Ukimsikiliza vizuri Lema ni wazi kabisa kuwa kumbe kulikuwa na mkakati uliosukwa kitambo wa kutoa Mbowe kwenye nafasi yake ya Uenyekiti.
Hii sio sahihi kabisa, Kiongozi aliye kijanga chama kama mbowe anafanyiwa hujuma za chini kwa chini!!! hapana hilo sio sahahi, huko ni kumkosea heshima Mbowe.