StorytellerJr
Member
- Apr 17, 2023
- 40
- 56
Umetusahau wajitaUmetusahau Wakerewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetusahau wajitaUmetusahau Wakerewe.
Wakerewe na wajita mkuu hao ni ndugu Tiss wamejaa waoHawa ni balaa,maprofesa wengi waafrika wametoka ukerewe,sato ni hatarii...pia Tiss inaongozwa na wakerewe.
Kwani wasukuma na wahaya nao si wakaskazini?I think wachaga au watu wa hulk kaskazini ndo wana high IQ wanaongoza kubeba PhD na Masters
Uzur kwenye cheti hawaoneshi kama uliibiaWachaga wanaibia sana Tatizo lao na hawaaachi hiyo kitu ipo damuni na hili limethibitishwa kila aliyesoma na mchaga... Mchaga ana akili kama za wachina...
Wasukuma sawa Ila wahaya mhhhh.Wakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu View attachment 2614449
Wakerewe ndio funga kazi
Wakerewe na wajita mkuu hao ni ndugu Tiss wamejaa wao
Wewe nae ,usukuma ni usukuma tu,tena jua Mama ndo ana uhakika ndo mama yake.Mama ndo anabeba mimba inaonekana.Baba huwa hakuna uhakika asilimia mia kuwa ndo Baba.Ndo maana nchi kama Gabon watoto wanatumia ubin wa mama zao.Jiwe ana damu ya Usukuma from Moza ake ubini no
Hapo kwa wanyakusa na wachaga nakubaliana nawe!!Kuna mmoja aliwahi kupewa mamlaka mahali. Alikuwa bonge la kilaza. Hawana lolote. Wanaongoza kwa kukariri na kutumia nguvu kusoma. Wazito kuelewa hao. We labda hujui. Bora useme wanyakyusa au wachaga.
Wewe nae ,usukuma ni usukuma tu,tena jua Mama ndo ana uhakika ndo mama yake.Mama ndo anabeba mimba inaonekana.Baba huwa hakuna uhakika asilimia mia kuwa ndo Baba.Ndo maana nchi kama Gabon watoto wanatumia ubin wa mama zao.
Utajua mwenyeweKwa kupendeleana?!
nyie ndio maana mpo ktkt yale makabila yanayodharauliwa nchi hii. Kuazia tu mtu mwenye akili hawezi kuandika thread km hii. Wahaya kwanza ni kabila dogo na very inferior, utawakuta kwao Bukoba na Dar, labda wachache Morogoro na Dodoma zaidi ya hapo mhaya utamkuta wapi. Pili wangekuwa na akili wangekuwa wanaongoza kwa umaskini? Mmbaki kuokoteza wahaya wachache waliosoma. Nyie ni maskini wa akili na maliWakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu.
View attachment 2614449
labda km ulisoma kule kwao kijijini.Mbona niliosoma nao walikuwa hawatumii nguvu kusoma kabisa mkuuuu yaani wao ilikuwa ni nature kabisa kufaulu mkuuu
wasukuma kwa vile ni wengi kama nyumbu ndo maana wanakwepo katika kila idara na vyuoni namba yao ni kubwa siyo kwamba wana akili kuna kabila iko mkoa wa manyara na arusha hao jamaa ni hatari hasa kwa masomo ya science na hisabatiIssue sio wana akili sana sema wapo wengi na wanao fail ni wengi pia so ni kama ecosystem tu maisha yaende