Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutuu. Hawaongei tu. Nenda vyuoni alafu fanya hesabu. UtaniambiaWachaga washapotezwa kwenye elimu. Walivuma zamani sio sasa
Labda VETA na chuo cha nyuki Tabora. Ila level za UDSM, Mzumbe, SAUT, Sokoine wameshapotezwa.Thubutuu. Hawaongei tu. Nenda vyuoni alafu fanya hesabu. Utaniambia
Wapo sana tena zaidi ya sana. Nenda shule za a level utawakuta na asilimia kubwa wanafaulu. Yani ukweli huu haubadiliki pamoja na kufanyiwa figisu sana kipindi cha mwendazake.Labda VETA na chuo cha nyuki Tabora. Ila level za UDSM, Mzumbe, SAUT, Sokoine wameshapotezwa.
Well..It’s (most likely) based on a number of factors..I will simply analyze only 5 factors[emoji4]
3 - Your what you Raised [emoji4]Actually communicating with your child at a young age
Umesahau Wanyakyusa.Kuna watu wataona umeonhea fact kumbe ni kutokujua.
1.Wasukuma ndio kabila kubwa Tz,wapo Mkoa wa Mwanza,Shinyanga,Geita,Simiyu na Tabora.wasukuma wame cover Mikoa 5 ya Tanzania wao wenyewe hivyo hata vyuoni na mashuleni lazima wao watakuwa wengi.Na kwenye wingi kama huo huwezi kukosa best students kamwe.
2.Wahaya sio wengi kama Wasukuma but shule zilianzia kwao,Wahaya wamejua maswala ya elimu kabla ya makabila mengine hapa Tanzania (mazingira ya kihistoria) hivyo Wahaya wengi walifahamu umuhimu wa elimu toka zamani kama wachaga.Mwamko wa shule kwenye jamii hiyo Upo juu kila mtoto lazima kwenda shule so obviously lazima nao wapo wengi madarasani.
Kiufupi Tanzania ukigika ngazi za vyuo kila darasa utakuta wanafunzi wengi ni Wasukuma,wachaga na wahaya
Wachaga watu wa "magumashi" katika elimu.Kwangu binafsi.
1, Wapare
2, Wahaya
3, Wachaga.
Level zote nilizopita kwa class langu wapare ndo wali/wanaongoza kwa kutunyoosha kitaaluma.
Mbeya ikiongoza📌Mkoa wowotr wenye ndizi nimegundua watu wake wako bright..naunga hoja
KweliKuna mmoja aliwahi kupewa mamlaka mahali. Alikuwa bonge la kilaza. Hawana lolote. Wanaongoza kwa kukariri na kutumia nguvu kusoma. Wazito kuelewa hao. We labda hujui. Bora useme wanyakyusa au wachaga.
Umetokea ukanda gani?Kwa wahaya nakubali ila wasukuma aiseee sio kweli wengi Wana unga unga tu .nimesoma na wasukuma nlikuwa najiuliza hawa jamaa wamefikaje level hii kama ni vilaza kiasi hiki
Alafu Wana majina mengi sijui Kwann
Utakuta mtu mmoja ana majina matatu yote yake
Ujinga mtupu. Kwa ushahidi upi?Wakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu 😆🤔🤔 just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu.
View attachment 2614449