Pre GE2025 Mbowe: Makubaliano na Jeshi la Polisi yamefikiwa kuwa maandamano yataendelea kama yalivyopangwa

Pre GE2025 Mbowe: Makubaliano na Jeshi la Polisi yamefikiwa kuwa maandamano yataendelea kama yalivyopangwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Samahani jamani naulizia kitu ambacho hakiendani na mada, hivi huyu Benson Kigaila si yule ambae mke wake ni miongoni mwa wale tunaowaita COVID 19!? Nijibuni then nitasema kitu kwa manufaa ya wengi.
Ndio yeye.
 
Hapo kuna mamluki watatumwa makusudi na kufanya uhalifu ili ionekane makatazo ya kufanya maandamano yote hapo nyuma yalikuwa sahihi
Kwamba ni njama hii🤣 kama ina sound hivi maana chama cha majizi kinavotapa tapa kukubali mdahalo inatia wasiwasi kiasi
 
Chochote cha kihalifu endapo kitajitokeza nashauri " Iwe ni mwisho wa maandamano, na katiba iende kuondolewa kifungu kinachoruhusu maandamano" just simply....!
Endelea kuogesha watoto hapo kwa shemeji Tuwache Nzagamba barabarani.....
 
Pamoja na kutaka kulitumia jeshi letu la wananchi JWTZ kuzuia maandamano yanayoandaliwa na Chadema tarehe 24/01/2024, muafaka umefikiwa baina ya Polisi na Chadema na kwamba maandamano yapo pale pale kama yalivyopangwa.

Makubaliano yamefikiwa kuwa maandamano yaendelee kama yalivyopangwa. Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa busara hii. Karibuni Watanzania wote, tuandamane kwa amani" Freeman Mbowe
 
Asante sana kwa taarifa hii, tutashiriki kikamilifu.
Natoa pongezi zangu za dhati kwa Rais Samia, baada ya kuusoma ushauri huu Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu
Atakuwa amekubaliana na ushauri huu. Hivyo sasa wito wangu huu Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
Uendelee,

Haya shime, tujitokeze kwa wingi kushiriki maandamano muhimu sana haya.

P
Hajasoma,usijipe umuhimu usiokuwa nao.
 
Chalamila atalala na kiu siku hiyo. Huwa anatamani sana kuua ua. Hata kauli zake akiwa RC Mbeya alisema akikuta kibaka ndani kwake anamuua......

Majuzi hapa katuma polisi wawasake makahaba wakaua kwenye saka saka hiyo.

Jamaa ana hamu kweli kutoa roho za wenzake
 

Ameandika Mbowe katika ukurasa wake wa mtandao wa X;

"Team yetu ya Chama ikiongozwa na Naibu Katibu Mkuu, Bara Mhe Benson Kigaila imekuwa na kikao na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum, Dar Es Salaam ACP Jumanne Muliro na timu yake kuhusiana na Maandamano ya Amani yanayopangwa na kuratibiwa na CHADEMA siku ya Jumatano, 24 Januari 2024.

"Makubaliano yamefikiwa kuwa maandamano yaendelee kama yalivyopangwa.

"Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa busara hii. Karibuni Watanzania wote, tuandamane kwa Amani."
UVCCM wamenuna, sasa wanaanza kuchawia mvua iharibu.
 
Chochote cha kihalifu endapo kitajitokeza nashauri " Iwe ni mwisho wa maandamano, na katiba iende kuondolewa kifungu kinachoruhusu maandamano" just simply....!
Ni wapi uliwahi kuona mandamano yakaisha tu bila kuleta hasara japo kidogo! Unaishi sayari gani wewe!

Tukutane January 24
 
Mbowe usiingie mtego wa kuwapongeza polisi kabla ya kufanyika maandamano,

By the way, Jeshi halitakiwi kupongezwa linapotimiza WAJIBU wake Ulio kikatiba.
 
Pamoja na kutaka kulitumia jeshi letu la wananchi JWTZ kuzuia maandamano yanayoandaliwa na Chadema tarehe 24/01/2024, muafaka umefikiwa baina ya Polisi na Chadema na kwamba maandamano yapo pale pale kama yalivyopangwa.

Makubaliano yamefikiwa kuwa maandamano yaendelee kama yalivyopangwa. Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa busara hii. Karibuni Watanzania wote, tuandamane kwa amani" Freeman Mbowe
Mmhh una imani kuwa jeshi la police linaweza kuruhusu maandamano ya cdm?
 
Back
Top Bottom