Mbowe anasema mkataba ni zaidi ya miaka 100, hauna ukomo. Ni life time

Mbowe anasema mkataba ni zaidi ya miaka 100, hauna ukomo. Ni life time

Naona machawa wao wanatetea ooh DP world wapo adi Marekani na uingereza ...

Hivi mkataba ataoingia na Marekani na Uingereza ni sawa na atao Negotiates na Tanzania? Nchi iliyojaa viongozi wa Kimangungo na walamba Asali ?

Kwanza power aliyonayo Marekani na UK kwenye Negotiations sie tunayo?
Tatizo lipo hapo, mkataba unasema watapewa haki za ardhi yoyote watayoitaka bila masharti yoyote na serikali ndio yenye jukumu ya kuhakikisha wanapata ardhi hiyo
 
Mamlaka ya bandari (TPA) imekanusha eti mkataba sio wa miaka 100 bali ni wa miezi 12. Machawa wanasambaza hilo "kanusho" wakidhani wanaisaidia serikali kumbe wanazidi kuharibu.

Kifungu cha 25(1) kinasema utekelezaji wa mkataba utaanza mara baada ya kusainiwa (promptly after signature of the State parties). Je, mkataba umesainiwa lini? Umesainiwa 25 October 2022. Hadi sasa imeshapita miezi 8 tangu usainiwe.

Kama kweli mkataba ni miezi 12 kama wanavyotaka kutuaminisha, it means imebaki miezi minne tu mkataba uishe. Sasa unawezaje kupeleka azimio bungeni kwa jambo ambalo limebakiza miezi minne!
 

Attachments

  • Screenshot_20230607-193613_1.jpg
    Screenshot_20230607-193613_1.jpg
    47.8 KB · Views: 3
Nilikua namsikilizambowe anasema mkataba hauna ukomo.

Anasema yupo tayari kuamsha nchi nzima Kama bunge litapitisha

Leo nimeona ameongea kwa hisia sana.
Nyie chadomo hamnaga akili. Magu mlimkataa, mkamkubali bmkubwa, ameuza nchi mnaanza makelele.

Mnataka kuwa na rais mmoja mwenye elements za magu na samia at the same time.

Kiuhalisia humuwezi mpata magu kwa samia na huwezi mpata samia kwa magu hata siku moja, hao ni mtu mbili tofauti.

Sub saharan countries hatuitaji democrasia bali tuinaitaji uongozi bora na usimamizi dhabiti wa raslimali.
 
Anasema ameambiwa pia Kuna mengi ambayo yatafanyika nje ya mkataba

Binafsi nilichosokitika ni ile anasema dp world wamepewa exclusive rights kwenye ardhi yoyote wanayotaka kwa ajili ya kufanya kazi zao
Aliyepiga filimbi aliona hili...Lease of the land for 99 years was what would have followed then unavunjaje mkataba baada ya land kuwa leased?

Tena siyo lease maana ni nchi na nchi...Na mwenye uwezo wa ku alienate land ni nani? Jamani!

Yaani sijui ndiyo nchi itaitwa the land of Dubai ama vipi?! Maana tumeigawa kisheria kama sheria inavyoelekeza...This is my interpretation some one help me understand this...mie nasikia kizungu zungu kabisa!
 
Back
Top Bottom