Kumbe Chadema ni chama cha Mbowe!?Atashiriki vipi kwa moyo mkunjufu baada ya matusi na kebehi zilizoelekezwa kwake? Kwa hali ilivyo akishiriki ataambiwa anataka kumu undermine atakaeshinda. Akishindwa katika uchaguzi, akae pembeni amuachie mshindi atekeleze aliyopanga bila kuingiliwa. Atoe ushauri pale tu atakapoona kuwa chama chake kinaelekea kupotea. Otherwise, akishindwa, ampe mkono wa pongezi mshindi na ajikite kwenye kulea wajukuu zake kama wengine wanavyo mshauri.
Amandla...
Yaani Mbowe, eti bon yai ndo mshauri wake!! Mwenye tumbo kubwa kama pipa!!π€£π€£π π Au tanker za mafuta.Tatizo lipo Kwa wapambe wanaomzunguka
Ulikuwa hujui?Kumbe Chadema ni chama cha Mbowe!?
Mkuu, toa hoja.Upumbavu mtupu..!
Wazo zuri sana.Wewe mtu huwa nakuaminia sana humu jukwaani, Napigiria msumari hili bandiko lako. Mh Mbowe lisome na msikilize huyu muleta Bandiko mambo yaende. Tunawahitaji nyote- Lissu na Mbowe na kwa kuwa utakuwa kamati kuu hadi milele, muache na huyo Lissu awemo pia. Utam- control tokea huko. Kwa kweli sisi wafuasi wenu mumetugawa sana na tuko njia panda. Muachie mwenzako aje awe kiongozi na wewe uwe ndani ya hiyo kamati kuu, akiachia ngazi, yeye pia atakuwemo, na mutaendeleza vema hiyo CDM kwa manufaa mapana ya chama pendwa. Chondechonde mheshima, sikiliza kilio cha sisi watanzania tunachokiomba toka kwako. Tafadhari Pumzika na wewe chukua uskani huko kamati kuu ambako utakuwepo had mauti. Chonde chonde Mh.Mbowe.
Kumbe Chadema ni chama cha Mbowe!?
Je, wakisema wataanda maandamano ya pamoja kuonesha mshikamano na kutaka Katiba Mpya utaingia nao barabarani? Ahahahahaha!!!Mheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
Kwa kuijengea CHADEMA heshima utakuwa umefuta kabisa dhana ile ya bila Mbowe hakuna CHADEMA hivyo kudhihirisha ukomavu wa CHADEMA kama chama chenye misingi imara.
- Utaijengea CHADEMA heshima
- Utajijengea heshima kubwa zaidi
Kwa kujijengea heshima utakuwa umedhihirisha ukomavu wako kidemokrasia kama mstaafu aliyeheshimu, kutetea na kulinda demokrasia kwa vitendo ndani na nje ya uongozi.
Ningependa kuwaona mmekaa pamoja wakati ukitangaza uamuzi wako huo na nakuhakikishia, utashangaa jinsi wananchi wengi wazalendo wakatavyoupokea uamuzi wako huo.
Je unawajua hao unaowaita wapiga kura? Oh judgement, thou art fled to brutish beasts and men have lost their reasons.Tofauti na nyie sisi tunasema washindane, wapimwe na wapiga kura, wapiga kura waamue na wao waheshimu matokeo, hata kama watashindwa.
Sasa hivi? Kwani kwa miaka hiyo ishirini Mwenyekiti hakuwa sura na kiongozi Mkuu wa Chadema? Kusema kweli Fundi Mchundo, nimeshindwa kabisa kuelewa unachotetea.Sasa hivi Mbowe ndio Mwenyekiti wa Chadema na Mwenyekiti ndio sura na kiongozi Mkuu wa Chadema.
Issue ya Mbowe, HAUPITWI!Wenje, Sugu, Kigaila na Mrema [emoji209]
Kwanini Lissu asikae pembeni amuache Mbowe?Mheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
Kwa kuijengea CHADEMA heshima utakuwa umefuta kabisa dhana ile ya bila Mbowe hakuna CHADEMA hivyo kudhihirisha ukomavu wa CHADEMA kama chama chenye misingi imara.
- Utaijengea CHADEMA heshima
- Utajijengea heshima kubwa zaidi
Kwa kujijengea heshima utakuwa umedhihirisha ukomavu wako kidemokrasia kama mstaafu aliyeheshimu, kutetea na kulinda demokrasia kwa vitendo ndani na nje ya uongozi.
Ningependa kuwaona mmekaa pamoja wakati ukitangaza uamuzi wako huo na nakuhakikishia, utashangaa jinsi wananchi wengi wazalendo wakatavyoupokea uamuzi wako huo.
Wewe UNAPITWA?Issue ya Mbowe, HAUPITWI!
Una uhakika?Mbona Kenya wanachama wa ODM hawajawahi taka Raila Odinga aachie madaraka ODM pamoja na kuunga mkono Serikali ya Uhuru Kenyata na sasa Ruto pia
Matusi yepi mkuu?Mdomo wa TAL, na matusi yake,hicho chama kitakuwa chake ,familia yake na wanyatur.. wenzake
Umeongea na wajumbe lini mkuu?Dua la kuku halimpati mwewe!
Lissu kura hazitatosha!
πππππYaani Mbowe, eti bon yai ndo mshauri wake!! Mwenye tumbo kubwa kama pipa!!π€£π€£π π Au tanker za mafuta.
Mshauri wake kilaza Yeriko Nyerere π π€£π
Naona Mbowe amechagua kuondoka kwa fedheha. Mwache ashupaze shingo na kuwasikiliza chawa kina BoniyaiMheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, ukitangaza leo kwamba baada ya tafakuri nzito umeamua kutogombea kwa mara nyingine uenyekiti wa Chadema leo utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
Kwa kuijengea CHADEMA heshima utakuwa umefuta kabisa dhana ile ya bila Mbowe hakuna CHADEMA hivyo kudhihirisha ukomavu wa CHADEMA kama chama chenye misingi imara.
- Utaijengea CHADEMA heshima
- Utajijengea heshima kubwa zaidi
Kwa kujijengea heshima utakuwa umedhihirisha ukomavu wako kidemokrasia kama mstaafu aliyeheshimu, kutetea na kulinda demokrasia kwa vitendo ndani na nje ya uongozi.
Ningependa kuwaona mmekaa pamoja wakati ukitangaza uamuzi wako huo na nakuhakikishia, utashangaa jinsi wananchi wengi wazalendo wakatavyoupokea uamuzi wako huo.