babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Kwani Mange anasemaje kwenye hili?
Nyu...u wa ufipa lazima wamsikilize dada yao kwanza
Nyu...u wa ufipa lazima wamsikilize dada yao kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gazeti linaloandaliwa na wajinga na kusomwa na wajinga...halafu unakuta kiwandani limelipiwa matoleo kumi mfulululizo! Hizi fedha za walipa kodi zinatumika vibaya sana!Yaani unasema Mbowe kanunua magari matano lakini hutaji hata namba moja ya mojawapo ya magari hayo!?
Hata wafuasi wa CCM wamechoshwa na habari zenu za kipumbavu mnazotoa kwenye vigazeti vyenu vya kijinga kijinga na propaganda Uchwara juu ya Serikali ya awamu ya tano. Pelekeni malalamiko Takukuru. Wacheni upumbavu wenu!Tumechoka na hizo habari zenu za kipumbavu mnazotoa kwenye hivyo vigazeti vyenu vya kijinga kijinga. Hiyo TAKUKURU na Mahakama ya mafisadi inafanya kazi gani? Wacheni upumbavu wenu.
Ninafahamu na ndiyo maana nilikueleza kuwa siyo dhambi kuwa na investment ya nyumba nje ya nchi na hapa nchini wengi wamefanya hivyo.Hivi wewe unaelewa kuwa mfumo wa fedha ndani ya vyama ni ule uliokubalika na CAG? acha hekaya zako Abunuasi, sasa hivi zinazo trend ni za #Kalumekenge na #Essopo
Ukipewa maneno makali usiseme umetukanwa, maana hizi ni akili wale wa kufugwa wanaotumika hata na polisihongera Mbowe, mm nawashangaa sana wanaokusema nadhani hawajui kuwa CHADEMA ni chama cha Baba Mkwe wako na ni Saccos yako, baba endelea kuzitafuna ila angalia maana ndani ya chama chako wamechoka na huo ulafi wako, jiangalie baba zama hizi sio zileeeeee
Mbona umekua mkali... Pinga kwa hojaTumechoka na hizo habari zenu za kipumbavu mnazotoa kwenye hivyo vigazeti vyenu vya kijinga kijinga. Hiyo TAKUKURU na Mahakama ya mafisadi inafanya kazi gani? Wacheni upumbavu wenu.
Itakuwa ni mmoja wa wanufaika wa Upigaji Chamani pesa za walipa KODI!Mbona umekua mkali... Pinga kwa hoja
Wapigaji ni wale walioshindwa kutueleza mpaka leo zilipo Trilion 1.5 zetu!Itakuwa ni mmoja wa wanufaika wa Upigaji Chamani pesa za walipa KODI!
Mimi ninamfahamu mbowe kabla hata hajaingia kwenye siasa. Pengine wewe umemfahamu mheshimiwa miaka ya hivi karibuni. Hata hivyo kama umesoma vizuri mchango wangu sijawahi kusema kuwa mh hana hela ila nilichosema ni nukuu aliyekuwa kaimu mwenyekiti wake hayati chacha wange kipindi kile alichokuwa anawaeleza wafuasi, wapenzi na wananchi wengine kuhusu matatizo ya fedha ndani ya chama chao.Kwa taarifa yako huyo mbowe alizaliwa pesa kaikuta na hadi leo pesa kwao siyo issue! acha kuabudu umasikini
Zilielezwa sema mnajidai hamtaki kuelewaWapigaji ni wale walioshindwa kutueleza mpaka leo zilipo Trilion 1.5 zetu!
Ni bora hao walioshindwa kukueleza mpaka leo zilipo Trilioni 1.5 "zenu" wakati maendeleo unayaona (AtcL, SGR, Nyerere Gorge n.k) ...kuliko hao waliopiga milioni 800 za Ujenzi wa Ofisi ya Chama bila aibu huku Chama kikiendelea kulipa KODI ya pango Tsh 30 milioni kwa mwezi kwenye ile stoo pale Ufipa.Wapigaji ni wale walioshindwa kutueleza mpaka leo zilipo Trilion 1.5 zetu!
Awamu hii wataelewa tu mkuu...hakuna jinsi.Zilielezwa sema mnajidai hamtaki kuelewa
Haaaa haaaa wanatanua vidole mtaaniYOUTH VOLUNTEERS WA UFIPA WAKO WAPI LEO
kamuulize leprofeselipumbuzz atakueleza vizuri.h
kaka tunataka mwenyekiti atueleze ukweli kwani hiz ni tuhuma nzito kwa kiongozi tunaemwamini na aneyejiita mpigania haki za Wtz
Upelelezi bado unaendelea. Acheni kuipangia dola namna ya kufanya kazi yake.Unatumia makalio kufikiri wewe.Huyo Mbowe ana kinga ya kytoshitakiwa? Kila siku umbea umbea tu. Kuna TAKUKURU, Mahakama ya mafisadi kwa nini asikamatwe akafunguliwa mashtaka.
Kwi kwi kwi! Zilielezwa na Polepole, zile za kushuka na mbili unakopa tatu unakuta haigawanyiki unabeba moja!Zilielezwa sema mnajidai hamtaki kuelewa
Eti maendeleo unayaona! Unajua wewe no mbumbumbu 100% na unajiita Dr love inawezekana ni wale wa Kona Bar! Maana inawezekana hata huelewi wanaposema 1.5T hazionekani wanasema niniNi bora hao walioshindwa kukueleza mpaka leo zilipo Trilioni 1.5 "zenu" wakati maendeleo unayaona (AtcL, SGR, Nyerere Gorge n.k) ...kuliko hao waliopiga milioni 800 za Ujenzi wa Ofisi ya Chama bila aibu huku Chama kikiendelea kulipa KODI ya pango Tsh 30 milioni kwa mwezi kwenye ile stoo pale Ufipa.