Mbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani 🤔

Mbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani 🤔

Nakumbuka tulimaliza form 6 pale Tambaza mwaka flani sio zamani sana. Zilitoka div one 15 mwaka ule na kati ya hizo div one 10 zote zilikuwa za wahaya. Nilichoka kwa kweli. Tutawasema sana kwa ajili ya kuwashusha sawa, ila jamaa ni vichwa. Admit it
 
Wachaga wanaibia sana Tatizo lao na hawaaachi hiyo kitu ipo damuni na hili limethibitishwa kila aliyesoma na mchaga... Mchaga ana akili kama za wachina...
Uzur kwenye cheti hawaoneshi kama uliibia

Kuna siku baada ya lecture kumaliza kufundisha akasema mwenye flash aje achukue notice atume kwenye group, mi nkaenda kufika akanambia jina alilosave hzo notice mi nkacopy folder nzima wakati huo yy anaendelea kupiga story na wanafunzi!

Baadae kukagua nkakuta mitihan mle nkapiga A zangu mbili
 
Wakuuu za sahizi,

Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni

Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,

Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee

Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana

Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu View attachment 2614449
Wasukuma sawa Ila wahaya mhhhh.
 
Jiwe ana damu ya Usukuma from Moza ake ubini no
Wewe nae ,usukuma ni usukuma tu,tena jua Mama ndo ana uhakika ndo mama yake.Mama ndo anabeba mimba inaonekana.Baba huwa hakuna uhakika asilimia mia kuwa ndo Baba.Ndo maana nchi kama Gabon watoto wanatumia ubin wa mama zao.
 
Kuna mmoja aliwahi kupewa mamlaka mahali. Alikuwa bonge la kilaza. Hawana lolote. Wanaongoza kwa kukariri na kutumia nguvu kusoma. Wazito kuelewa hao. We labda hujui. Bora useme wanyakyusa au wachaga.
Hapo kwa wanyakusa na wachaga nakubaliana nawe!!
 
Wewe nae ,usukuma ni usukuma tu,tena jua Mama ndo ana uhakika ndo mama yake.Mama ndo anabeba mimba inaonekana.Baba huwa hakuna uhakika asilimia mia kuwa ndo Baba.Ndo maana nchi kama Gabon watoto wanatumia ubin wa mama zao.

Kwanini uende mbali hadi GABON, ili hali kuna makabila kusini mwa Tanzania ambako watoto ni wa mama !!
 
Wakuuu za sahizi,

Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni

Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,

Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee

Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana

Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu.

View attachment 2614449
nyie ndio maana mpo ktkt yale makabila yanayodharauliwa nchi hii. Kuazia tu mtu mwenye akili hawezi kuandika thread km hii. Wahaya kwanza ni kabila dogo na very inferior, utawakuta kwao Bukoba na Dar, labda wachache Morogoro na Dodoma zaidi ya hapo mhaya utamkuta wapi. Pili wangekuwa na akili wangekuwa wanaongoza kwa umaskini? Mmbaki kuokoteza wahaya wachache waliosoma. Nyie ni maskini wa akili na mali
 
Issue sio wana akili sana sema wapo wengi na wanao fail ni wengi pia so ni kama ecosystem tu maisha yaende
wasukuma kwa vile ni wengi kama nyumbu ndo maana wanakwepo katika kila idara na vyuoni namba yao ni kubwa siyo kwamba wana akili kuna kabila iko mkoa wa manyara na arusha hao jamaa ni hatari hasa kwa masomo ya science na hisabati
 
Kwani akili kuwa na ma master mengi au kuwa pesa.....?
 
Hii ni kweli.
Kwa wasukuma nadhani malezi yanachangia..
Nidhamu &performance vinaendana
 
Back
Top Bottom