Mbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani šŸ¤”

Mbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani šŸ¤”

Kuna watu wataona umeonhea fact kumbe ni kutokujua.
1.Wasukuma ndio kabila kubwa Tz,wapo Mkoa wa Mwanza,Shinyanga,Geita,Simiyu na Tabora.wasukuma wame cover Mikoa 5 ya Tanzania wao wenyewe hivyo hata vyuoni na mashuleni lazima wao watakuwa wengi.Na kwenye wingi kama huo huwezi kukosa best students kamwe.

2.Wahaya sio wengi kama Wasukuma but shule zilianzia kwao,Wahaya wamejua maswala ya elimu kabla ya makabila mengine hapa Tanzania (mazingira ya kihistoria) hivyo Wahaya wengi walifahamu umuhimu wa elimu toka zamani kama wachaga.Mwamko wa shule kwenye jamii hiyo Upo juu kila mtoto lazima kwenda shule so obviously lazima nao wapo wengi madarasani.

Kiufupi Tanzania ukigika ngazi za vyuo kila darasa utakuta wanafunzi wengi ni Wasukuma,wachaga na wahaya
 
KABILA TAJIRI NI WACHAGA TU KWA SBB YA KUWA NA IQ KUBWA kila mkoa ndio wanafanya vizuri hao wengine walilie makaratasi yao
 
KABILA TAJIRI NI WACHAGA TU KWA SBB YA KUWA NA IQ KUBWA kila mkoa ndio wanafanya vizuri hao wengine walilie makaratasi yao
wewe na uchaga wako ni tajiri kwa kiwango gani? ukoo wako una asset za thamani gani? sema wachaga ni kabila maarufu kwa uchuuzi. uchuuzi na utajiri ni vitu tofauti kabisa. mchuuzi asiye na asset kama ardhi huwezi ukamhesabu kuwa tajiri. Hata Mo anaonekana tajiri kwa sababu ana ardhi kubwa sana hapa nchini iliyomfanya akopesheke kirahisi.
 
wewe na uchaga wako ni tajiri kwa kiwango gani? ukoo wako una asset za thamani gani? sema wachaga ni kabila maarufu kwa uchuuzi. uchuuzi na utajiri ni vitu tofauti kabisa. mchuuzi asiye na asset kama ardhi huwezi ukamhesabu kuwa tajiri. Hata Mo anaonekana tajiri kwa sababu ana ardhi kubwa sana hapa nchini iliyomfanya akopesheke kirahisi.
Jamaa wakisikia Mhaya lazima waje juu sijui tatizo no nini?
 
uhayani ni aibu tupu....
Kuhusu uhayani kuwa na umaskini wa kutisha hilo nakupinga...unless hujawahi kufika huko Bukoba vijijini, muleba au misenyi

Kwa kagera wilaya maskini zaidi ni biharamulo na ngara na kidoogo kyerwa...wilaya nyingine hazina huo umaskini wa kutisha...tena wengi wana vipato na huko ndo kunatoka hao wasomi na maphd yao...


Kwa Tanzania hii ukiachana na vijiji vya wachaga na wahaya kuliko baki ni umaskini mtupu...



Utoe hoja lakin usipotoshe....
1683007895516.jpg
 
ni mabingwa wa kusaka vyeti tu lakini ni hopeless kabisa.
Kwa bahati mbaya nimetembea mikoa kadhaa hapa nchini, kagera kwa hao unaowaona ndiyo vinara wa elimu kuna umaskini wa kutupwa. usukumani wala nisiseme. Mkoa wa Tabora ndiyo balaa bora hata Singida. Ukisafiri barabara ya Nzega-Tabora, utashangaa umaskini uliopo eneo hilo, watu bado wanasafiri kwa baiskeli. Ni aibu ndiyo majimbo ya wabunge wanaojiona vinara.

Ukitaka kujua hali za umaskini au utajiri hata ikiwa safarini utaona tu. Ukisafiri nchini, mahali ambako utaona dalili kubwa ya juhudi za watu kuupiga umaskini ni barabara kuanzia morogoro-mbeya-tunduma-sumbawanga. Hasa kuanzia mkoa wa iringa,. Ukishapanda kitonga unaanza kuona hali ya tofauti kabisa. Ni kama umevuka mpaka hauko TZ. Nyanda za juu kusini, hata ukiona mazingira ya miji na vijiji utajua kabisa wakazi wa mikoa hiyo (iringa, mbeya,Njombe, Songwe, Rukwa) hawana nonsense katika kazi na maisha, na hawajali habari ya kusaka vyeti.

Ushahidi ni hata wabunge wa majimbo yaliyo katika mikoa hiyo, ukimtoa Dr Tulia, wabunge wengi hawana mavyeti kubwakubwa kwa sababu wananchi mikoa hiyo huangalia uwezo wa mtu.
Sijaelewa point yako ni ipi kupotosha hapa...kuwasifia watu wasiotaka kusoma au waliofeli.....
Eti nyanda za juu kusini...kule bad kuna umaskini wa kutisha tembelea vvawa, mlowo, ihanda, mji wa mbeya uliojaa slums kila kona, kilolo nk
Bado kuna a lot kufanya huko kusini...

Kuhusu uhayani kuwa na umaskini wa kutisha hilo nakupinga...unless hujawahi kufika huko Bukoba vijijini, muleba au misenyi...au umeishia Bukoba mjini ukaona ile stendi ya tope ukadefine Wahaya wote...

Kimakazi, kielimu kiujumla kimaisha kiujumla uhayana kupo vzr sana kulinganisha na sehemu nyingi tz



Kwa kagera wilaya maskini zaidi ni biharamulo na ngara na kidoogo kyerwa...wilaya nyingine hazina huo umaskini wa kutisha...tena wengi wana vipato na huko ndo kunatoka hao wasomi na maphd yao...

Kwa Tanzania hii ukiachana na vijiji vya wachaga na wahaya kuliko baki ni umaskini mtupu...

Utoe hoja lakin usipotoshe....
 
Hizi ndio akili zenyewe unazozizungumzia ?

 
Kwa Tanzania hii ukiachana na vijiji vya wachaga na wahaya kuliko baki ni umaskini mtupu...
Emu fafanua yaan kwa wachaga na wahaya ndio kuna Gesi, Mafuta na Madini ya kutosha au sio ? Unamaanisha nini unaposema kuna umasikini masikini anamiliki Madini au Gesi kwenye Ardhi ya eneo anakotoka ?
 
Emu fafanua yaan kwa wachaga na wahaya ndio kuna Gesi, Mafuta na Madini ya kutosha au sio ? Unamaanisha nini unaposema kuna umasikini masikini anamiliki Madini au Gesi kwenye Ardhi ya eneo anakotoka ?
Kwan Tanzania mbona tuna almost kila kitu lakin bado ni maskini wa kutupwa..



Mimi naongelea kwa upande wa makazi, huduma za kijamii kama elimu shule, vyakula nk...mfano wilaya ya muleba huko uhayani ina hospital tano...ni wilaya ya pili nchini kwa shule za msingi nyingi baada tu ya moshi vijijini..vijiji vingi vinafikika...nyumba za nyasi au udongo ni kama hazipo kabisa.....watoto wote wanasomeshwa shule nzr nk nk...
 
Wakuuu za sahizi,

Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni

Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,

Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu šŸ˜†šŸ¤”šŸ¤” just imagine aseee

Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana

Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu.

View attachment 2614449
ni wasukuma gani wenye akili unaowaongelea aisee? acha utani basi.
 
ni mabingwa wa kusaka vyeti tu lakini ni hopeless kabisa.
Kwa bahati mbaya nimetembea mikoa kadhaa hapa nchini, kagera kwa hao unaowaona ndiyo vinara wa elimu kuna umaskini wa kutupwa. usukumani wala nisiseme. Mkoa wa Tabora ndiyo balaa bora hata Singida. Ukisafiri barabara ya Nzega-Tabora, utashangaa umaskini uliopo eneo hilo, watu bado wanasafiri kwa baiskeli. Ni aibu ndiyo majimbo ya wabunge wanaojiona vinara.

Ukitaka kujua hali za umaskini au utajiri hata ikiwa safarini utaona tu. Ukisafiri nchini, mahali ambako utaona dalili kubwa ya juhudi za watu kuupiga umaskini ni barabara kuanzia morogoro-mbeya-tunduma-sumbawanga. Hasa kuanzia mkoa wa iringa,. Ukishapanda kitonga unaanza kuona hali ya tofauti kabisa. Ni kama umevuka mpaka hauko TZ. Nyanda za juu kusini, hata ukiona mazingira ya miji na vijiji utajua kabisa wakazi wa mikoa hiyo (iringa, mbeya,Njombe, Songwe, Rukwa) hawana nonsense katika kazi na maisha, na hawajali habari ya kusaka vyeti.

Ushahidi ni hata wabunge wa majimbo yaliyo katika mikoa hiyo, ukimtoa Dr Tulia, wabunge wengi hawana mavyeti kubwakubwa kwa sababu wananchi mikoa hiyo huangalia uwezo wa mtu.
Barabara hazijengwi na wasukuma wala wahaya bali na serikali, haya tuambie kabila lako limejenga barabara gani ili tujue, kazi ya kujenga barabara ni kazi ya wananchi, unapima akili ya mtu, utajiri pamoja na umaskini kwa kuangalia barabara? Nyie kweli ni vichaa..... Mkubali au mkatae msukuma na mhaya ni watanzania wenye ubongo wa tofauti

N.B Angalia msukuma kama vile mh Msukuma ni darasa la saba lakini upeo wake amewazidi maprofessor vilaza kutoka makabila mengine.
 
Kwangu binafsi.
1, Wapare
2, Wahaya
3, Wachaga.

Level zote nilizopita kwa class langu wapare ndo wali/wanaongoza kwa kutunyoosha kitaaluma.
 
Back
Top Bottom