Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
CDF atakuwa kagomesha kuleta vijana kufagia barabara! chalamila kaufyata kimyaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshi hilihili la police liruhusu maandamano ya cdm? Mbona itakuwa maajabu ya Dunia?Asante sana kwa taarifa hii, tutashiriki kikamilifu.
Natoa pongezi zangu za dhati kwa Rais Samia, baada ya kuusoma ushauri huu Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu
Atakuwa amekubaliana na ushauri huu. Hivyo sasa wito wangu huu Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
Uendelee,
Haya shime, tujitokeze kwa wingi kushiriki maandamano muhimu sana haya.
P
Uhalifu unao u- speculate utafanywa na uvccm au policcm walioandaliwa kwa jukumu Hilo ili baadae ionekane mtabiri mashuhuri kuliko marehemu sheikh Yahaya! Nyoosha tu maelezo utaeleweka usiogope!Chochote cha kihalifu endapo kitajitokeza nashauri " Iwe ni mwisho wa maandamano, na katiba iende kuondolewa kifungu kinachoruhusu maandamano" just simply....!
Yule ni nanihiiChalamila ataendelea na usafishaji wa mji au?
Kinyooooonge Sana Sana, tulikua tumejiandaaNafurahi wameomba kibali kwa mujibu wa taratibu na wamekubaliwa kwa conditions fulani fulani, hili ni la kupongeza maana vigezo vimefuatwa!
hakuna kitu kama icho acha kupotosha jamii 😎Maskini vile vyama kumi na tatu sijui vitaficha wapi nyuso zao....
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema kuwa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeruhusu maandamano yaliyopangwa kufanyika Januari 24 mwaka huu yafanyike.
Amesema chama hicho leo kimefanya kikao na Kamanda Jumanne Muliro na amelipongeza Jeshi la Polisi kwa busara hiyo.
utafurahi zaid january 24 uskose mapema sana sawa😛Nafurahi wameomba kibali kwa mujibu wa taratibu na wamekubaliwa kwa conditions fulani fulani, hili ni la kupongeza maana vigezo vimefuatwa!
Nafurahi wameomba kibali kwa mujibu wa taratibu na wamekubaliwa kwa conditions fulani fulani, hili ni la kupongeza maana vigezo vimefuatwa!
hakuna kitu kama icho acha kupotosha jamii 😎
hakuna nyumbu wala panyarodi ataruhusiwa kuleta fujo wala uharibifu Dar es salaam january 24,
labda sio J4 Muliro wa Tanzania alieruhusu hiyo ujambazi
Chalamila atafanya usafi wa madanguro ambayo yamerudi kwa ari mpya na Bei imepungua.Chalamila ataendelea na usafishaji wa mji au?
Ndiyo kuomba kibali kwenyewe huko!Huwa hawaombi vibali bali wanalitaarifu jeshi la Polisi. Kisha hujadiliana na jeshi la polisi namna gani maandamano yafanyike katika kuhakikisha kunakuwa na usalama.
Siwezi kuswagwa kama nyumbu wapo wengi tu wanakubali kuswagwa kwa hiyari kwa manufaa ya wachache.utafurahi zaid january 24 uskose mapema sana sawa😛
I can confirm to you without fear of contradictions hakuana maafikiano yeyote,Ulikwishajiuliza punguani mpo wangapi? Isije ikawa umebakia pekee yako halafu unaamini bado mpo wengi.
Fujo unazileta wewehakuna kitu kama icho acha kupotosha jamii 😎
hakuna nyumbu wala panyarodi ataruhusiwa kuleta fujo wala uharibifu Dar es salaam january 24,
labda sio J4 Muliro wa Tanzania alieruhusu hiyo ujambazi