Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

Kulinda "privacy".

Mama'ko anaanika kufuli zake uani?
Hata dot zikiwa connected huwezi pata connection kati ya kuanika kufuli na kuhama... Kwani kuhama mchana hayo makufuli si yanawekwa kwenye mabegi au makabati..??!! AU ANAYEHAMA USIKU MAKUFULI YAKE ANAYAWEKA PALE PANAPOBANDIKWA ROAD LICENCE..??
 
Unakuta mtu unahama na mkokoteni mara masufuria yanaanguka kule huku jiko la mchina linamwaga mafutataa linaharibu vitu vingine kqdhalika vijiko vinaanguka kah!!

Ukicheki hapo ni baba na familia mko na mkokoteni mnaongozana nao pamoja na vitoto vingine vinalia chwiii chwiii ....!!!!!

Hahahahahaha,
 
Kuna sababu nyingi za kuhama usiku,mojawapo ni hizi:
1.Kuficha udhaifu wa mhamaji(kujistiri),ama kuepuka fedheha.
2.Sababu za kiusalama.
3.Hulka ya kutopenda kujulikana(kueji-expose
kwa watu)

Mkuu naomba kutokubalia na wewe kwenye maelezo yako....

1.Kuficha udhaifu wa mhamaji(kujistiri),ama kuepuka fedheha.

Udhaifu kama mtu anao, hauwezi kujulikana kwa siku moja tu, tena siku ya kuhama. Halafu kama unajikubali huweizi kuogopa udhaifu wako... ni sawa na kukimbia kivuli chako jua likiwaka tu unakiona.

2.Sababu za kiusalama.

Nilidhani kuhama mchana ndo salama zaidi... Unahama usiku kwa kuhofia usalama..??!! Ni nini hicho kinachopelekea kuhama usiku kuwe salama kuliko kuhama mchana..??!!

3.Hulka ya kutopenda kujulikana(kueji-expose kwa watu)
Hii inafanana na ya kwanza....

NB: Kwa nijuwa mimi
1. Kuhama usiku ni kuogopa makorokocho yako yanayofanana na dampo kuonekana... Kumbukeni wengine wananunua vitu kule mali mbovu

2. Kuhama usiku inawezekana unanunua vitu vya wizi tu kwenye mavitu yako. Hivyo usije ukaonwa na wenye vitu vyao


 
Mchana ni macho ya watu na usumbufu wa foleni..na usiku stara zaidi wapangaji wenzako wakustukie asubuhi..!
 
Mchana ni macho ya watu na usumbufu wa foleni..na usiku stara zaidi wapangaji wenzako wakustukie asubuhi..!
Hakuna lolote.. Sawasawa na mkienda bar kupata vya bar, mwenye nokia tochi kuiweka mezani ni ngumu.. Labda aiweke juu ya S6 iliyoko juu ya meza, lakini kuiweka peke yake ni ngumu sana..

.............USIKU WANAHAMA POPO TU............
 
Mkuu naomba kutokubalia na wewe kwenye maelezo yako....

1.Kuficha udhaifu wa mhamaji(kujistiri),ama kuepuka fedheha.

Udhaifu kama mtu anao, hauwezi kujulikana kwa siku moja tu, tena siku ya kuhama. Halafu kama unajikubali huweizi kuogopa udhaifu wako... ni sawa na kukimbia kivuli chako jua likiwaka tu unakiona.

2.Sababu za kiusalama.

Nilidhani kuhama mchana ndo salama zaidi... Unahama usiku kwa kuhofia usalama..??!! Ni nini hicho kinachopelekea kuhama usiku kuwe salama kuliko kuhama mchana..??!!

3.Hulka ya kutopenda kujulikana(kueji-expose kwa watu)
Hii inafanana na ya kwanza....

NB: Kwa nijuwa mimi
1. Kuhama usiku ni kuogopa makorokocho yako yanayofanana na dampo kuonekana... Kumbukeni wengine wananunua vitu kule mali mbovu

2. Kuhama usiku inawezekana unanunua vitu vya wizi tu kwenye mavitu yako. Hivyo usije ukaonwa na wenye vitu vyao




Hayo ni mawazo yako mkuu, na upo sahihi kwa mtazamo wako pia.
Pia nijibu maswali haya:

1.Nini maana ya udhaifu?
2.Ni kwa nini basi vituo vya polisi/silaha za kivita mara nyingi huhamishwa usiku?
 
Hayo ni mawazo yako mkuu, na upo sahihi kwa mtazamo wako pia.
Jambo lingine la kufikiri, ni kwa nini pia vituo vya polisi/silaha za kivita mara nyingi huhamishwa usiku?

Mkuu, kwenye comparison huwa tunakompea ''epo'' na ''epo'' ....... Unapolinganisha kuhamisha silaha ya kivita na kuhamisha vifaa vya ndani kama sahani, bakuli vikombe , makabati pamoja na mende wake, vitanda pamoja na kunguni wake.... etc... sikuelewi
 
Mkuu, kwenye comparison huwa tunakompea ''epo'' na ''epo'' ....... Unapolinganisha kuhamisha silaha ya kivita na kuhamisha vifaa vya ndani kama sahani, bakuli vikombe , makabati pamoja na mende wake, vitanda pamoja na kunguni wake.... etc... sikuelewi

Ok, swali la kwanza pia linahitaji majibu tafadhali.

Pia angalia swali lilivyo ulizwa na mleta mada,unadhani upo sahihi?

Nasubiri majibu ndg!!
 
Watu huwa wanaona noma vitu vyao kuonekana; Magodoro yenye alama za mikojo ya watoto, masufuria ukungu mweusi chini, ndoo za kuogea zilizopauka, makochi yaliyotobokatoboka kwa ajili ya panya kuweka makazi yao pia baadhi ya vyombo vinaweza kuwa na mende wakubwa kwa wadoko...,
 
katika maisha yangu ya kupanga nyumba sijawahi kuhama usiku kwaio kama hio yakuhama usiku ni kanuni basi ntakuwa nmeenda kinyume. mara nyingi huwa nahama muda wa asubuhi . nakumbuka siku moja wakati nataka kuhama nikafika stand ya gari iliyokuwa karibu na nilipokuwa naishi nkawa naongea na dereva akanihamishie vifaa vyangu. wengi pale stand walishangaa kwanini naamua kuhama mchana kweupee vile.
 
Kuna sababu nyingi ila ngoja nikupe kifupi.

Usiku siku zote kunakuwa kumetulia, hivyo inasaidia sana linapokuja suala la kuosogea kutoka pande moja kuelekea pande nyingine.

Na hata Barabarani msongamano wa Magari usiku huwa unapungua kulinganisha na mchana.

Majuu nako inategemea na nchi au maeneo na kuna muda pia huwezi kuthubutu sababu inakuwa kinyume na katiba, muda wa kulala, wewe unawasumbua wenzio na kutoa toa mizigo.

Kuna muda ukifika huruhusiwi kuingia wala kutoka
 
Zipo nyingi lakini hii inanguvu ni kwamba zowezi la kuhama huwa linakula muda na mchana waliowengi huwa ktk sehemu zao za kazi kuyaendea majukumu yao ya kila siku hivyo hutumika usiku muda ambao wamechatoka huko na kuanza shughuri za ufunguwaji wa vifaa hadi kumalizia ishakua usiku wanahama na wanakohamia kuna kazi ya upangaji wa vifaa hivyo wanalazimika kuvipanga ili asubuhi waweze kuyaendea majukumu yao ya kila siku
 
Back
Top Bottom