! Chunguza uone!
Nasema wenye vi PhD vya development studies!Khaa so udaktari bingwa ni courses uchwara??
Kanda ka kaskazini wamebobea sana sekta ya afya
Wasukuma labda engineering na penyewe hawabebi asilimia zote
Afu mie nasemea wenye PhD zao zile Og we sijui unasemea vinini au kwako mwenye akili yupoje