green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Et eeeSio kweli bhanaa, labda useme wapo wengi madarasani, hivyo hata wanaofaulu pia watakuwa wengi toka kwa hao wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Et eeeSio kweli bhanaa, labda useme wapo wengi madarasani, hivyo hata wanaofaulu pia watakuwa wengi toka kwa hao wengi
Ndizi sio kweli..[emoji419]mkoa wowotr wenye ndizi nimegundua watu wake wako bright..naunga hoja
Taaluma yangu haihusiani na biashara, japo kuna somo linaingia kwenye uwanja wa biashara tena ni msingi wenyewe.Toa wapare toa wachaga hao ni watu wamagashi tu, huwezi kulinganisha na msukuma na mhaya hata siku moja, kama ulisoma CBE hapo sawa wachaga wamejaa pamoja na vyuo vya mipango miji lakini programme ngumu mpe msukuma na mhaya.
Yuko sawaa.Kuna mwalimu mmoja alikuwa Huko Namtumbo,baada ya miaka kadhaa akahamia Kagera, yule mwalimu alichowahi kunieleza ni kwamba jamii ya Wahaya ilimpa changamoto sana (alipaswa awe anajiandaa ipasavyo kabla ya kuingia darasani) ukilinganisha na Huko Namtumbo( hakuwa na haja ya kujiandaa sana) alisema kuwa watoto wa Kagera (Wahaya) uelewawao uko juu sana ukilinganisha na watoto wa Namtumbo ( hapa alitoa mfno hai maana ndo ilikuwa mikoa yake ya mwisho kabla ya kustaafu), yule mwalimu ( mstaafu Kwa Sasa) alisema kabla hajastaafu aliweza kuishi mikoa tofauti tofauti maana alikuwa anahama Kwa kumfuata mwenza ambaye alikuwa ni Askari, alinismulia kuwa mbali ya kwamba jamii nyigi Zina changamoto kwenye Elimu lakini alikiri kuwa Kwa Wahaya suala la uelewa kwenye kujifunza ni tofauti sana na makabila mengi hapa nchini
Kishimba na Tabasamu pia wote ni darasa la sabaBarabara hazijengwi na wasukuma wala wahaya bali na serikali, haya tuambie kabila lako limejenga barabara gani ili tujue, kazi ya kujenga barabara ni kazi ya wananchi, unapima akili ya mtu, utajiri pamoja na umaskini kwa kuangalia barabara? Nyie kweli ni vichaa..... Mkubali au mkatae msukuma na mhaya ni watanzania wenye ubongo wa tofauti
N.B Angalia msukuma kama vile mh Msukuma ni darasa la saba lakini upeo wake amewazidi maprofessor vilaza kutoka makabila mengine.
namshukuru Mungu akili yangu haikuwa ya kusoma hivyo vyuo. kwa taarifa tu ni kwamba nimesoma udsm na masomo ya juu zaidi nimesoma Ulaya. pia nimeishi muda wa kutosha Mwanza na shinyanga. ndio maana nilikuwa nauliza wasukuma gani anaoongelea? hawa wanaowaza ng'ombe muda wote au wengine. kama wameumbwa wengine tuambizane.Ukiwa umesoma TIA na CBE na shule za Arts huwezi kuwajua wasukuma wala wahaya wewe endelea kusoma hotel management ukakutane na hayo makabila yako.
sasa, mbona mimi sikuzaliwa kagera wala mwanza, ila nimesoma na wahaya na wasukuma lakini hawajawahi kunipita hata siku moja. nimeshika namba moja na namba mbili form one hadi form six na wale tuliokuwa tunashindana nao mmoja alikuwa mchaga, mwingine mtu wa mbeya na mwingine iringa kama sikosei. kitu watu wanashindwa kuelewa ni kwamba, akili au IQ haina kabila, inatokana na chakula ambacho mtoto anakula tangia tumboni mwa mamake hadi anapozaliwa na kukua. kuna vyakula vyenye omega3 yingi kama vile ndizi, parachichi na mayai huwa vinasaidia development ya ubongo. pia vitu vingine vinavyosaidia development ya ubongo ni vyakula vyenye madini ya chuma ya kutosha na hivyo utapata kwenye nyema na maziwa (zink). utofauti wetu wa uelewa unajengwa na vyakula ulivyolishwa utotoni. na watu wanaokual vyakula hivyo hawapatikani bukoba tu.Kuna mwalimu mmoja alikuwa Huko Namtumbo,baada ya miaka kadhaa akahamia Kagera, yule mwalimu alichowahi kunieleza ni kwamba jamii ya Wahaya ilimpa changamoto sana (alipaswa awe anajiandaa ipasavyo kabla ya kuingia darasani) ukilinganisha na Huko Namtumbo( hakuwa na haja ya kujiandaa sana) alisema kuwa watoto wa Kagera (Wahaya) uelewawao uko juu sana ukilinganisha na watoto wa Namtumbo ( hapa alitoa mfno hai maana ndo ilikuwa mikoa yake ya mwisho kabla ya kustaafu), yule mwalimu ( mstaafu Kwa Sasa) alisema kabla hajastaafu aliweza kuishi mikoa tofauti tofauti maana alikuwa anahama Kwa kumfuata mwenza ambaye alikuwa ni Askari, alinismulia kuwa mbali ya kwamba jamii nyigi Zina changamoto kwenye Elimu lakini alikiri kuwa Kwa Wahaya suala la uelewa kwenye kujifunza ni tofauti sana na makabila mengi hapa nchini
Mtoa post umetokea kwenye kabila ulilolitaja mwenyewe na unataka ufafanuzi,. Labda nikujibu hiviWakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu.
View attachment 2614449
Kusoma sana au kuwa na vyeti vyenye A class sio sifa ya maana kama hiyo elimu haijawa converted na kuwa applicable ktk maisha,. Mfano unakuta mtu kasoma labda coz za biashara, Kilimo au engineering lkn anasubiri mtaani kwa zaidi ya miaka 4 kupata ajira. Hizo ni elimu za vyeti tu. Hata ukiwa na PhD au Masters lkn ukafa maskini, tutamuona yule aliyeishia O level na kumiliki mali kuwa ndye mwenye thamani zaidi.
Hata Lindi wanaongoza kutoa watu maarufu na wakubwa sana, basi wataje wamwera na wengineo.
Kigezo cha kusema watu flani wana akili kuliko wengine ni kipi?Wakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu.
View attachment 2614449
Namba 7 ndo mnaongoza kwa roho mbayaSIFA SA WAHAYA
1.HIGH IQ MORE THAN 150 KWENDA JUU
2.WANAWEZA KUNYANDUA VZURI KULIKO KABILA LOLOTE TZ
3.WAHAYA NI KABILA LILILOTAWALIWA NA UVUMBUZI NA UBUNIFU KATIKA NYANJA ZOTE
4.HAWATUMII NGUVU DARASANI HATA MUDA MWINGINE HAWAHITAJI WALIMU
5.WANAJUA HESABU KULIKO WACHAGGA WANAOKARIRI.
6.WAHAYA NDO KABILA LA KWANZA KWA WALIOSOMA WENGI WAKIFUATIWA NA WASUKUMA NA WANYAKYUSA
7.WAHAYA WANA ROHO NZURI SANA KULIKO KABILA LOLOTE BONGO
Wachaga washapotezwa kwenye elimu. Walivuma zamani sio sasaKuna mmoja aliwahi kupewa mamlaka mahali. Alikuwa bonge la kilaza. Hawana lolote. Wanaongoza kwa kukariri na kutumia nguvu kusoma. Wazito kuelewa hao. We labda hujui. Bora useme wanyakyusa au wachaga.
Ni mwamko wa kusoma,ukichangia na chakula chenye vitu muhimu especially samakiSato, ndizi na vingine kama hivyo vilivyooteshwa kwenye udongo wenye rutuba ya kutosha vinachangia sana.
Wakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu.
View attachment 2614449
Wahaya viazi wapo wengi tuuTena wasukuma walikuwa wananishangaza sana pia ni wepesi kujua kiingereza lakin ile lafudhi yao ndo huwa inawaangusha hadi wanaonekana kama hawajui
Wahaya wengi wapo vzur,zaid na zaidi nimeanza kukutana nao vyuoni,nmesoma vyuo vingi zaidi ya vinne hawa jamaa sio ke au me wapo njema kichwani