Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikawa naende kugonga zangu pombe na mademu pamoja na kukusha nawakimbiza kinomaNi viazi tuu vya kawaida nilisoma nao mahali wakajiana ujinga Wana akili ,mimi nikawa nawakamata math Kila mara basi wakawa hawalali mkuu
Fanya utafiti kwa interlacustrine region yote. Angalia Mbeya, Kilimanjaro, na sehemu zote zenye climate ya aina hiyo,.Duuh mmh au ndo nature yao tu walivyo
Hapana mi naona hayo maeneo yalikuwa na umisionary tu wa dini ndo mana mnayaona spcial!Fanya utafiti kwa interlacustrine region yote. Angalia Mbeya, Kilimanjaro, na sehemu zote zenye climate ya aina hiyo,.
Ila kwenye engineering Msukuma anaongoza kusema kweli hata ukienda kwenye vyuo vya engineering utakubaliana na mimi! Sheria na Medicine yuko poa pia!Msukuma ni hatari sana
Akitulia hasa aliyetokea ndichi.
Pia hata kwenye matumizi ya nguvu nyingi wapoIla kwenye engineering Msukuma anaongoza kusema kweli hata ukienda kwenye vyuo vya engineering utakubaliana na mimi! Sheria na Medicine yuko poa pia!
Idara ya elimu wasukuma ni wengi sana pia!
Hahaha wameshayachukua mashamba ya Waruguru Morogoro! Hata kwenye uchimbaji madini hawana mpizani hususani dhahabu hata huko Chunya migodi mingi ni yao!Pia hata kwenye matumizi ya nguvu nyingi wapo
labda wa gamboshiMsukuma ni hatari sana
Akitulia hasa aliyetokea ndichi.
Siwezi kubisha hasa mangosha ni watu magenius sana.Wakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu.
View attachment 2614449
Labda ya kuchunga ng'ombe na kufuga fisi.Mmmh wachaga wengi ni form 4 leavers mkuuuu tz wengi wenye elimu ni wasukuma aseee
Nenda SUA na Muhimbili ukahesabu maprofessor wengi wanatoka kabila gani? Kama sio wasukuma na wahaya, wachaga wamejaa huko CBE na mambo ya uhasibu, masomo magumu wape wasukuma na wahaya tu.Huo ndo ukweli
Fanya analysis PhD holders au madaktari bingwa wanatoka nyanda zipi?
Wivu sio mzuri endeleeni kuwadharau mpka siku moja mkute wamewazunguka kila idara ndio mtafumbua macho, ogopa watu wanaojifanya wajinga, wasukuma wengi ni waandisi na madaktari na kozi zote ngumu zinazowashinda watu wape wasukuma na wahaya hao jamaa ni mageniuslabda wa gamboshi
Nimesoma SUA pia ila naona wapare na wachaga hasa dpartment yangu, labda ww ulikua huko kwenye ma agrikachaN
Nenda SUA na Muhimbili ukahesabu maprofessor wengi wanatoka kabila gani? Kama sio wasukuma na wahaya, wachaga wamejaa huko CBE na mambo ya uhasibu, masomo magumu wape wasukuma na wahaya tu.
Acha ujinga nenda, department ya veterinary medicine na BLS kaangalie idadi ya maprofessor wakisukuma na kihaya, mambo mepesi someni nyie wachaga.Nimesoma SUA pia ila naona wapare na wachaga hasa dpartment yangu, labda ww ulikua huko kwenye ma agrikacha
Btw i saidi wat i said you are allowed kukataa ni haki yako