Mbowe: Hatutakubali Bunge lililopo litengeneze Katiba Mpya

Ila kiukweli hayo makundi yote anayoyasema vikiwemo vyama vya siasa wkt ule wa Kikwete.wengi wao walivyopewa nafac ya kila chama ama taasisi wapeleke wawakilishi wengi.wao.walipeleka ndugu michepuko na kunakiongozi mmoja alipeka mkewe.

Hivyo wabongo wengi hatupo makin kwenye mambo yetu ni kelele tu.
 
Moja ya sababu kubwa ya kushindwa kukamilika kwa mchakato wa katiba mpya ni wingi wa wabunge walio kuwemo. Muda mwingi ilitumika kulumbana, kweli mapanya wengi hawachimbi shimo likaenda.

Si kuwa kutokana na kutokuwapo kwa nia njema? Tatizo ni nia njema wala si idadi.
 
Rais kakataa lini?Rais alisema ataonana na wapinzani,nafikiri Jambo la muhimu ni kumsisitizia/kumkumbusha aonane nao halafu mazungumzo yaanze.

..Raisi amekataza mikutano ya hadhara, isipokuwa kwa wabunge.

..agizo hilo ni kinyume na sheria na katiba.

..vilevile agizo hilo linaipendelea ccm na kuviumiza vyama vya upinzani.

..Chama kama chadema kina mbunge mmoja tu ktk bunge la muungano, na vyama vingine vya upinzani havina wabunge kabisa.

..Raisi angeruhusu tu mikutano ya vyama vya siasa. Mikutano hiyo haimzuii yeye au serikali yake kurekebisha uchumi, au kuvutia wawekezaji.

..Kuna shughuli za michezo zinaendelea nchi nzima. Kuna mihadhara ya kidini inafanyika maeneo mbalimbali. Mikutano ya kisiasa haina madhara yoyote ile kwa ustawi wa nchi na ni halali kisheria.
 
Huyu Mbowe naona Sasa anatafuta kurudi Dubai! Hamjui Mama,asimuone mpole vile,anaweza akawa Mkali zaidi ya Magu hasa ukiingia mwenyewe kwenye angaa zake! Mama alisha sema "Ukinizinguwa,tunazinguwana'!!

Mama anajua pia kuwa akizingua anazinguliwa.

Kwanini isiwe tusizinguane?

Maoni na mawazo ya mama si msahafu na hii ni kwa mwingine yeyote.
 
Katiba inadaiwa na walevi? Mkutano umejaa walevi watupu kuanza mwenyekiti hadi wajumbe.
Wazee wa faru John, sipati picha baadae mtavyolewa
Hapa ndipo utawaona wapambe nuksi pangu pakavu tia mchuzi viherehere wakutupwa katiba huru ni kwa wote haichagui Mmesahau chizi aliapa kuwapiga shangazi zenu leo mnakenua
 

Mkuu sasa kunaelekea chakula kuwiva. Katiba mpya yaja:


Maoni ya kila upande ni rasmi sasa.

Waungwana hawajawahi kushindwa kupata muafaka.
 
Yaani Mbowe anamtisha Rais wa nchi? Huyu mama awe makini, kipindi cha JPM hizi kauli kama za Mbowe hakuna aliethubutu kuongea, na Ikitokea umeongea lazima uchakae
Nini maana ya demokrasia?
 
Huyu Mbowe naona Sasa anatafuta kurudi Dubai! Hamjui Mama,asimuone mpole vile,anaweza akawa Mkali zaidi ya Magu hasa ukiingia mwenyewe kwenye angaa zake! Mama alisha sema "Ukinizinguwa,tunazinguwana'!!
Mbona watu wa CCM hampendi demokrasia?
 
Haya sasa. Tulisema mama asicheke na nyani atakula mabua. Wanachotaka sasa jeshi la polisi liwape kipigo kwa kuweka mikutano yao kisha waseme wameuliwa kutekwa na kuteswa.
 
Mwenye akili yenye ufaham ndoo atakuelewa lakini wengne humu ambao akili yao ya kilevi wanaendeshwa na mihemuko bila kutumia mantiki.Wanafikiri katuba mpya ni ya Mboe au Chadema.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Jinga kabisa, kamuandalie chai ya jioni Nikki, ulisema igizo limekwama hakuna wajumbe sasa hivi unasema wajumbe walevi, utakuwa baamedi wewe ukitoroka kuosha vyombo kwa Nikki unakimbilia bar.
Naona una genye wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…