Mbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani 🤔

Mmmh wachaga wengi ni form 4 leavers mkuuuu tz wengi wenye elimu ni wasukuma aseee
uko sawa ila ongezea na kitu kimoja kwa ushamba wako mbele sana kama yule nanilino aliyetangulia kule.Kwa upande wa Wahaya wana IQ ni kweli ila ungeongezea ni wavivu mno hawapendi kazi ngumu na ndio maana kila mmoja ni mwanasheria na ndio maana mkoa wao umasikini ni wa kutisha.
 
Siku zoote nilijua ni WAKEREWE ndo wanaongoza kwa akil za KUKARIRI vitu vya darasani hapa tena nashangaa kukutana na wachaga, wahaya mara wasukuma mmmhhh [emoji28][emoji28]
 
Siku zoote nilijua ni WAKEREWE ndo wanaongoza kwa akil za KUKARIRI vitu vya darasani hapa tena nashangaa kukutana na wachaga, wahaya mara wasukuma mmmhhh [emoji28][emoji28]
Kuna jamaa yangu mkerewe..

Alikuwa anatusua balaaa..
 
Kuna mtu hajawahi kwenda shule, ila amegundua kitu ambacho kinasaidia jamii

Huyu vipi ana akili au Hana ?
 
Huo ndo ukweli

Fanya analysis PhD holders au madaktari bingwa wanatoka nyanda zipi?
Wachaga na shule wapi na wapi?? Wengi ukorofi tu wanaishia kudrop na kufukuzwa sema mtaani wako vizuri sana kiufupi wanaakili ya maisha
 
Hesabu yako ni nzuri ila inaweza leta matokeo tofauti na uhalisia pia kutokana na miundombinu. Kila kilomita 10 za mraba wilayani rombo na mreba kuna shule wakati ni zaidi ya kilometa 30 za mraba shinyanga ndo unapata shule moja ya msingi. Labda tutumie kiwango cha ufahuru maana kufahuru kunalindwa na kiwango flani cha max ambacho kila mtoto atakuwa amekivuka. Mfano kwa kila watoto kadhaa walioshinda kwenda form 5 wa kabila flani je niwangapi waliweza kuwa wasomi wa ngazi flani.
 
Wahaya HAMNA KITU ni overrated.
Mtoe mhaya muweke Mchaga na Mkurya
 
Wapo sana tena zaidi ya sana. Nenda shule za a level utawakuta na asilimia kubwa wanafaulu. Yani ukweli huu haubadiliki pamoja na kufanyiwa figisu sana kipindi cha mwendazake.
Miaka mitano ya magufuri ndo iliwapoteza. Huu ni utetezi kwa wasiojitambua tu
 
Mtu mwenye uwezo mkubwa kiakili mavazi yanakuwa nje ya kufikiri kwake. Swala la mavazi linakuwa daraja la chini kuliko akili yake inavyofikiria
 
Kupata uhalisia tupite mahospitalini hasa makubwa, na ma kampuni ya ujenzi, ya simu na tanesco tujue zina madaktari na ma injinia wangapi.
Vinginevyo akili zao zinaishia huko msingi na sekondari
 
Kwa sababu ni aina ya nyani/sokwe (ape) wenye vichwa vikubwa kwa maana kuwa na eneo kubwa la hippocampus, na kuwasaidia kukariri mambo mengi lakini bila kuwa na uwezo wa kuchakata hio memory
Wao ni kumeza na kutema kwenye maswali kama ilivyonukuliwa vitabuni lakini bila kuwa na uelewo wa mantiki au dhima ya hayo yaliyoandikwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…