inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ameambiwa!?Anasema ameambiwa pia Kuna mengi ambayo yatafanyika nje ya mkataba
Binafsi nilichosokitika ni ile anasema dp world wamepewa exclusive rights kwenye ardhi yoyote wanayotaka kwa ajili ya kufanya kazi zao
Atakuja Wilson Mahela na UVCCM na kuanza kusema wananchi hawahitaji bandari, wananchi wanahitaji maji, wananchi wanahitaji barabara, wananchi wanahitaji huduma za afya, wananchi wanahitaji SGR😃Mwanza
Mbeya
Arusha
Dar......
Pigeni jaramba......
Bandari ni sehemu NYETI kama mboni ya jicho huko ndo Injini ya Taifa inako kaa
Cc Yericko Nyerere
Ni matatizo ya kutokuwa na Chogo.Wazazi akikisheni watoto wenu Wana KiChogo walau Cha kuzugia *****.Naomba niiweke vizur,wanatuletea usenge
Maskini Samia! Amevuna nini kwa Asali aliyomrundikia MBOWE. Tulimuonya lakiniNdio maana nilikuwa namsubiri kwa hamu sana huyu mtu azungumze, kwasababu nilijua tu, linapokuja suala la maslahi ya taifa hajui kumun'gunya maneno.
Nashangaa kuna vipofu walikuwa wanaulizia kwenye ule mkataba miaka 100 iko wapi, wao wakadai hawaioni, wakashindwa kutazama vipengele vingine kwenye ule mkataba, kisha wajumlishe na zao kichwani ili wapate jibu.
Kwa akili ya kawaida tu, kama mkataba hauna kipengele cha duration, at the same time panakuwepo na kipengele cha confidentiality, hapo anayejielewa hatakiwi kuuliza namba 100 iko wapi? common sense kwa baadhi yetu is not common!.
Rais na watendaji wake wanatakiwa kuhukumiwa vifungo virefu gerezani kwa hii dhambi waliyolitendea taifa letu, dhambi itakayoviumiza mpaka vizazi vijavyo, hawana huruma kwetu hawa viumbe, walaaniwe!.
Anahoji kama wanasema huu mkataba ni mzuri na wenye faida kwa nini unahusu bandari za huku bara tu? Kwa nini bandari za Zanzibar hazijahusishwa?Sijawahi kuwa na shaka na Mbowe, na sidhani kama nitawahi kuwa nayo, siku zote namuamini, wajinga watamuita mfanyabiashara na majina mengine, but deep inside, they don't know him!.
Kweli kazungumza bila kuweka urafiki au maridhiano yaliyopo, ametanguliza maslahi ya taifa mbele.Aisee...
Ukomo ni miaka 100 ila wameweka kimtego...wanaweza wakafupisha na wanaweza wakarefusha inategemea kama tutagundua password wameweka wapi...Nilikua namsikilizambowe anasema mkataba hauna ukomo.
Anasema yupo tayari kuamsha nchi nzima Kama bunge litapitisha
Leo nimeona ameongea kwa hisia sana.
Mtu yeyote makini ataona hizo gaps ziko wazi...Ila zimewekwa kiujanja sanaKweli kazungumza bila kuweka urafiki au maridhiano yaliyopo, ametanguliza maslahi ya taifa mbele.
Aanasema hajawahi kuona mkataba wa ajabu kama huu kwenye hii nchi, hatakubali na chadema haitakubali, yupo tayari kuamsha nchi nzima
Huyu mama ananipa mashaka sanaHiko ndio amehoji mbowe,kwa nini bandari zote za bara wakati za Zanzibar hazijajumuishwa
CCM ni janga la Taifa aisee..Anasema atayaweka wazi yale ambayo yamefanyika nyuma ya pazia, akirudi na wakikaa kamati kuu ya chama