Mbowe anasema mkataba ni zaidi ya miaka 100, hauna ukomo. Ni life time

Mbowe anasema mkataba ni zaidi ya miaka 100, hauna ukomo. Ni life time

Vijana wa Chadema niwashauri msiazime vichwa vyenu kwa watu...Nyie mnaamini sana binadamu kuliko hata nafsi zenu...Kwakua kasema Mtu wenu wa chama nyote mmehama, angesema haya mtu baki mgepinga hata bila reasoning...Huu uchama huu ulaaniwe...

Nimsifu tu Mwenyekiti wenu kwakutanguliza utaifa mbele, kwa hili japo mimi CCM kwaajili ya taifa langu nipo naye
 
Back
Top Bottom