Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Huyu ni shujaa, najitolea kumpelekea chakula segerea kila siku bila kukosa,, ☹️Aliyosema leo, kama nilisema amelamba asali basi namuomba msamaha. Ametanguliza maslahi ya taifa mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni shujaa, najitolea kumpelekea chakula segerea kila siku bila kukosa,, ☹️Aliyosema leo, kama nilisema amelamba asali basi namuomba msamaha. Ametanguliza maslahi ya taifa mbele
Maridhiano hoyee.ccm hoyeeee....
Ushahidi apate wapi,wamepata Cha kupatia kikiPengine ana ushahidi, tusubiri. Wala usiwe na haraka
Msikilize Tena uelewe acha kuleta comment za kitoto humu kwenye serious issues,Wanatunganya walevi wa asali hawa.
Huku kaimu wake anadai hajaona palipoandikwa mkataba miaka 100
Swali muhimu la kuuliza hapa ni kwa nini watu, tena viongozi wa nchi, wenye akili timamu wanaweza kufanya jambo kama hili. Kwa nini?Rais na watendaji wake wanatakiwa kuhukumiwa vifungo virefu gerezani kwa hii dhambi waliyolitendea taifa letu, dhambi itakayoviumiza mpaka vizazi vijavyo, hawana huruma kwetu hawa viumbe, walaaniwe!.
Unataka ushahidi gani ww pimbi, mkataba si uko wazi kwenye mitandao uusome , kiki kwenye maslahi ya taifa inatoka wap ,badilikaUshahidi apate wapi,wamepata Cha kupatia kiki
We naye Kuna jukwaa la matangazo sio humu kwenye agenda muhimu unaingiza mambo yako, poor strategyTigo Postpaid Bando za bei nafuu sana kwa Tsh 15 unapata Gb 15 mwezi mzima , karibu pm kwa maelezo zaidi. Na kujiunga
Tatizo lenu mna matamanio ya matokeo na siyo mchakato wa kupata hayo matokeo.umeongea kipuuzi sana bila ku-reason,ni lini ushaona kiongozi bora akawa mzizi wa matatizo ya africa???
africa inahitaji mfumo bora wa kiutawala na sio kiongozi bora.......kiongozi awe kama pambo tu ila wanaotawala nchi wawe watu makini,wenye maono na uzalendo wa hali ya juu na ambao wanaweza wakamfundisha rais jinsi ya kufanya kazi na sio rais awafundishe wao jinsi ya kufanya kazi
Hii hufanywa na almost nchi zote zilizo endelea duniani...............
BE OPEN MINDED
Mtu mwenye akili timamu atakubalije wendawazimu wenu?Punguza uongo, usihamishe magoli. Magufuli mwenyewe aliwachukia CHADEMA Sana.
HahaDuuh, kwa mantiki hii anaweza kubinafsisha Bank kuu... sio kila kitu cha kubinafsisha
Unapolalamika na kuongea ongea kila siku, unakuwa kama mbwa. No time for talking againNdio maana nilikuwa namsubiri kwa hamu sana huyu mtu azungumze, kwasababu nilijua tu, linapokuja suala la maslahi ya taifa hajui kumun'gunya maneno.
Nashangaa kuna vipofu walikuwa wanaulizia kwenye ule mkataba miaka 100 iko wapi, wao wakadai hawaioni, wakashindwa kutazama vipengele vingine kwenye ule mkataba, kisha wajumlishe na zao kichwani ili wapate jibu.
Kwa akili ya kawaida tu, kama mkataba hauna kipengele cha duration, at the same time panakuwepo na kipengele cha confidentiality, hapo anayejielewa hatakiwi kuuliza namba 100 iko wapi? common sense kwa baadhi yetu is not common!.
Rais na watendaji wake wanatakiwa kuhukumiwa vifungo virefu gerezani kwa hii dhambi waliyolitendea taifa letu, dhambi itakayoviumiza mpaka vizazi vijavyo, hawana huruma kwetu hawa viumbe, walaaniwe!.
Hatari hatariNdio maana nilikuwa namsubiri kwa hamu sana huyu mtu azungumze, kwasababu nilijua tu, linapokuja suala la maslahi ya taifa hajui kumun'gunya maneno.
Nashangaa kuna vipofu walikuwa wanaulizia kwenye ule mkataba miaka 100 iko wapi, wao wakadai hawaioni, wakashindwa kutazama vipengele vingine kwenye ule mkataba, kisha wajumlishe na zao kichwani ili wapate jibu.
Kwa akili ya kawaida tu, kama mkataba hauna kipengele cha duration, at the same time panakuwepo na kipengele cha confidentiality, hapo anayejielewa hatakiwi kuuliza namba 100 iko wapi? common sense kwa baadhi yetu is not common!.
Rais na watendaji wake wanatakiwa kuhukumiwa vifungo virefu gerezani kwa hii dhambi waliyolitendea taifa letu, dhambi itakayoviumiza mpaka vizazi vijavyo, hawana huruma kwetu hawa viumbe, walaaniwe!.
Na kuna mtu ana PHD hukohukoAtakuja Wilson Mahela na UVCCM na kuanza kusema wananchi hawahitaji bandari, wananchi wanahitaji maji, wananchi wanahitaji barabara, wananchi wanahitaji huduma za afya, wananchi wanahitaji SGR[emoji2]